zagarinojo
JF-Expert Member
- Jul 26, 2020
- 2,622
- 2,835
Habari wana JF.Sekta ya burudani imeendelea kukua kwa kasi sana. Nikijikita katika mziki hasa(Bongo Fleva).
Ni moja ya sehemu ambayo imekuwa ikiwapa vijana ajira lakini pia imechangia upatikanaji wa mapato kwa serikali kwa kiasi kikubwa sana.
Wanamuziki wetu wa muziki huu wa kizazi kipya wamekuwa wakipambana sana lakini support wanayopata serikalini ni ndogo sana.
Tukichukulia mfano Serikali ingewajengea ukumbi maalumu wa kufanya matamasha(Arena)unaochukua watu wengi zaidi na wenye vifaa vingi na wa kudumu.
Kwanza ungeingiza mapato zaidi na kuitangaza sekta ya mziki na Tanzania kwa ujumla.
Lakini kuwatumia wanamuziki kwenye kampeni tu haitoshi. Wasanii katika nchi za ughaibuni wanawaachia wanasiasa kampeni Ila huku kwetu kampeni ndo kama jukwa a la wasanii.
Wasanii katika nchi za wenzetu wanapewa heshima kubwa ikiwemo kushiriki katika masuala makubwa ya kidunia mfano kampeni za kupinga ubaguzi,kampeni za kulinda amani lakini sisi eti kampeni.
Lakini hata hivyo muziki bado haulipi kisawasawa.
Kwa mfano kwa wanaoujua wimbo wa "Despacito" by Luis Fonsi ndio wimbo uliotazamwa zaidi Duniani.
Huyu jamaa faida aliyoingiza katika wimbo ule huwezi hata kulinganisha na mafanikio ya Diamond Platnumz kwa miaka 10..
Sasa je kama wimbo mmoja unamlipa kiasi hiko unadhani baada ya miaka kadhaa atakuwa wapi?
Serikali yetu hii na Basata wanafungia nyimbo zetu Kwa sababu eti hazina maadili wakati huo huo tunatazama nyimbo za Kina Nick Minaj na Cardi B kwenye vituo vyetu vya TV je za wenzetu kwani zina maadili.
Maadili hayawezi kujengwa na Basata bali wazazi wa watoto. Wasanii hawafanyi kazi kwa uhuru kabisa
Ni moja ya sehemu ambayo imekuwa ikiwapa vijana ajira lakini pia imechangia upatikanaji wa mapato kwa serikali kwa kiasi kikubwa sana.
Wanamuziki wetu wa muziki huu wa kizazi kipya wamekuwa wakipambana sana lakini support wanayopata serikalini ni ndogo sana.
Tukichukulia mfano Serikali ingewajengea ukumbi maalumu wa kufanya matamasha(Arena)unaochukua watu wengi zaidi na wenye vifaa vingi na wa kudumu.
Kwanza ungeingiza mapato zaidi na kuitangaza sekta ya mziki na Tanzania kwa ujumla.
Lakini kuwatumia wanamuziki kwenye kampeni tu haitoshi. Wasanii katika nchi za ughaibuni wanawaachia wanasiasa kampeni Ila huku kwetu kampeni ndo kama jukwa a la wasanii.
Wasanii katika nchi za wenzetu wanapewa heshima kubwa ikiwemo kushiriki katika masuala makubwa ya kidunia mfano kampeni za kupinga ubaguzi,kampeni za kulinda amani lakini sisi eti kampeni.
Lakini hata hivyo muziki bado haulipi kisawasawa.
Kwa mfano kwa wanaoujua wimbo wa "Despacito" by Luis Fonsi ndio wimbo uliotazamwa zaidi Duniani.
Huyu jamaa faida aliyoingiza katika wimbo ule huwezi hata kulinganisha na mafanikio ya Diamond Platnumz kwa miaka 10..
Sasa je kama wimbo mmoja unamlipa kiasi hiko unadhani baada ya miaka kadhaa atakuwa wapi?
Serikali yetu hii na Basata wanafungia nyimbo zetu Kwa sababu eti hazina maadili wakati huo huo tunatazama nyimbo za Kina Nick Minaj na Cardi B kwenye vituo vyetu vya TV je za wenzetu kwani zina maadili.
Maadili hayawezi kujengwa na Basata bali wazazi wa watoto. Wasanii hawafanyi kazi kwa uhuru kabisa