OKW BOBAN SUNZU
Platinum Member
- Aug 24, 2011
- 49,235
- 103,880
KENYA: MANDONGA AMCHAKAZA MKENYA KWA TKO
Bondia Mtanzania Kareem Mandonga amefanikiwa kupata ushindi huo wa TKO dhidi ya Daniel Wanyonyi katika pambano la uzito wa kati ‘Super-middleweight’
Kabla ya pambano hilo, Mandonga alisema atamchakaza mpinzani wake huyo kwa ngumi ya Sugunyo ambayo imetoka Ukraine kwenye mlipuko wa mabomu
#JFSports #JamiiForums
Bondia Mtanzania Kareem Mandonga amefanikiwa kupata ushindi huo wa TKO dhidi ya Daniel Wanyonyi katika pambano la uzito wa kati ‘Super-middleweight’
Kabla ya pambano hilo, Mandonga alisema atamchakaza mpinzani wake huyo kwa ngumi ya Sugunyo ambayo imetoka Ukraine kwenye mlipuko wa mabomu
#JFSports #JamiiForums