Serikali kuzuia mijadala ya katiba

Serikali kuzuia mijadala ya katiba

Old Member (Retired)

JF-Expert Member
Joined
Sep 29, 2012
Posts
3,401
Reaction score
1,618
Serikali inajipanga kuzuia midahalo yote na hasa inayorushwa kwenye TV kwa kile wanachokiita "sababu za kiusalama"

Kama vile ambavyo mara nyingi vyama pinzani wamekuwa wakizuiwa kufanya mikutano kwasababu za "kiusalama" ndivyo hivyo midahalo hiyo itakavyozuiliwa.

Kwahiyo wanajamii tujiandae kupokea barua hiyo muda wowote ule itakayozuia midahalo "KWASABABU ZA KIUSALAMA"

Wageni wote karibuni Tanzania.
 
Hiyo ndio ilikuwa mbinu na dhamira yao ila huku ni kujidanganya tu.
 
Kwanza wamechelewa kwa sababu sheria ya mabadiliko ya katiba ilitaka baada ya rasimu mijadala kuhusu katiba isiwepo tena hili kutoingiza ushawishi wa siasa; lakini mzee wetu Warioba sijui ana nini asikii yule babu yeye na wenzake wa UKAWA.

Hawa watu ni hatari kwa amani yetu si watu wakukubali demokrasia ichukue mkondo si wasubiri kura ya maoni tu.
 
Kumbe ndio ilikuwa nia ya CCM? Wamshambulie mzee Warioba na kisha wasitishe mijadala ya katiba kwa kisingizio cha usalama?
 
Kwanza wamechelewa kwa sababu sheria ya mabadiliko ya katiba ilitaka baada ya rasimu mijadala kuhusu katiba isiwepo tena hili kutoingiza ushawishi wa siasa; lakini mzee wetu Warioba sijui ana nini asikii yule babu yeye na wenzake wa UKAWA.

Hawa watu ni hatari kwa amani yetu si watu wakukubali demokrasia ichukue mkondo si wasubiri kura ya maoni tu.

post ya kijinga kabisa, huwezi kufunga midomo watu kujadili suala linalowahusu wao na vizaizi vijavyo

demokrasi itachukuaje mkondo endapo elimu kwa umma inadhibitiwa wewe kiazi? maybe hata hujui maana ya demokrasia

what a low ass imbecilic post
 
Kwa hiyo CCM wanataka wananchi wote tukubaliane na udikiteta wao? Kitawaka!!!!!!
 
post ya kijinga kabisa, huwezi kufunga midomo watu kujadili suala linalowahusu wao na vizaizi vijavyo

what a low ass imbecilic post
Kwa hivyo akili ni kupotosha kuanzia sheria walizoshiriki kuzitunga UKAWA, utaratibu waliomua kuufuata na baadae kukimbia mchakato wa katiba kwa sababu za kimaslahi binafsi.

Mbona vitu viko wazi baada ya rasimu kutakuwa hakuna midahalo ya kuhusu katiba tena.

Imbecile mwenyewe katiba ikishatungwa na bunge wananchi tena wataamua kwa kuipigia kura. Wakati CCM wanainada kwa wananchi waikubali; kwa nini UKAWA wasiwashawishi kuikataa kwa kuwaeleza maslahi ya wananchi yamenyimwa wapi kikatiba.

Sasa wewe pimbi unaelazimisha agenda za lazima ndio unaona akili? Ni kwanini udhani wengine wanahaki ya kusema yale waliyo yaandika wao ndio sahihi? Vinginevyo funga domo lako maana uwezi kuchanganya na zako.
 
Kesho utaambiwa serikali inampango wa kusitisha mitandao ya kijamiii kisa katiba mpaka maoni yatakapotoka mei
 
Serikali inajipanga kuzuia midahalo yote na hasa inayorushwa kwenye TV kwa kile wanachokiita "sababu za kiusalama"

Kama vile ambavyo mara nyingi vyama pinzani wamekuwa wakizuiwa kufanya mikutano kwasababu za "kiusalama" ndivyo hivyo midahalo hiyo itakavyozuiliwa.

Kwahiyo wanajamii tujiandae kupokea barua hiyo muda wowote ule itakayozuia midahalo "KWASABABU ZA KIUSALAMA"

Wageni wote karibuni Tanzania.

Kuna vitu huwezi kuvizuia muda wake ukifika, mojawapo ni mabadiliko....!!!!
 
Wamejiandaa lini kufanya hivo? Hawawezi bana
 
Kwa hivyo akili ni kupotosha kuanzia sheria walizoshiriki kuzitunga UKAWA, utaratibu waliomua kuufuata na baadae kukimbia mchakato wa katiba kwa sababu za kimaslahi binafsi.

Mbona vitu viko wazi baada ya rasimu kutakuwa hakuna midahalo ya kuhusu katiba tena.

