Serikali na Wizara ya Michezo tumieni mechi za CAF kama njia za kuongeza pato la taifa

KENTUFYA

Member
Nov 21, 2023
10
8
Hili wadau litaongeza ushawishi mkubwa kwa taifa kila nchi itachagua Tanzania kuja kuweka kambi badala ya kukataza jezi tutengeneze ela kupitia hili, wizara ifanye ubunifu tumeona Mamelodi wamekua na shauku kubwa kuja.

Sasa mpira sio kupata kombe tu lakini tuutumie pia kama ushawishi wa kila team kutamani kuja Tanzania ,utalii uongezeke kwa kiki ya fans wa mpira. Tumsaidie mama wizara ya michezo kuleta wawekezaji via sport.
 
AFIKIRIE ZAIDI HII NIFURSA KUBWA KWA WATU WA BUNIFU ..SOCIAL MEDIA ZINAENDA VIRAL...WANGEWEZA PELEKWA ZANZIBAR BFR LEAVING AM SURE WIZARA INGEPATA WATU WABUNIFU HII NI FURSA KUBWA CZ MAMELOD WENYEW WANASHAUKU YA KUJA.
ungetoa kaushauri na ufafanuzi kidogo
ALIKAMWE ALIFANYA UBUNIFU KWA MECHI YA YANGA KUWA KAMA PACOME ILIONGEZA MVUTO ZAIDI...SASA WIZARA INAWEZA TAFUTA NAMNA YAKUWAPOKEA MAMELOD VIZURI NA MASHABIKI WAKAENDA NA BODA KUWASINDIKIZA HADI UWANJAN NA VIDEO ZIKACHUKULIWA ZIKASAMBAZWA AM SURE WATAPATA CHAKUSIMULIA....LAKIN WANAWEZA PELEKWA ZENJI BEFORE HAWAJAONDOKA WAKAONYESHWA VIVUTIO NIRAHISI KUWA MABALOZI WAZURI BADALA YA KUTUMIA MOVIE NA MTU HAJAFIKA TZ KABISA.
 
HILI WADAU LITAONGEZA USHAWISHI MKUBWA KWA TAIFA KILA NCHI ITACHAGUA TZ KUJA KUWEKA KAMBI BADALA YA KUKATAZA JEZI TUTENGENEZE ELA KUPITIA HILI,WIZARA IFANYE UBUNIFU TUMEONA MAMELOD WAMEKUA NA SHAUKU KUBWA KUJA...SASA MPIRA SIO KUPATA KOMBE TU LAKINI TUUTUMIE PIA KAMA USHAWISHI WA KILA TEAM KUTAMANI KUJA TZ ,UTALII UONGEZEKE KWA KIKI YA FANS WA MPIRA...TUMSAIDIE MAMA WIZARA YA MICHEZO KULETA WAWEKEZAJI VIA SPORT.LAKINI PIA UWEKEZAJI KWENYE MPIRA UTAONGEZEKA HAKUNA TAJIRI ATAKATAA KUWEKA ELA YAKE KWENYE BALL LA TZ..HENCE COMPETITION KWENYE TEAM ZETU NA MASLAHI MAKUBWA KWA WACHEZAJI WETU
 
🔹 Uzalendo ibaki timu ya Taifa tuu

🔹 Namshangaa hata yule aliyefuta huduma za kupokea timu za kigeni airport

🔹Tanzania tuna julikana duniani kuwa tuna asili tofauti kabisa na nchi zote za kiafrika kuanzia ukombozi hadi kusimamia amani

🔹 Ni Tanzania ilikuwa nyumbani kwa akiba Mandele, Mugabe, Kaunda, Samora nk ambao walikuwa wagombania uhuru nchini mwao

🔹Suala la soka nako tuna taabia tofauti kabisa na nchi nyingine na hii imeiganya Tanzania ijulikane kidunia si kwa sababu tuna vipaji vya mpira hapana ni tabia za washabiki ambapo Kila timu ikija inakutana na mwenyeji

🔹 Suala hili limefanya baadhi ya nchi kuhamishia michezo Yao hapa, na kuomba kuweka Kambi hapa na kwa sababu ya viwanja vichache tungepata timu nyingi zaidi

🔹 Tungekuwa na ubunifu tungeacha culture hii ikuwe na iwe rasmi, mwenye kupokea wageni Sawa, mwenye kuvaa jezi za wageni sawa ,hii ingeleta hamasa kubwa na kufungua mlango.mwungine wa utaalii wa michezo ( Sport tourism)
 
Watu waende Zanzibar ilihali Wana game ya marudio immediately
Tujifunze kuendesha mwendo Kasi kwanza
SAUDI ARABIA INATUMIA FEDHA NYINGI NOW KUVUTIA WATU KUJA NCHINI KWAO KUPITIA MPIRA.SISI TUMESHAJULIKANA KUA NUMBER MOJA KWA FANS LAST YEAR NI NGUVU KIDOGO TU ..TUTOKE TULIPO...MUNGU HAKUPI KILA KITU HATUNA INTERNATIONAL PLAYERS BAC TUTUMIE KILE MUNGU ALICHOTUPA YANI USHABIKI
 
