mageuzi1992
JF-Expert Member
- Apr 9, 2010
- 2,503
- 252
'' Serikali imesema mabalozi wanaowakilisha nchi zao nchini wanapaswa kutambua kuwa, wanawajibika kuheshimu Mkataba wa Kimataifa wa Vienna unaoainisha taratibu za Kidiplomasia...............Hii ni kutokana na wiki iliyopita balozi Lu Younqing wa China kujitokeza kwenye mkutano wa hadhara wa CCM uliofanyika Shinyanga, huku amevalia moja ya sare za chama Hicho. Akizungumzia kitendo hicho Naibu Waziri wa mambo ya Nchi za Nje na Ushirikiano wa Kimataifa, mahadhi Juma Maalim, alisema serikali inajiaandaa kumwandikia barua ya kumkumbusha wajibu wake na kwamba itafanya hivyo baada ya kukusanya taarifa''''' Mwisho wa Kunuukuu kutoka ''Mwananchi , Jumatano , Septemba , 18 ,2013''
Baada ya kusoma habari hii ndio ninapopata shida na uwezo wa Nape.....Na pia nashangaa baadhi ya wachangiaji humu JF waliokuwa wanawapiga vijembe wote waliokosoa jambo hili! Shame on Them!!!
Baada ya kusoma habari hii ndio ninapopata shida na uwezo wa Nape.....Na pia nashangaa baadhi ya wachangiaji humu JF waliokuwa wanawapiga vijembe wote waliokosoa jambo hili! Shame on Them!!!