Hakikwanza
JF-Expert Member
- Dec 11, 2010
- 4,043
- 1,012
Kuwa tetea mafisadi kwako sio dhambi ila kuwa na id nyingi ni dhambi. Na kama mnazo hamta weza shindana na kweli.Hii ya kwako ni ya ngapi? Ni dhambi kuwa na ID zaidi ya moja? una uhakika gani kuwa nina ID zaidi ya moja?