Huo muda hawana wakishawakanda hapa wanawahi chapu kwao kuwasubiri wawamalize kabisa..
ALIKAMWE ALIFANYA UBUNIFU KWA MECHI YA YANGA KUWA KAMA PACOME ILIONGEZA MVUTO ZAIDI...SASA WIZARA INAWEZA TAFUTA NAMNA YAKUWAPOKEA MAMELOD VIZURI NA MASHABIKI WAKAENDA NA BODA KUWASINDIKIZA HADI UWANJAN NA VIDEO ZIKACHUKULIWA ZIKASAMBAZWA AM SURE WATAPATA CHAKUSIMULIA....LAKIN WANAWEZA PELEKWA ZENJI BEFORE HAWAJAONDOKA WAKAONYESHWA VIVUTIO NIRAHISI KUWA MABALOZI WAZURI BADALA YA KUTUMIA MOVIE NA MTU HAJAFIKA TZ KABISA.
 
Watu waende Zanzibar ilihali Wana game ya marudio immediately
Tujifunze kuendesha mwendo Kasi kwanza
Hahahahaha..ni ngumu kwa timu kufahivyo , ingawa wazo lake ni nzuri

Ila timu zetu ziongeze thamani ya tiketi ..mfn pale Simba Wakisema Tiketi ni 700K mzunguko unapata na Mo extra 1, maji masafi 1 na kitu kingine hata kama ni sabuni ya Mo ..nimewaza tu ,maana wanafanya sana hamasa lkn je shabiki ukiacha kununua tiketi na kutazama mpira ni nini kingine anafaidika ?
 
ALIKAMWE ALIFANYA UBUNIFU KWA MECHI YA YANGA KUWA KAMA PACOME ILIONGEZA MVUTO ZAIDI...SASA WIZARA INAWEZA TAFUTA NAMNA YAKUWAPOKEA MAMELOD VIZURI NA MASHABIKI WAKAENDA NA BODA KUWASINDIKIZA HADI UWANJAN NA VIDEO ZIKACHUKULIWA ZIKASAMBAZWA AM SURE WATAPATA CHAKUSIMULIA....LAKIN WANAWEZA PELEKWA ZENJI BEFORE HAWAJAONDOKA WAKAONYESHWA VIVUTIO NIRAHISI KUWA MABALOZI WAZURI BADALA YA KUTUMIA MOVIE NA MTU HAJAFIKA TZ KABISA.
Mwenye akili kama hii Nani? Ndumbaro kichwa Wazi!!!
 
Wanatumia michezo kisiasa.

Wanatumia michezo kupumbaza watu.

Wanatumia michezo kama mbinu ya kampeni ya uchaguzi.
 
Nimesikiliza Report ya CAG.
NIMETAFAKARI SANA.

TAIFA LIMEKUFA
Buriani Baba wa Taifa uhuru ulioupambania ndio Huu.
 
Hili wadau litaongeza ushawishi mkubwa kwa taifa kila nchi itachagua Tanzania kuja kuweka kambi badala ya kukataza jezi tutengeneze ela kupitia hili, wizara ifanye ubunifu tumeona Mamelodi wamekua na shauku kubwa kuja.

Sasa mpira sio kupata kombe tu lakini tuutumie pia kama ushawishi wa kila team kutamani kuja Tanzania ,utalii uongezeke kwa kiki ya fans wa mpira. Tumsaidie mama wizara ya michezo kuleta wawekezaji via sport.
Kumsaidia mama ni kumshauri achukue hata machache na ayafanyie kazi - (Umeme, Gharama za Maisha, Ajira zenye Ujira n.k.).... Haya mengine atuachie tunaya-manage sababu akiingilia kuna uwezekano wa kupangiana timu za kushangilia
 
Hili wadau litaongeza ushawishi mkubwa kwa taifa kila nchi itachagua Tanzania kuja kuweka kambi badala ya kukataza jezi tutengeneze ela kupitia hili, wizara ifanye ubunifu tumeona Mamelodi wamekua na shauku kubwa kuja.

Sasa mpira sio kupata kombe tu lakini tuutumie pia kama ushawishi wa kila team kutamani kuja Tanzania ,utalii uongezeke kwa kiki ya fans wa mpira. Tumsaidie mama wizara ya michezo kuleta wawekezaji via sport.
ungetoa kaushauri na ufafanuzi kidogo
ile branding ya AFRICAN FOOTBALL LEAGUE natamani tungeiga pale tukuze utalii wetu
 
Nchi hii kuanzia viongozi hadi wananchi wamelala. Una timu 3 kati ya 5 bora za Africa zote zinacheza kwenye nchi yako weekend moja, lakini ndiyo kwanza mipango ilikuwa ni kupiga watu virungu na kuwafunga kisa wamevaa jezi za timu fulani. Na wengi walikuwa wanasapoti hilo hadi walipoona sauti za kupinga zinazidi kukua.

Leo hii ghafla mnaongelea habari za kukuza utalii?
 
Back
Top Bottom