aleesha
JF-Expert Member
- Oct 17, 2016
- 776
- 1,121
👉Pambano la Mandonga Zanzibar lifutwe 🙅
Hivi kweli Chama cha Ngumi Tanzania viongozi wao wanaelewa vyema sheria za mchezo huo?
Ndugu zangu Watanzania bara na visiwani, hivi kweli Mandonga anastahili kuangaliwa tu na kuachwa acheze mchezo huo,bila kuzingatia hali yake?
Kwanini Mtanzania huyu haonewi huruma? Mandonga anafanya mapambano bila ya kupumzika, kwamba haichukui muda akimaliza pambano hili, mara unasikia wiki ijayo anaenda kupigana na Bondia mwingine.
Chama cha Ngumi wanamtambua Bondia huyo lakini na wanamfwatilia?
Ni jambo la kusikitisha sana, nimeambiwa Mandonga anatarajiwa kufanya pambano visiwani Zanzibar tena 😥
Mimi nashauri kama Mtanzania kuwa serikali imzuie Mandonga kwanza asicheze, sio kwakuwa hafai kucheza mchezo huo, lakini inawezekana Mandonga anahitaji elimu zaidi juu ya mchezo huo.
Tukumbuke Mandonga ana familia ambayo inamuhitaji na mchezo huo ni wa hatari. Vipi Mandonga aje afie Ulingoni?
Ahsante sana.
Hivi kweli Chama cha Ngumi Tanzania viongozi wao wanaelewa vyema sheria za mchezo huo?
Ndugu zangu Watanzania bara na visiwani, hivi kweli Mandonga anastahili kuangaliwa tu na kuachwa acheze mchezo huo,bila kuzingatia hali yake?
Kwanini Mtanzania huyu haonewi huruma? Mandonga anafanya mapambano bila ya kupumzika, kwamba haichukui muda akimaliza pambano hili, mara unasikia wiki ijayo anaenda kupigana na Bondia mwingine.
Chama cha Ngumi wanamtambua Bondia huyo lakini na wanamfwatilia?
Ni jambo la kusikitisha sana, nimeambiwa Mandonga anatarajiwa kufanya pambano visiwani Zanzibar tena 😥
Mimi nashauri kama Mtanzania kuwa serikali imzuie Mandonga kwanza asicheze, sio kwakuwa hafai kucheza mchezo huo, lakini inawezekana Mandonga anahitaji elimu zaidi juu ya mchezo huo.
Tukumbuke Mandonga ana familia ambayo inamuhitaji na mchezo huo ni wa hatari. Vipi Mandonga aje afie Ulingoni?
Ahsante sana.