Serikali kuongeza vituo 2000 zaidi vya WiFi ya bure nchini humo

Lady Whistledown

JF-Expert Member
Aug 2, 2021
1,005
1,583
Serikali inaongeza vituo 2,000 zaidi vya Wi-Fi ya bure kote nchini katika hatua ambayo inatajwa kuongeza ufikiaji wa huduma ya intaneti katika maeneo ya pembezoni mwa nchi, ikiwemo wakati wa dharura kwa watakaohitaji huduma za Serikali kama vile usajili wa Vitambulisho vya Taifa

Hadi sasa Uganda imeweka vituo 600 vya Wi-Fi katika Mikoa mbali mbali nchini humo ambapo 300 kati yao vipo Jijini Kampala

..............................

The Uganda government will install 2,000 Wi-Fi hotspots across the country in a move that will extend internet access in far-flung areas. The project is being done as part of the US$75 million Regional Communications Infrastructure Programme that started in 2016, and ends this year.

The free Wi-Fi hotspots installation programme will be rolled out in every location where government’s national backbone infrastructure exists.

The Uganda Monitor quotes a senior Government official saying citizens will be able to access the network after hours while Government officials will utilize the facility during peak hours. “We would like to provide free internet to selected areas at selected times. The internet that we are providing will be utilised by government during working hours, and by citizens after working hours, and weekends,” said the official.

He added that the internet will also be used during emergencies for people applying for government services such as national identification registration. Government has so far installed 600 Wi-Fi hotspots with 300 of these situated in regional cities and another 300 in Kampala.

SOURCE: BBC
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom