Tanzania ina mafisadi kuanzia kwenye vijiji mpaka ikulu kwa JK. Tena wengine tunashinda nao hapa huku huko makazini kwao wanaiba au hawatoi haki kwa Watanzania wenzao.
JK angelikuwa serious, kinachotakiwa hapa ni kuanzisha mapambano na mahakama maalumu ya kupambana na ufisadi.
Hizo pesa zote zinapotea kwenye wizara moja na hakuna anayewajibika? Sasa kwanini tuna makatibu wakuu, mawaziri na watendaji wengine? Kama waziri amelaza tumbo lake tu kwenye shangingi huku 3.5B zinaibiwa, kweli mtu kama huyo anatufaa?
Nchi hii inasikitisha sana.
JK angelikuwa serious, kinachotakiwa hapa ni kuanzisha mapambano na mahakama maalumu ya kupambana na ufisadi.
Hizo pesa zote zinapotea kwenye wizara moja na hakuna anayewajibika? Sasa kwanini tuna makatibu wakuu, mawaziri na watendaji wengine? Kama waziri amelaza tumbo lake tu kwenye shangingi huku 3.5B zinaibiwa, kweli mtu kama huyo anatufaa?
Nchi hii inasikitisha sana.