Serikali tatu, CCM hoi mpaka UN

upo sahihi mkuu.

Karume alikubali muungano kwa kuwa lilikuwa sharti la Nyerere ili apewe nchi ya Zanzibar kwani mganda ndo alieongoza mapinduzi wakati Karume alikuwa anakula urojo mchambawima

Duh! Kuuumbee!! Asante kwa taarifa kiongozi .
 
Tanzania Daima gazeti la Chadema,habari za kilaghai laghai,kutoka chama cha Kilaghai
 
hahaha Mtani umetudhihaki hapa...ila haina tabu...wa bara wengi huku kwetu sasa wamekua wateja wazuri wa Ulojo...tena wanakua wakali wasipoukuta...chezea znz weyeen!
 


umeaandika mengi na kuchanganyachanganya.

1. unaweza kutuambia kero za muungano tangu kuanza kwake zinapunguwa au zinaongezeka? kwanini..

2. Umeongelea uroho wa madaraka, tujadili hili kwa mifano halisi hapa chini

a) baada ya uhuru tulikuwa na mikowa mingapi na hivi sasa tunamikowa mingapi? kwanini

b) baada ya uhuru tulikuwa na wilaya ngapi nasasa tunawilaya ngapi? kwanini

tuanze nahayo kisha tutaendelea na mengine.
 
Tanzania Daima gazeti la Chadema,habari za kilaghai laghai,kutoka chama cha Kilaghai
Wewe pinga hoja usihangaike na karatasi, UN wamesema wao hawana kumbukumbu yeyote ya hati ya muungano wewe unamawazo gani UN waongo au?
 
Sasa hapa NJIA KUU sijui ni ipi na MCHEPUKO nao ni upi! Kwani mbona referundum huwa inatoa majibu yaliyo straight? Ya nn kupigizana kelele na kutafuta manyaraka ambayo hayakuwahi kutokea au kuandikwa.... Wafu hawahukumiwi...njia kuu itajulikana..
 

Utafananisha uzuri wa nchi ulivyo sasa hivi na wakati wa Nyerere?

I am so sure you were not there, otherwise usingebwabwaja hovyo humu.
 
halafu huwa najisikia vibaya wassira linavyoongelea muundo wa muungano.
unaweza kufikiri nae alichangia mawazo wakati wa kudisign muungano, kumbe ni limelishwa tu maneno kama roboti.
kama mpo wenye uelewa na matoleo ya binadam mnisaidie,
je huyu ndugu wassira ni binadam version gan?
 

Ndio maana CCm wanajisfia ngome yao ni Singida kwa matazamo kama wako,Kichwa kimejaa mahangahanga wewe,huo nao muungano wa serikali mbili!Yooo.wenyewe hawatutaki tunajipendekeza nini?Kwa kigezo cha usalama,tumepakana na nchi ngapi hadi Zenj iwe threat?Wana uchumi gani ambao tunalazimika jikomba kwao?
Funguka myampaa wan`g
 

Nafikiri ni Homoandriod kama sio Homowindow
 
Utafananisha uzuri wa nchi ulivyo sasa hivi na wakati wa Nyerere?

I am so sure you were not there, otherwise usingebwabwaja hovyo humu.
Faiza tunaomba msimamo wako kuhusu muungano. Mbili au tatu au usiwepo kabisa?
 
Utafananisha uzuri wa nchi ulivyo sasa hivi na wakati wa Nyerere?

I am so sure you were not there, otherwise usingebwabwaja hovyo humu.

uzuri wa nchi kwako ni nini ? magari, majengo au nini ? Alafu lazima ufanye correlation kati ya wakati muda na mapato, ndio useme walichokifanya walioleta uhuru kama ni kuharibu au kutengeneza kulinganisha kilichofanyika baada ya wenyewe kuondoka, na rasilimali zilizotumika na kupotea (madini, viwanda n.k.)

Its true Rome was not built in a day..., lakini it did not take a lifetime wala sio kupiga reverse..., swali sio kujiuliza tuna nini sasa tangia tupate uhuru bali ni je tulichonacho kinatosha na kama hakitoshi je sababu ni Marehemu aliyeshaondoka na kuwaachia wengine waendelee ? Sio kwamba kila alichofanya lazima mkifanye na kama mnakifanya na mnaona hakifai makosa sio yake bali ni yenu na blind faith...
 
Utafananisha uzuri wa nchi ulivyo sasa hivi na wakati wa Nyerere?

I am so sure you were not there, otherwise usingebwabwaja hovyo humu.
Fix
Usiwe kigeugeu.Tunajua ww ni muumini wa CCM na mpiga debe wa Sirikali 2!Mbona wapingana na chama chako?
Tunaposema Serikali 3 ndio mwafaka lazima mkubali kuwa Muungano tulionao wa 2 ni kiini macho tu!
 
Fix
Usiwe kigeugeu.Tunajua ww ni muumini wa CCM
Kwenye Mambo ya Muungano hakuna CCM wanaotaka Serikali 3?
Wazanzibar wote wa CCM wamekuambia wanataka serikali mbili?
Mjumbe alazimishwa kupiga kura ya wazi - Mzalendo.net

Al- Shymaa Kweigyir Amwaga machozi baada ya kuzomewa, kuitwa msaliti
FaizaFoxy msimuhukumu wapo wajumbe wa Bunge la Katiba kutoka CCM ambaye ni kati ya akina Lembeli Filikunjombe, Lugola na wengineo alionesha ujasiri wa kugomea Serikali 2
kwani hata maalim Sharif kasema km CCM hataki mbili basi wao hizo zote hawazitaki ila wanataka Muungano wa Katiba tu.
Na mm namuunga mkono Wazanzibar wapeni Kisiwa chao acheni LONGOLONGO ya Serikali 1 au 2 au 3
 
Last edited by a moderator:
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…