UTANGULIZI
1. HUU UZI UNABEBA KITU TOFAUTI NA UNAHITAJI HATUA ZA HARAKA.
2. HUU UZI NI WA SULUHISHO NA SI MAHALA PLA LAWAMA, MALUMBANO AMA KUTAFUTA UMAARUFU.
3. ANAYEWEZA KUWA NA MAWASILIANO NA WAZIRI MKUU, AMPE LINK AMA TAARIFA ILI UAMUZI WA HARAKA UCHUKULIWE.
HOJA
1. Siyo siri kwamba kuna wimbi kubwa sana la vifo vya binadamau wa umri wote, kada zote na aina zote linalotokana na kushindwa kupumua.
2. Mkuu wa Wizara ya Afya wiki mbili zimepita amehamasisha matumizi ya dawa za asili zinazotibu magonjwa mbalimbali ya kuambukiza zikiwemo mapafu, mafua n.k, na hata akademostrate recipe ya kutengeneza moja ya remedies hizo kwa kutumia vyakula vilivyopo hapa nchini.
3. Mkuu wa nchi ametoa msimamo sahihi na thabiti sana wa kuhimiza uangalisfu dhidi ya hila za maadui wa Africa ambao wamedhihirisha hila za kishetani za kutudhuru kwa kupitia huduma za afya ama misaada ya kibinadamu. Big Up my Rais, nakuombea Mkono wa Mungu usipungue kwako maana wewe ni Mkombozi wa Africa.
4. Bila kujali kwamba kuna Corona ama hakuna, ama kwamba mauti zinazoingira familia ya Mtanzania vinayotokana na mifumo ya hewa ni corona ama kitu kingine, kwa level yetu ya uelewa hatuhitaji mtu (anayetaka tufe) ama adui yteu atuambie hili wimbi ni nini na nini cha kufanya. Hatuhitaji WHO wafanye tafiti wagundue ni kwa nini tunakufa kwa kushindwa kupumua halafu waanze kutuambie tufanye nini wakati pamoja na kwamba hata wao CORONA imewapiga na hawana suluhu yoyote ya kweli, wameonyesha uchu wa kutumaliza kupitia vitisho vya maradhi.
5. Kwa hoja namba nne hapa juu, ni jukumu letu kuendelea kujiongeza na kufanya maamuzi yenye msutakabali sahihi wa familia yetu. Walitumabie tujifungie tukakataa na kutafanya kivyetu na baadaye wakaanza kutuiga ingawa ni baada ya kutupigia makelele. Tuemone namna rais wa Madagascar walivyotaka kumnunua ili dawa iliyokuw aimegundulika kule iwekewe sumu, na hao hao ambao leo wanasema eti wanachanjo ya kutuokoa!!!!!. The devil is a liar". Na hata mazingira ya ongezeko la Corona Madagascar linatia shaka sana. Isije ikawa walispray sumu kwenye vegetations za nchi hiyo ili dawa itakayotengenezwe locally isiwe effective
6. Tunapovaa uzalendo na kusimamia uhuru wa taifa, tuende na huo mtazamo katika mambo yote mema kwa taifa.
Kuna dawa nyingi sana ambazo zimethibitishwa kutibu CORONA na kuwekwa kwenye media, na TCRA hawajawahi kuchukua hatua za kisheria kwamba waliotangaza akiwemo Mama Asumpta Mshana aliyekuw a DC wakibaha kwamba ni waongo. Mheshimiwa Kabudi naye alionekana kusema jambo hili na hajachukuliwa hatua zozote za kisheria kwa mantiki hiyo hizo dawa zipo na ama zinaweza kutengenezwa kwa haraka na zikawa na upatikanaji sahihi kwa matumizi ya Watanzania.
