aiseeeHakika ng'ombe wa masikin hazai kila tukijalibu kuwa donna county mabeberu yanatuweka kati
NDIO SAA( SOUTH...AFRI.....AIRWAYS)Kwani serikali yake ndo inadai?
NENDENI MKAVAMIE MADUKA YA WATU MNYANG'ANYE HELA NDIO MKAKOMBOE NDEGE, WA.SHENZI WAKUBWA NYIE!Nonsense
We mwenye plan ya kunyooka, nyooka tu.Mapambano gani yasiyokuwa na plan unapambana bila kujua unapambania nini na matokea yake ni nini Utatembea zigzag kama unakwepa risasi mpaka lini zama za kubebwa huko hakunaga.Mambo yamenyoooooka kama mstari wa equator mzee.Fahamu
DAWA YA MOTO NI MOTO. WAKAMATE NAO ZILE BOEING 737 ZINAZOFANYA SAFARI KATI YA DAR NA JOHANNESBURG.Waziri wa Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano ameomba radhi kwa usumbufu ulijitokeza kwa abiria wa Shirika la Ndege la Tanzania (ATCL) waliokuwa wasafiri kutoka Johannesburg kwenda jijini Dar
Ameomba radhi hiyo kutokana na abiria hao kushindwa kusafiri kutoka uwanja wa Oliver Tambo jijini Johannesburg baada ya ndege hiyo kushindwa kufanya safari kama ilivyopangwa kutokana na kuzuiwa
Kwa mujibu wa taarifa ambayo Serikali imepokea, ndege hiyo imezuiwa kwa amri ya Mahakama Kuu ya Gauteng, Johannesburg na Serikali ya Tanzania kupitia Ofisi ya Mwanasheria Mkuu inafuatilia ili ndege iachiwe
View attachment 1188590