Teamo
JF-Expert Member
- Jan 9, 2009
- 12,271
- 1,069
Wengi wetu tulifurahia ''uwingi'' wa tani za wale samaki gharama kabisa duniani ''tuna-fish'' waliokutwa kwenye meli ya wa-asia.
Wengi wetu huenda tulimfurahia sana magufuli kwa kile tunachoweza kuita ''kazi nzuri'' aliyoifanya
Wengi wetu pengine tulichekelea sana kuwaona wale waasia kwa luninga wakiburuzwa mahakamani-keki-mahakamani!
SWALI LANGU SASA:NIni ilikuwa hatma/suluhisho la serikali:
-wale samaki walikwenda wapi baada ya kuchukuliwa?
-wale wa-asia kesi yao ni aje ni vipi?
Ndugu zangu wana jamii nimeuliza hili makusudi tu,kwasababu sitaki kujiongezea hasira au chuki dhidi ya hii serikali na maamuzi yake mengi.Nimeuliza hili ndugu zangu kwa sababu sitaki kuamini kile ninachokihisi
Mtu mwenye data zozote juu ya hili sakata naomba anitoe dukuduku......
Wengi wetu huenda tulimfurahia sana magufuli kwa kile tunachoweza kuita ''kazi nzuri'' aliyoifanya
Wengi wetu pengine tulichekelea sana kuwaona wale waasia kwa luninga wakiburuzwa mahakamani-keki-mahakamani!
SWALI LANGU SASA:NIni ilikuwa hatma/suluhisho la serikali:
-wale samaki walikwenda wapi baada ya kuchukuliwa?
-wale wa-asia kesi yao ni aje ni vipi?
Ndugu zangu wana jamii nimeuliza hili makusudi tu,kwasababu sitaki kujiongezea hasira au chuki dhidi ya hii serikali na maamuzi yake mengi.Nimeuliza hili ndugu zangu kwa sababu sitaki kuamini kile ninachokihisi
Mtu mwenye data zozote juu ya hili sakata naomba anitoe dukuduku......
Last edited: