imhotep
JF-Expert Member
- Oct 13, 2012
- 46,674
- 71,039
Mimi niiijuavyo kwenye treni ya reli ya kati wakati unajisaidia kwenye "choo"ambacho kinyesi kinadondoka relini,
Halafu anakuja huyu waziri baada kufikiri usiku kucha huu uharo nduo anakuja kutumwagia
Kuna watu tumbo la kuhara linamsumbua au ana kisukari anakojoa kila mara.....hii miwaziri mingine na huyo anaewachagua wametoka mapangoni ni baadhi ya vizazi vilivyobakizwa kutoka katika zana za kale za mawe.
Halafu anakuja huyu waziri baada kufikiri usiku kucha huu uharo nduo anakuja kutumwagia
Kuna watu tumbo la kuhara linamsumbua au ana kisukari anakojoa kila mara.....hii miwaziri mingine na huyo anaewachagua wametoka mapangoni ni baadhi ya vizazi vilivyobakizwa kutoka katika zana za kale za mawe.