Informer
JF-Expert Member
- Jul 29, 2006
- 1,582
- 6,627
Tusichukulie poa, mtanzania mwenzetu anapitia wakati mgumu.
Asasi za kiraia pia zisaidie katika hili
UPDATE:
Ray C ametoa majibu kwa wale walioanza kumendea rambirambi zake
Asasi za kiraia pia zisaidie katika hili
UPDATE:
Ray C ametoa majibu kwa wale walioanza kumendea rambirambi zake
Ray C: Acheni hizo, hafi mtu hapa!
Asante sana dada yetu kipenzi. Wajinga sie. Tusamehe haturudii tena. Asili >> https://www.jamiiforums.com/index.php?threads/1580679/
www.jamiiforums.com