Serikali Sikivu CCM

Serikali Sikivu CCM

Kuntakint

JF-Expert Member
Joined
Sep 26, 2011
Posts
1,767
Reaction score
1,526
Ndio walipotufikisha na bado tunadanganywa kuwa serikali yetu ni sikivu wakati watoto wetu wanataabika mashuleni. Huku vigogo wachache wakiyalalia mabilioni (ndio magodoro yao) na kutudanganya kuwa tumejenga shule kila kona ya nchi. Si bora uwe na shule kumi Tanzania nzima lakini zikawa na huduma zote muhimu kuliko kuwa na 100 pasipo kuwa na huduma yoyote. Endeleeni kutuimbia serikali sikivu huku wananchi wanateseka katika nchi yao na hapa JF kuna wengine wanapiga domo utafikiri hawayaoni haya yanayofanyika.
IMG_4029.JPG (92.9 KBI)
IMG_4045.JPG (104.2 KB)
 

Attachments

  • IMG_4045.JPG
    IMG_4045.JPG
    52 KB · Views: 127
  • IMG_4029.JPG
    IMG_4029.JPG
    44.1 KB · Views: 117
wanaharamu kabisa ccm ni wakutia kiberiti inauma sana ....
 
Ndio walipotufikisha na bado tunadanganywa kuwa serikali yetu ni sikivu wakati watoto wetu wanataabika mashuleni. Huku vigogo wachache wakiyalalia mabilioni (ndio magodoro yao) na kutudanganya kuwa tumejenga shule kila kona ya nchi. Si bora uwe na shule kumi Tanzania nzima lakini zikawa na huduma zote muhimu kuliko kuwa na 100 pasipo kuwa na huduma yoyote. Endeleeni kutuimbia serikali sikivu huku wananchi wanateseka katika nchi yao na hapa JF kuna wengine wanapiga domo utafikiri hawayaoni haya yanayofanyika.
IMG_4029.JPG (92.9 KBI)
IMG_4045.JPG (104.2 KB)


Tafadhali usituhamishe kwenye mada, mada iliyoko sasa humu JF ni sakata la Mbowe na Mwigamba kupigana ngumi kwa kusema ukweli na uwazi. Tujikite huko kwanza.
 
CCM ni janga hao ni kinamama wajawazito wakijisubilia
wajawazito.JPG wajawazito.JPG
Inasikitisha sana na wengi wao wa hao kina mama wapendwa wanao tuzaa wanatoka katika familia maskini Mungu saidia sisi
 
Tafadhali usituhamishe kwenye mada, mada iliyoko sasa humu JF ni sakata la Mbowe na Mwigamba kupigana ngumi kwa kusema ukweli na uwazi. Tujikite huko kwanza.
Unataka kutupoteza kwenye mada wewe tulia huko huko kama huna hoja CCM ni more than devil
 
Huna shukrani wewe, ingekuwa sio serikali ya CCM, ungepata wapi fursa ya kukaa na kuandika upuuzi huu mtandaoni? waulize jirani zako wasomali! wanaokimbia nchi yao kila siku. unadhani wanapenda kujazana kwenye malori yenye mizigo kama chokaa wakiwa wanakimbia nchini kwao? unadhani ni rahisi mtu kukimbia nchi yake aliyozaliwa?
Hizi kasoro ndogo ndogo, tusizitumie kuonyesha kuwa nchi yetu haina maendeleo,
Ni upuuzi kusema serikali haijafanya chochote! Hata huko kwenye changamoto ulizozionyesha hapo kwenye picha, maendeleo yatafika tu, ni suala la muda.
 
Ndio walipotufikisha na bado tunadanganywa kuwa serikali yetu ni sikivu wakati watoto wetu wanataabika mashuleni. Huku vigogo wachache wakiyalalia mabilioni (ndio magodoro yao) na kutudanganya kuwa tumejenga shule kila kona ya nchi. Si bora uwe na shule kumi Tanzania nzima lakini zikawa na huduma zote muhimu kuliko kuwa na 100 pasipo kuwa na huduma yoyote. Endeleeni kutuimbia serikali sikivu huku wananchi wanateseka katika nchi yao na hapa JF kuna wengine wanapiga domo utafikiri hawayaoni haya yanayofanyika.
IMG_4029.JPG (92.9 KBI)
IMG_4045.JPG (104.2 KB)

Bado unaendeleza ujinga wako?!
 
fedha ambazo hawa akinamama wangejengewa Wadi ya kujifungulia, Mbowe kajengea Hekalu Dubai!
Mbowe si ameshikilia serikali mkononi mwake toka uhuru, kweli msalani umezungumza unategemea nini kama sio harufu mbaya inayochafua hali ya hewa
 
Huna shukrani wewe, ingekuwa sio serikali ya CCM, ungepata wapi fursa ya kukaa na kuandika upuuzi huu mtandaoni? waulize jirani zako wasomali! wanaokimbia nchi yao kila siku. unadhani wanapenda kujazana kwenye malori yenye mizigo kama chokaa wakiwa wanakimbia nchini kwao? unadhani ni rahisi mtu kukimbia nchi yake aliyozaliwa? Hizi kasoro ndogo ndogo, tusizitumie kuonyesha kuwa nchi yetu haina maendeleo, Ni upuuzi kusema serikali haijafanya chochote! Hata huko kwenye changamoto ulizozionyesha hapo kwenye picha, maendeleo yatafika tu, ni suala la muda.
JF Gold MemberArrayJoin Date : 13th October 2013Posts : 511Rep Power : 405Likes Received80Likes Given215you are still too junior
 
Jamani ccm inatumaliza watanzania mali asili zetu wanapora huku wakituacha hoehaeMungu uko wapi utusaidia ikiwezakana wafe hawa ccm .Angalia Mungu picha hii inavyosikitisha kwenye nchi uliyoijalia mbao nyingi hilo ni darasa hapo tunategemea nini
shule.JPG
Shule hii ipo wilayani Muleba mkoani Kagera. Ndani ya shule hii licha kuwa ni shule yenye kuta na kuezekwa kwa nyasi, bali pia wanafunzi wanakaa chini
 
JF Gold MemberArrayJoin Date : 13th October 2013Posts : 511Rep Power : 405Likes Received80Likes Given215you are still too junior

Acha ushamba, kuwa junior kwenye JF kunahusikaje na issue hii?
 
Wananchi wanahangaika maji wakati nchi ina maji mengi je lingekuwa jangwa kama libya tungepona?
maji.JPG
 
Back
Top Bottom