Serikali na mishahara ya Septemba 2011


Upo wapi serikali za mitaa au serikali kuu? Sisi wa mitaa tumeshamaliza mishahara ya Septemba, au unamaanisha mishahara ya Oktoba?
 
Upo wapi serikali za mitaa au serikali kuu? Sisi wa mitaa tumeshamaliza mishahara ya Septemba, au unamaanisha mishahara ya Oktoba?
Kwani mawaziri walioenda Igunga ni wa serikali kuu au ya mitaa?
 
mishahara imeingia toka majuzi na kuisahau tumeshaanza uisahau, wewe unasema mshahara leo pole zako.
 
Watu walio olewa wanawaringia sana wenzao!!!!!! Aliyekupa wewe mume ndiye aliye mnyima yeye, sidhani kama kutokuolewa kwake yeye alipenda.

kweli naona una machungu, kuolewa ni bahati tu, japo hata hiyo bahati MUNGU anaweza akaikatiza, hivyo shukuru kwa kila jambo.
 
Maulamaa wanalipwa bei gani?
Mi nilijua ubwabwa kwa azam cola tu na kabaha ka kaki kaliko konda sana....yani 20k hivi basi.
mishahara imepelekwa igunga kwenye kampeni chafu za kuhonga maulamaa... halafu rostam kagoma kuwakopesha hela za kulipa mishahara
 
Usiishi kwa kutegemea mshahara kijana tafuta vyanzo vya mapeneee
Wakati mwingine inalazimu uishi kwa kutegemea salary. Fikiria unaamka asubuhi sana kwenda kazini, na unatoka kazini (ulikoajiriwa) jioni sana au usiku, hiyo kazi nyingine ya kukuingizia kipato utaifanya muda gani? Ukisema umuachie mtu asimamie shughuli yako nyingine, utaishia kupata presha, anaiba kweli kweli kwani naye ana njaa. Kwa masaa yetu ya kazi yalivyo na miundombinu ya barabara zetu, kuna mahali patalega tu, either kwako au ulikoajiriwa.
 
Mwita 25, unadanganya na kuwahadaa watu, si wafanyakzi wa serikali kuu wala serikali za mitaa waliopata mishahara, isipokuwa wanajeshi tu
 
Mwita 25, unadanganya na kuwahadaa watu, si wafanyakzi wa serikali kuu wala serikali za mitaa waliopata mishahara, isipokuwa wanajeshi tu

Mkuu huyu ni wa kumpuuuza kwani hajwahi kuwa serious hata kwenye mambo ya msingi.
 
zimeishia marekani alikokwenda Rais na msafara wa watu 150.wanasubili kodi za mwisho wa mwezi huu
 
Kwa kifupi mwezi huu watumishi wote wa umma wataanza kupata mishahara mipya. Kazini kwetu tumeshapewa hilo tangazo kuwa mishahara ni tarehe 4 oktoba. Hiki ni kitu cha kawaida kila mwaka mishahara mipya inapoaanza kulipwa huwa inachelewa , wandungu poleni habari ndiyo hiyo
 

Mshahara mpya?Upi huo mkuu.
 

Pesa zimepelekwa Igunga na nyingie amesafiria Fisadi Papa Kikwete. Subirini mpaka TRA wazunguke mitaani
 
Hongera ndugu yangu Palalisote kwa taarifa yako ni kweli wengi wa wafanyakazi wamekuwa katika dilemma kuwa nn tatizo?
 

This is Crap, pesa yote mmeenda kuifanyia kampeni huko Igunga
 
poleni wapendwa vpwa igunga nao hawajalipwa?? au ndio maana wanapewa sukari, unga, mchele na vijisent kupunguza makali ya njaa
 
Upo wapi serikali za mitaa au serikali kuu? Sisi wa mitaa tumeshamaliza mishahara ya Septemba, au unamaanisha mishahara ya Oktoba?
Hatushangai kwasababu mshahara wako unaupata kupitia kwa Nape Nnauye aliyekuajiri kuleta lijisura lako humu JF. Siajabu hata mshahara wa mwezi wa Octoba 2011 ulishamaliza.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…