Imbecile mwenyewe katiba ikishatungwa na bunge wananchi tena wataamua kwa kuipigia kura. Wakati CCM wanainada kwa wananchi waikubali; kwa nini UKAWA wasiwashawishi kuikataa kwa kuwaeleza maslahi ya wananchi yamenyimwa wapi kikatiba.

Sasa wewe pimbi unaelazimisha agenda za lazima ndio unaona akili? Ni kwanini udhani wengine wanahaki ya kusema yale waliyo yaandika wao ndio sahihi? Vinginevyo funga domo lako maana uwezi kuchanganya na zako.

Wewe Kahaba hukumsikia Kikwete akiwsagiza nyie mapimbi kuwa muende kuelimisha wananchi kuhusu rasimu ya katiba mliyopitisha? Na hiyo elimu mnatolea wapi kama sio kwenye mijadala!? We umezoea kuvua ch*pi haya mengine unajilazimisha
 
Kwa hivyo akili ni kupotosha kuanzia sheria walizoshiriki kuzitunga UKAWA, utaratibu waliomua kuufuata na baadae kukimbia mchakato wa katiba kwa sababu za kimaslahi binafsi.

Mbona vitu viko wazi baada ya rasimu kutakuwa hakuna midahalo ya kuhusu katiba tena.

Imbecile mwenyewe katiba ikishatungwa na bunge wananchi tena wataamua kwa kuipigia kura. Wakati CCM wanainada kwa wananchi waikubali; kwa nini UKAWA wasiwashawishi kuikataa kwa kuwaeleza maslahi ya wananchi yamenyimwa wapi kikatiba.

Sasa wewe pimbi unaelazimisha agenda za lazima ndio unaona akili? Ni kwanini udhani wengine wanahaki ya kusema yale waliyo yaandika wao ndio sahihi? Vinginevyo funga domo lako maana uwezi kuchanganya na zako.
Mbona inafahamika vyema tu hata kwa wajinga kwamba katiba inayopendekezwa omekusanya mawazo ya upande mmoja (CCM) na kupuuza upande mwingine?Katiba hii imekosa sifa ya kuitwa Katiba ya Taifa kwasababu imetayarishwa bila kuzingatia maridhiano ya pande zinazokinzana kimawazo na kimtazamo.
 
Wewe Kahaba hukumsikia Kikwete akiwsagiza nyie mapimbi kuwa muende kuelimisha wananchi kuhusu rasimu ya katiba mliyopitisha? Na hiyo elimu mnatolea wapi kama sio kwenye mijadala!? We umezoea kuvua ch*pi haya mengine unajilazimisha
Another bogus si ndio maana ya kuinada au we ushazoea kununua mbuzi wa kwenye magunia sito shangaa kama umeichangia CDM jana.

Kinachozuia na wewe kuwaelimisha wananchi kuhusu katiba mpya nini ili wajue haki zao zimekuwa deprived kivipi. Lakini habari za kusema wananchi walitaka ABC sijui CCM wamefanya hivi na vile ni upotoshaji na uchonganishi kazi ya tume imeisha mjadala sasa ni katiba iliyopo kama wengine awakutaka kushiriki kwa utashi wao kwanini waongope?
 
Kwa hivyo akili ni kupotosha kuanzia sheria walizoshiriki kuzitunga UKAWA, utaratibu waliomua kuufuata na baadae kukimbia mchakato wa katiba kwa sababu za kimaslahi binafsi.

Mbona vitu viko wazi baada ya rasimu kutakuwa hakuna midahalo ya kuhusu katiba tena.

Imbecile mwenyewe katiba ikishatungwa na bunge wananchi tena wataamua kwa kuipigia kura. Wakati CCM wanainada kwa wananchi waikubali; kwa nini UKAWA wasiwashawishi kuikataa kwa kuwaeleza maslahi ya wananchi yamenyimwa wapi kikatiba.

Sasa wewe pimbi unaelazimisha agenda za lazima ndio unaona akili? Ni kwanini udhani wengine wanahaki ya kusema yale waliyo yaandika wao ndio sahihi? Vinginevyo funga domo lako maana uwezi kuchanganya na zako.

We ni mbulula hujui lolote!pole yako.
 
Mbona inafahamika vyema tu hata kwa wajinga kwamba katiba inayopendekezwa omekusanya mawazo ya upande mmoja (CCM) na kupuuza upande mwingine?Katiba hii imekosa sifa ya kuitwa Katiba ya Taifa kwasababu imetayarishwa bila kuzingatia maridhiano ya pande zinazokinzana kimawazo na kimtazamo.
Let me guess CCM iliwafungia milango wajumbe wa UKAWA wasishiriki si UKAWA wenyewe wamekubali akili ndogo iongoze akili kubwa na kuchukua maamuzi ya kipuuzi kususia bunge sasa wanalia nini.

Wawache wananchi waamue kama katiba mpya aiwafai; lakini habari za tume ya rasimu ilishakwisha loongi na muda wa kutoa maoni pia.
 
Back
Top Bottom