Melki the Storyteller
JF-Expert Member
- May 3, 2022
- 5,701
- 9,779
Wasalaaam,
Hivi kuna umuhimu gani taifa:
(a) Kutangaza idadi isiyo sahihi kuhusiana na idadi ya watu wanaofariki kwenye majanga tofauti kama vile ajali za barabarani, vifusi migodini ama volkano milimani? Nimekuwa mmoja kati ya watu walioshuhudia moja ya majanga hapa nchini. Idadi ni kubwa kulinganishwa na ile inayotangazwa.
(b) Kutangaza tarehe isiyo rasmi ya vifo vya viongozi ama waliowahi kuwa viongozi wakubwa katika nchi. Maake chokochoko za tanzia hizo tunaanza kuzipata wiki mbili kabla ya vifo rasmi kutangazwa.
Ni hayo tu:
Roho za marehemu wote waliotutoka zipate rehema kwa Mungu, zipumzike kwa amani. Amin
R.I.P Edwar Lowassa
R.I.P Ally Hassan Mwinyi
Hivi kuna umuhimu gani taifa:
(a) Kutangaza idadi isiyo sahihi kuhusiana na idadi ya watu wanaofariki kwenye majanga tofauti kama vile ajali za barabarani, vifusi migodini ama volkano milimani? Nimekuwa mmoja kati ya watu walioshuhudia moja ya majanga hapa nchini. Idadi ni kubwa kulinganishwa na ile inayotangazwa.
(b) Kutangaza tarehe isiyo rasmi ya vifo vya viongozi ama waliowahi kuwa viongozi wakubwa katika nchi. Maake chokochoko za tanzia hizo tunaanza kuzipata wiki mbili kabla ya vifo rasmi kutangazwa.
Ni hayo tu:
Roho za marehemu wote waliotutoka zipate rehema kwa Mungu, zipumzike kwa amani. Amin
R.I.P Edwar Lowassa
R.I.P Ally Hassan Mwinyi