Wasanii wetu wa Tanzania mnachangia sana Mmonyoko wa Maadili

Aug 30, 2023
86
111
Wasanii wetu mnafnya kazi nzuri, lakini mnachangia kwenye Mmonyoko wa Maadili. Tambua nyinyi mnafatiliwa na watu wengi sana wa Rika zote nyimbo mnazoimba nyingi za ajabu, video mnazopost kwenye mitandao ya kijamii hazina Maadili mfano nyimbo kama ameyatimba, nakojoa pazuri, chapati nk.

Muziki wa singeli ndio usiseme kabisa na unakuta watoto wadogo wanaimba hizo nyimbo, nahisi Wasanii wanahitaji kupewa semina ya kutambua umuhimu wao na nafasi zao katika jamii zetu.
 
Wasanii wetu mnafnya kazi nzuri ,lakini mnachangia kwenye Mmonyoko wa Maadili ,Tambua nyinyi mnafatiliwa na watu wengi sana Wa Rika zote nyimbo mnazoimba nyingi za ajabu ,video mnazopost kwenye mitandao ya kijamii hazina Maadili mfano nyimbo kama ameyatimba ,nakojoa pazuri ,chapati nk,Mziki.wa singeri ndio usiseme kabisa na unakuta watoto wadogo wanaimba hizo nyimbo ,nahisi Wasanii wanahitaji kupewa semina ya kutambua umuhimu wao na nafasi zao katika jamii zetu.
Hao ndio watumbuizaji kwenye kampeni za ccm
 
Wasanii wetu mnafnya kazi nzuri, lakini mnachangia kwenye Mmonyoko wa Maadili. Tambua nyinyi mnafatiliwa na watu wengi sana wa Rika zote nyimbo mnazoimba nyingi za ajabu, video mnazopost kwenye mitandao ya kijamii hazina Maadili mfano nyimbo kama ameyatimba, nakojoa pazuri, chapati nk.

Muziki wa singeli ndio usiseme kabisa na unakuta watoto wadogo wanaimba hizo nyimbo, nahisi Wasanii wanahitaji kupewa semina ya kutambua umuhimu wao na nafasi zao katika jamii zetu.
Kuna wasanii wakiimba lazima washike mbele ya suruali kwenye zipu sijui panawasha au sijui kitu gani
 
Wenyewe wanajiita vioo vya jamii

Wakati ni upuz mtupu

Ova
 
Wasanii wetu mnafnya kazi nzuri, lakini mnachangia kwenye Mmonyoko wa Maadili. Tambua nyinyi mnafatiliwa na watu wengi sana wa Rika zote nyimbo mnazoimba nyingi za ajabu, video mnazopost kwenye mitandao ya kijamii hazina Maadili mfano nyimbo kama ameyatimba, nakojoa pazuri, chapati nk.

Muziki wa singeli ndio usiseme kabisa na unakuta watoto wadogo wanaimba hizo nyimbo, nahisi Wasanii wanahitaji kupewa semina ya kutambua umuhimu wao na nafasi zao katika jamii zetu.
Uwape semina? Mbona tumechelewa... Wengi wa Hawa wameshapewa semina na mikataba ya kuzimu kuhakikisha wanaharibu jamii kupitia nyimbo, lifestyle nk. Wanajua vyema wanachokifanya... Hivyo badala ya kukaa hapa kulalamika serikali, tumia muda huo kuwafundisha maadili wanao, na watoto wa nduguzo.

Kama mtu anaweza fungi wa wimbo kwa sababu ya mitusi alafu akalipa fine wakati wimbo ushasikilizwa na ma elfu Kuna maana hapo?
 
Uwape semina? Mbona tumechelewa... Wengi wa Hawa wameshapewa semina na mikataba ya kuzimu kuhakikisha wanaharibu jamii kupitia nyimbo, lifestyle nk. Wanajua vyema wanachokifanya... Hivyo badala ya kukaa hapa kulalamika serikali, tumia muda huo kuwafundisha maadili wanao, na watoto wa nduguzo.

Kama mtu anaweza fungi wa wimbo kwa sababu ya mitusi alafu akalipa fine wakati wimbo ushasikilizwa na ma elfu Kuna maana hapo?
Hawa nao wanazingua inatakiwa wimbo upelekwe basata kabla haujawa relised
 
Back
Top Bottom