Ni kundi moja na hao akina Azam na Mo tofauti ni vifungashio tuuRedbull nayo inashida?? Zamani nilikuwa nakitumia Sana.
Ndiyo maana ikaitwa addictionEffects gani acha porojo afu unakuaje addicted na kitu ni kwamba huwezi kujiamulia Hadi kikuamulie au?
Unajuaje kama wanakuwa na uchovu au wanahitaji wasisinzie Ili kufanya kitu fulani nk nkNa hapo wamepunguza mils zake, mwanzo makopo yalikuwa makubwa!! Ila Energy drink hazifai kwa matumizi, zile ziwe zinatumika kama dawa tena mara chache labda una uchovu hapo ndio ugonge ila watu wanagonga kama wanavyokunywa soda au maji.
Na hapo inasaidia kupunguza ukali wa hizo pombe,mimi huwa nachanganya na soft drinks za kawaida.Usichojua ni kwamba vijana wana changanya na konyagi, K vant na pombe nyingine za spirit. Wachache sana wanainywa dry.
Wivu tuu unawasumbua,kwa taarifa yako sio tu watanzania wanavinywa ila ni moja ya bidhaa ambayo Azam wameipatia maana ina soko kote East Afrika Hadi Kusini,Ukienda kwenye maduka na malls za Kenya zinatembea kama zote Hali kadhalika Zambia na mimi ni mteja wao.Embu fikiria tu sigara imeandikwa kabisa madhara yake. Lakini watu wanaendelea kuvuta na Watanzania wengi ni wapuuziaji wa mambo kwajiyo hata serikali ifanye vipi lakini hivyo vidude watu wataendelea kunywa tu. Na huenda vikapanda na bei.
Uko sensitive na caffeine acha kutumia utakuja kuwafia watu na pressure.Usitukie energy drink zozote unless haina hiyo constituent ya caffeine.Nachoka ovyo, natoka jasho sana, muda mwngne mapigo ya Moto kwenda mbio. Kuna hisia flani inakuwa nayo mwili hauko sawa. Nikiacha baada ya muda inakuwa sawa. Nataka niflash mwili nione nitakuwaje.
Ujinga as usualHizo energy drink ni sumu za kuua Waafrika.
Kwani wewe unadhani kutatokea nini? Shindiaga mawanga na sukari ndio utajua kitatokea nini Kati yako na wewe.Nilikaa sehemu nikamshuhudia mtu kapiga Bia moja,akaagiza supu,bada ya supu akaagiza konyagi ndogo na Energy drink moja akawa anamix,nikajiuliza hivi mtu kama huyu kama huu ndio unywaji wake mwisho wa siku kutatokea nini?
Mimi hayo mengine Sina shida nayo natumia vzuri tu kuanzia kahawa majani ya chai ila hizi energy drinks nmeztumia zaidi ya kiwango kinachohitajika nikajikuta nimeanza kuwa na uraibu nazo hivyo nmedhamiria kuacha, leo naelekea siku ya nne sijat Iumia badala yake natumia maji, ila nataka niflash mwili kwanza.Uko sensitive na caffeine acha kutumia utakuja kuwafia watu na pressure.Usitukie energy drink zozote unless haina hiyo constituent ya caffeine.
Hata majani ya chai usitumie maana yanakuwaga na nicotine na caffeine pia,wewe kuwa mteja wa asali na majani mengine ya kienyeji
Usipoelewa wewe Radha yake ni shida zako na ulimi wako mimi na wengine wanaoikubali tunikubali.mkuu ni kweli kabisa, na pia kuwepo udhibit wa utengenezaji bidhaa sio mtu anagoogle tuu how to make energy drink (kitu ambacho Mo a.k.a mwamed kafanya) halafu anaruhusiwa kuleta bidhaa sokoni. Yaani ukinywa Mo energy sijui ina ladha gani gata hua sielewi...
kweli mkuu sikatai uenda taste buds zangu zina mushkeliUsipoelewa wewe Radha yake ni shida zako na ulimi wako mimi na wengine wanaoikubali tunikubali
Hawa ndo vilaza wa kitanzania. Kila kitu mnasingizia mataifa ya nje. Kwani mmelazimishwa?
Vijana ni jalala la kila kitu.
Energy drinks, pombe, al-kasusu, Mundende, Kasongo power, Mwafya, Pweza etc
Heeeeeeh kumbe?Izo energy huku mtaani tunachanganya na panaldo zinatusaidia kupiga show za kibabe kwa mwanamke