Serikali kulipa madai ya Watumishi wa Umma, yatalipwa February pamoja na mshahara! Soma hapa majina..

Kwamba hii ni orodha ya mwisho...kama jina halimo, haki stahiki imekwenda na maji! Nadhani Waziri Mpango ataweka utaratibu wanamna ya kupata uhakika kwa nini stahiki umenyimwa kwa waliodhani wanastahili.
 
Tuna muomba MUNGU atupe nguvu na kutufariji. Hapa Duniani??????? panachanganya sana. Tuombeane na kufunga kwa pamoja.
Hivi ni kweli kuna MUNGU?. Na kama yupo naomba atusamehe, naona hali ya kiroho inadondoka. Kwa muda huu tunahitaji neno la kutusimamisha na kutuongoza kwenye njia nzuri.
 
Wadhulumati wa kubwa na Mungu wa mbinguni awalaani WOTE wanaowaonea wanyonge wapate maisha ya mateso na manyanyaso pindi NAO watafanana na SISI
 
Hivi mnaielewa serikali ya awamu ya 5 inavyooperate??

Hizo bilioni 43 za kuwalipa walimu ni hewa.......

Wanajua kuwa hivi sasa wanakabiliwa na uchaguzi mgumu kabisa wa Kinondoni, kwa hiyo wana jaribu kufanya kila wawezalo ili jimbo hilo lisiende upinzani....

Na strategy mojawapo ni kuja na ahadi "hewa" kuwa malimbikizo ya zaidi ya shilingi bilioni 200 za kuwalipa walimu mwisho wa mwezi huu kuwa zipo tayari!

Wanasubiri walimu wapige kura February 17 halafu ikishafika mwisho wa mwezi, watafute namna nyingine ya kuwapiga fix!
 
Majina mengine yapo wapi, toeni na orodha ya waliokataliwa. Wengi wameachwa dr. Mpango
 
Leo ndio nimekumbuka maneno ya mchungaji mmoja wa mbeya. Kwamba "huenda madai yako serikalini ni ya mda mrefu na hulipwi kwa sababu huna mtu wa kufuatilia, naomba tuimbe pamoja hii chorus" wewe ni Mungu haubadiliki........
 
Umekurupuka kutoka usingizini mkuu?

Huu ndio mwezi wa pili sasa iyo kesho kutwa imefanyaje?
ınawezekana we ğujuı zaıdı ya unavyomdharau mwenzıo, ıkıshafıka tarehe 9 mambo yamşhahara wa mwezı huo huwa tayarı yameshapangwa, jıulze leo tarehe ngapı?
 
Miaka saba tangu nifanye kazi halmashauri sijawahi kulipwa pesa ya likizo wala kupata promotion.Na huenda hadi serikali hii imalize muda wake wa miaka 14 ndipo nitapata promotion na labda pesa ya likizo.Hata hivyo namtumaini Mungu,ipo siku yangu tu
Mkuu mbona umeandika kipindi cha kumaliza awamu yake jamaa kuwa ni miaka 14??

Je mapendekezo ya akina Nkamia yeshapita??

Lakini kuna msemo unaosema lisemwalo lipo, na Kama halipo linakuja!
 
Kwa orodha waliyotoa naona mauzauza tu. Naona sijui wametoa kwa waajiriwa wapya tu maana hata ukiangalia zile check number za waliolipwa zipo kwenye mtiririko unaokaribiana. Mfano ukiangalia Rufiji DC zote zimeanzia 1119........
 
Wizara tayar imetoa list ya majina takriban 28 elfu ya watumishi ambao watalipwa madai yao baada ya uhakiki

Aambamba na hilo baada ya kuangalia kwa umakin nagundua kuna majna yamejieudia zaid ya mara moja sasa sijui ndo human error au
Kikubwa watumishi wanalipwa hizi nyingine mbwembwe za siasa
Naajaribu kuatach ingoma pdf
 
Wizara tayar imetoa list ya majina takriban 28 elfu ya watumishi ambao watalipwa madai yao baada ya uhakiki

Aambamba na hilo baada ya kuangalia kwa umakin nagundua kuna majna yamejieudia zaid ya mara moja sasa sijui ndo human error au
Kikubwa watumishi wanalipwa hizi nyingine mbwembwe za siasa
Naajaribu kuatach ingoma pdf


Tupatie link
 
Madaraja ya walimu vipi?yaani hii serikali ya awamu ya tano, imejaa uwongo tu!
Acha kuhamisha magoli wewe karai,unadai daraja nenda rufiji kuna daraja la kilometa moja,kazi hamfanyi mpo bize na mambo binafsi,watoto wanafeli kila siku
 
Kwa orodha waliyotoa naona mauzauza tu. Naona sijui wametoa kwa waajiriwa wapya tu maana hata ukiangalia zile check number za waliolipwa zipo kwenye mtiririko unaokaribiana. Mfano ukiangalia Rufiji DC zote zimeanzia 1119........
La muhimu ni je unadai?jina lako lipo au halipo?hayo ya namba za rufiji kufuatana sio tatizo inaonesha kwamba waliajiriwa pamoja na madai yao yanaenda pamoja
 
Tufafanuliwe madeni ni mengi ya WATUMISHI

Mishahara

Likizo

Matibabu

Madaraja

Na mengineyo.

Yanayolipwa ni yapi
 
Back
Top Bottom