Katika mpango wa kupambana na viongozi wa dini wanaoyumbisha serikali ya Kikwete na wanausalama wameamua kutumia nguvu kupita kiasi na inategemewa kuanza kuwasakama mapandri, maaskofu na mashehe wanaopingana na serikali kwa kiwango kikubwa.
Katika mpango wa kwanza ni kuwazushia vyesi zikiwemo za madawa ya kulevya, ubakaji na kuwatengenezea ajali za magari ili kuzima mpango wao wa kutofautiana na serikali.
Kwa ushauri wetu mpango huu ukitekelezeka kwa kiwango kikubwa unaweza kuipeleka nchi pasipotakiwa na kuyumbisha serikali zaidi kwani kuna kundi kubwa na mahusiano makubwa ya wanaharakati ndani ya dini zote na wameunda mitandao yao na kama wakishambuliwa kutakuwa na madhara makubwa.
Katika mpango wa kwanza ni kuwazushia vyesi zikiwemo za madawa ya kulevya, ubakaji na kuwatengenezea ajali za magari ili kuzima mpango wao wa kutofautiana na serikali.
Kwa ushauri wetu mpango huu ukitekelezeka kwa kiwango kikubwa unaweza kuipeleka nchi pasipotakiwa na kuyumbisha serikali zaidi kwani kuna kundi kubwa na mahusiano makubwa ya wanaharakati ndani ya dini zote na wameunda mitandao yao na kama wakishambuliwa kutakuwa na madhara makubwa.