Serikali: Tumeshagawa milioni 50 kila kijiji kama tulivyoahidi kwenye Kampeni 2015

Hahaha mbona hata umeme ule wa Stiglers Gorge tuliisha utumia, na hata ile reli ya SG iliisha kutambo wananchi hawaelewi nini?!
Tanzania ni first world country
 
Serikali kupitia msemaji wake, Hassan Abbas imesema imeshagawa milioni 50 kila kijiji kama ilivyoahidi kwenye kampeni za mwaka 2015

Milioni hizo 50 kila kijiji zimetolewa kupitia elimu bure na ujenzi wa fly over



Labda kama wamepewa wale wanaonunua wapinzani kwa ajili ya kuwalipa madiwani wa upinzani.
 
Huyu Dr. Abbasi muda si mrefu atalazimika kuwa anatoa kauli kwa niaba ya serikali huku akiwa na Safari Larger pembeni.

Halafu sijui amepiga ile kinywaji ya kule Tarime maana anatoka jasho siyo kawaida duh!Pale uongo unapotakiwa uwe ukweli lazima uumie
 
Heri kudictetiwa na mzungu kuliko Blackman.. Mzungu utajua anakudictet maana atakwambia kwa maneno na vitendo... Lakini mwafrika Anakudanganywa kwa mazuri huku anakudictet.ukija kushtuka unakuta time is over na imekukost saana .
 
Daah ngoja niende youtube nikaangalie wimbo wa 'ndiyo mzee' na baadaye wa 'siyo mzee' labda nitaelewa hii kauli!
 
Serikali kupitia msemaji wake, Hassan Abbas imesema imeshagawa milioni 50 kila kijiji kama ilivyoahidi kwenye kampeni za mwaka 2015

Milioni hizo 50 kila kijiji zimetolewa kupitia elimu bure na ujenzi wa fly over


Kwa kauli izi usikute si ajabu Watanzania wakawapa tena CCM dhamana ya kuongoza Inchi 2020.
 
Yanii Serikali yetu huwa inatutukanaa matusi ya Nguoni kabisaa... SIJUI INAONA KAMA INAONGOZAA VICHAA NA MATAHIRAAA...!!??
 
msaada maana yake unapewa bure na hautarejesha hicho ulichopewa.
====
kwa misaada ya kifedha inayotolewa na nchi ziitwazo waisani urejeshwa na serikali. Urejeshwaji uchukua muda mrefu kati ya miaka 15 au chini kidogo ya hapo mpaka miaka 30. Hizo ela tutazilipa tu. Kwa hiyo fedha za flyover kutoka japan siyo msaada ni mkopo in disguise!
Flyover ya Tazara ni msaada. Sio mkopo.
Ile ya Ubungo ni mkopo wa WB
 
Back
Top Bottom