Chizi Maarifa
JF-Expert Member
- Jul 29, 2013
- 10,471
- 23,744
ðŸ˜ðŸ˜ðŸ˜ðŸ˜ðŸ˜ðŸ˜ðŸ˜ðŸ˜ðŸ˜ Siku nyingine ya maumivu makubwa kwangu.mi mwaka huu ntakufa tu kwa presha. Mikia mmekuwa wahuni na wakatili sana. Sijapata ona watu wakatili kama nyinyi.
Mmemchukua Morrison mmemchukua Bwalya.tumemtafuta sisi siku zote. Midfielder kisheti, mchezaji wa Chipolopolo. Sisi Yanga ndo kipindi chote tulimalizana naye, nyie wahuni akina Hanspope na Magori hamtaenda mbinguni hata iweje.
Nmeumia sana, sasa naacha kushabikia mpira ntakufa bure mimi.
Jamani mimi nmewakosea nini nyie viumbe. Mi nateseka week nyingine hii siwezi hata kula.
Team yangu inanyanyaswa kabisa. Naumia.
Mmemchukua Morrison mmemchukua Bwalya.tumemtafuta sisi siku zote. Midfielder kisheti, mchezaji wa Chipolopolo. Sisi Yanga ndo kipindi chote tulimalizana naye, nyie wahuni akina Hanspope na Magori hamtaenda mbinguni hata iweje.
Nmeumia sana, sasa naacha kushabikia mpira ntakufa bure mimi.
Jamani mimi nmewakosea nini nyie viumbe. Mi nateseka week nyingine hii siwezi hata kula.
Team yangu inanyanyaswa kabisa. Naumia.