Uzalendo wa Kitanzania
JF-Expert Member
- Mar 8, 2020
- 2,207
- 4,703
Wadau wa JF
Nawasalimu kwa Jina la Jamhuri Ya Muungano Wa Tanzania
Waziri Mkuu wa Serikali ya Jamhuri Ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Kassimu Mjaliwa amesema Serikali ipo mbioni kutekeleza mradi wa kimkakati wa uzalishaji wa gesi asilia ya kimiminika (LNG) utakaogharimu dola za Kimarekani Bilioni.30
Mradi huo wa kimkakati ambao Rais Samia Suluhu Hassani amepania kuutekeleza katika awamu ya sita ambapo utakapoanza kutekelezwa utatumika kwa kipindi cha zaidi ya miaka 25
Mhesh Majaliwa alikuwa akizungumza na wadau wa maendeleo wa Mkoa wa Lindi leo kwenye Hoteli ya Sea View
KaziIendelee
Nawasalimu kwa Jina la Jamhuri Ya Muungano Wa Tanzania
Waziri Mkuu wa Serikali ya Jamhuri Ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Kassimu Mjaliwa amesema Serikali ipo mbioni kutekeleza mradi wa kimkakati wa uzalishaji wa gesi asilia ya kimiminika (LNG) utakaogharimu dola za Kimarekani Bilioni.30
Mradi huo wa kimkakati ambao Rais Samia Suluhu Hassani amepania kuutekeleza katika awamu ya sita ambapo utakapoanza kutekelezwa utatumika kwa kipindi cha zaidi ya miaka 25
Mhesh Majaliwa alikuwa akizungumza na wadau wa maendeleo wa Mkoa wa Lindi leo kwenye Hoteli ya Sea View
KaziIendelee