7. Kwa kuwa Uongjwa wa kupumua sasa ni suala Mtambuka. hatujui nani na anacheo gani ataanguka ghafla dakika ijayo na kufa kwa gonjwa hilo, badla ya kuwaambia watu wachukue tahadhari kana kwamba hakuna sababu ya kuwa na regulatory wala supervisory bodies, ninaomba seriali ilichukulie maanani na ichukue hatua zifuatazo.
a). Watengenezaji wa dawa hizo zilizothibitika kutibu CORONA, wawezeshwa kutengeneza dawa hizo kwa wingi ( arrangements za kuwaongezea nguvu ama kwa njia ya ubia, mkopo, tehcnolojia ama ruzuku zifanyike ili wazalishe dawa hizo kwa haraka , kwa wingi na kwa ubora uleule).
b) Dawa lishe hizo zigawiwe kwa wingi kila sehemu Tanzania , na ziuzwe kwa bei elekezi ii kuthibiti watu wanaopenda kufaidika na misiba ya wengine. Bei hiyo iwe ya chini sana ili kumwezesha kila Mtanzania kununua na kuitumia. Wazee wastaafu, wajawazito, watoto na wasiojiweza wapewe bure". Kila mtu anywe hiyo dawa Tanzania nzima.
c) Inashangaza waziri anaseema watu wajikinge wenyewe wakati hauna hatua zinazolazimisha compliance katika vyombo vy ausafiri kama mabus, magari ya mwendo kasi ni balaa, pantonini, n.k. Toeni agizo mara moja watu wasafirishaji wa abiria wasibananishe abiria wakati kuan mtambuka wa vifo vya mifumo ya kupumua .
Hitimisho
Sijasema CORONA na hata viongozi wakichukua hatua hawana haja ya kusema Corona kama si Corona. Naomba waseme wanaa address suala Mtambuka namifumo y aupumuaji.
Nogja ngoja huumiza matumbo. Tusiendelee kungoja maana hatuju who is next.
NI faida kubwa na uwekezaji mkubwa kwa taifa likiwekeza kwenye kuimarisha afya za watu wake. Ni busara kubwa kama viongozi waatatumia fedha zetu za KOdi kufanikisha suala hili ambalo gharama yake ni nafuu sana kuliko gharama za kuuuguza, kulaza na kupoteza watu wetu. Tutumieni fedha zetu kwa maslahi ya taifa. Afya ni mtaji uhai. Kwa pamoja tutavuka.
1. HUU UZI UNABEBA KITU TOFAUTI NA UNAHITAJI HATUA ZA HARAKA.
2. HUU UZI NI WA SULUHISHO NA SI MAHALA PLA LAWAMA, MALUMBANO AMA KUTAFUTA UMAARUFU.
3. ANAYEWEZA KUWA NA MAWASILIANO NA WAZIRI MKUU, AMPE LINK AMA TAARIFA ILI UAMUZI WA HARAKA UCHUKULIWE.
HOJA
1. Siyo siri kwamba kuna wimbi kubwa sana la vifo vya binadamau wa umri wote, kada zote na aina zote linalotokana na kushindwa kupumua.
2. Mkuu wa Wizara ya Afya wiki mbili zimepita amehamasisha matumizi ya dawa za asili zinazotibu magonjwa mbalimbali ya kuambukiza zikiwemo mapafu, mafua n.k, na hata akademostrate recipe ya kutengeneza moja ya remedies hizo kwa kutumia vyakula vilivyopo hapa nchini.
3. Mkuu wa nchi ametoa msimamo sahihi na thabiti sana wa kuhimiza uangalisfu dhidi ya hila za maadui wa Africa ambao wamedhihirisha hila za kishetani za kutudhuru kwa kupitia huduma za afya ama misaada ya kibinadamu. Big Up my Rais, nakuombea Mkono wa Mungu usipungue kwako maana wewe ni Mkombozi wa Africa.
4. Bila kujali kwamba kuna Corona ama hakuna, ama kwamba mauti zinazoingira familia ya Mtanzania vinayotokana na mifumo ya hewa ni corona ama kitu kingine, kwa level yetu ya uelewa hatuhitaji mtu (anayetaka tufe) ama adui yteu atuambie hili wimbi ni nini na nini cha kufanya. Hatuhitaji WHO wafanye tafiti wagundue ni kwa nini tunakufa kwa kushindwa kupumua halafu waanze kutuambie tufanye nini wakati pamoja na kwamba hata wao CORONA imewapiga na hawana suluhu yoyote ya kweli, wameonyesha uchu wa kutumaliza kupitia vitisho vya maradhi.
