Herbert Nkuluzi
JF-Expert Member
- Aug 10, 2015
- 2,432
- 2,436
nacheka tu
Ni kweli!Tarehe 22/23 sio mbali.
Kabisa. Na majina mengi hayamo alhali madai mengine ni ya nyongeza halali za mishahara.Naona majina yametoka ila taasisi nyingi hazimo.
Nimeshindwa kifungua aisee,sijui nifanyeniniNaona majina yametoka ila taasisi nyingi hazimo.
Kweli kabisa!! Hii ni kudhalilishana!Tumieni check number badala ya majina for security and privacy reasons
Wakitoa unitag! Kuna mtu namdai nataka kujihakikishia kulipwa deniNaamini watalipa sababu wanasema majina yatatoka kesho
Mkuu nimeona jina lako nambaNaona kuna madai halali yamefanywa kuwa madai yasiyo halali...
Watoe na majina ya waliokuwa wanaidai serikali ila hawatalipwa. Na serikali ieleze ni kwa sababu gani kila mmoja wa waliokuwa wanaidai hapaswi kulipwa.
Vinginevyo tunaoidai serikali bado tupo.
Safari bado ni ndefu sana aiseeOrodha ya majina inaonesha ni malimbikizo ya mishahara , ni Vipi kuhusu madai mengine Kama Likizo,uhamisho,posho ya kujikimu n.k? AMA nayo itakuwa na orodha inayojitegemea au ndiyo mambo ya Viwonder!!!!!
MUNGU TUNAKUOMBA UTUPIGANIE. NGUVU ZIMENIISHIA. KWANINI SIMO?. JINA LA BWANA LIHIMIDIWE. AMENNaona majina yametoka ila taasisi nyingi hazimo.
Tuna muomba MUNGU atupe nguvu na kutufariji. Hapa Duniani??????? panachanganya sana. Tuombeane na kufunga kwa pamoja.MUNGU TUNAKUOMBA UTUPIGANIE. NGUVU ZIMENIISHIA. KWANINI SIMO?. JINA LA BWANA LIHIMIDIWE. AMEN