5. Kwa hoja namba nne hapa juu, ni jukumu letu kuendelea kujiongeza na kufanya maamuzi yenye msutakabali sahihi wa familia yetu. Walitumabie tujifungie tukakataa na kutafanya kivyetu na baadaye wakaanza kutuiga ingawa ni baada ya kutupigia makelele. Tuemone namna rais wa Madagascar walivyotaka kumnunua ili dawa iliyokuw aimegundulika kule iwekewe sumu, na hao hao ambao leo wanasema eti wanachanjo ya kutuokoa!!!!!. The devil is a liar". Na hata mazingira ya ongezeko la Corona Madagascar linatia shaka sana. Isije ikawa walispray sumu kwenye vegetations za nchi hiyo ili dawa itakayotengenezwe locally isiwe effective
6. Tunapovaa uzalendo na kusimamia uhuru wa taifa, tuende na huo mtazamo katika mambo yote mema kwa taifa.
Kuna dawa nyingi sana ambazo zimethibitishwa kutibu CORONA na kuwekwa kwenye media, na TCRA hawajawahi kuchukua hatua za kisheria kwamba waliotangaza akiwemo Mama Asumpta Mshana aliyekuw a DC wakibaha kwamba ni waongo. Mheshimiwa Kabudi naye alionekana kusema jambo hili na hajachukuliwa hatua zozote za kisheria kwa mantiki hiyo hizo dawa zipo na ama zinaweza kutengenezwa kwa haraka na zikawa na upatikanaji sahihi kwa matumizi ya Watanzania.
7. Kwa kuwa Uongjwa wa kupumua sasa ni suala Mtambuka. hatujui nani na anacheo gani ataanguka ghafla dakika ijayo na kufa kwa gonjwa hilo, badla ya kuwaambia watu wachukue tahadhari kana kwamba hakuna sababu ya kuwa na regulatory wala supervisory bodies, ninaomba seriali ilichukulie maanani na ichukue hatua zifuatazo.
a). Watengenezaji wa dawa hizo zilizothibitika kutibu CORONA, wawezeshwa kutengeneza dawa hizo kwa wingi ( arrangements za kuwaongezea nguvu ama kwa njia ya ubia, mkopo, tehcnolojia ama ruzuku zifanyike ili wazalishe dawa hizo kwa haraka , kwa wingi na kwa ubora uleule).
b) Dawa lishe hizo zigawiwe kwa wingi kila sehemu Tanzania , na ziuzwe kwa bei elekezi ii kuthibiti watu wanaopenda kufaidika na misiba ya wengine. Bei hiyo iwe ya chini sana ili kumwezesha kila Mtanzania kununua na kuitumia. Wazee wastaafu, wajawazito, watoto na wasiojiweza wapewe bure". Kila mtu anywe hiyo dawa Tanzania nzima.
c) Inashangaza waziri anaseema watu wajikinge wenyewe wakati hauna hatua zinazolazimisha compliance katika vyombo vy ausafiri kama mabus, magari ya mwendo kasi ni balaa, pantonini, n.k. Toeni agizo mara moja watu wasafirishaji wa abiria wasibananishe abiria wakati kuan mtambuka wa vifo vya mifumo ya kupumua .
Hitimisho
Sijasema CORONA na hata viongozi wakichukua hatua hawana haja ya kusema Corona kama si Corona. Naomba waseme wanaa address suala Mtambuka namifumo y aupumuaji.
Nogja ngoja huumiza matumbo. Tusiendelee kungoja maana hatuju who is next.
NI faida kubwa na uwekezaji mkubwa kwa taifa likiwekeza kwenye kuimarisha afya za watu wake. Ni busara kubwa kama viongozi waatatumia fedha zetu za KOdi kufanikisha suala hili ambalo gharama yake ni nafuu sana kuliko gharama za kuuuguza, kulaza na kupoteza watu wetu. Tutumieni fedha zetu kwa maslahi ya taifa. Afya ni mtaji uhai. Kwa pamoja tutavuka.