Hawa wabunge wa Ccm ni tatizo kwa Taifa. Kila kitu kwao ni ndiooo. Bila kufikiria madhara kwa Taifa. Sheria nyingi zina pitishwa kishabiki na ignorance. Huwa hawangalii athari hadi itokee. Ndipo wanajitokeza kujitambua.Ungeongezea kiganja kuashiria kugonga meza
Iko namna sio bure. Yaani kelele zinazopigwa mchana na usiku kuhusu hili DUDU la IPTL leo wanatangaza kuongezewa mkataba!!?? Mhhh, hata sielewi.Hawa jamaa wakiongezewa mkataba basi nitajua hii nchi ya wasengerema! Bahati nzuri tuna fursa ya kushawishi hawa jamaa wasiongezewe muda. Shime wote tutenge siku tupeleke barua zetu za kupinga kwa mkono, posta na EMS (mimi binafsi nitapeleka kwa mkono na DHL). Wanaharakati na wanasiasa mliowahi kukemea wizi huu wa mchana, hii ni nafasi yenu ya kuitisha mikutano na hata maandamano (Yuvisisimizi mnaweza kuruhusiwa na polisi) kupinga hawa mumiani kupewa nafasi nyingine ya kutuibia.
Na hapa ndo kuna kipimo cha rais wetu, hawa wezi wenye suti wakipewa tena mkataba basi tusisikie tena kelele za ufisadi. Kampuni hii imetudhalilisha kama nchi, imetuibia sana kupitia bei ya umeme ambayo haiingii akilini. Mim kama mwananchi, nipo radhi kukosa umeme kwa nyakati fulani au nyakati zote ili mradi mumiani kama IPTL na wengineo wameondoka ktk sekta ya umeme.
Watapindishapindisha ili tume iundwe kwa ajili ya uponaji
Wamesubiri Majadiliano ya wizara ya Nishati na Madini UISHE ndo wakaomba extensheni...CCM bwana!CCM ndiyo tatizo letu kubwa .... sijui lini Watanzania watazinduka...
Thubutu! Waache kuteka Watanzania wazalendo kama kijana Ben Saanane wamteke singasinga! Mbona hilo haliwezekani...waliozoea vya kunyonga vya kuchinja hawaviwezi!
Hawa wabunge wa Ccm ni tatizo kwa Taifa. Kila kitu kwao ni ndiooo. Bila kufikiria madhara kwa Taifa. Sheria nyingi zina pitishwa kishabiki na ignorance. Huwa hawangalii athari hadi itokee. Ndipo wanajitokeza kujitambua.
Hawa IPTL walichoomba ni leseni tu. Mkataba tayari wanao hadi 2022. Ni kama leseni yako ya biashara unavyoenda ku renew kila mwaka ndicho wanachoomba hapa hao IPTL.Hawa jamaa wakiongezewa mkataba basi nitajua hii nchi ya wasengerema! Bahati nzuri tuna fursa ya kushawishi hawa jamaa wasiongezewe muda. Shime wote tutenge siku tupeleke barua zetu za kupinga kwa mkono, posta na EMS (mimi binafsi nitapeleka kwa mkono na DHL). Wanaharakati na wanasiasa mliowahi kukemea wizi huu wa mchana, hii ni nafasi yenu ya kuitisha mikutano na hata maandamano (Yuvisisimizi mnaweza kuruhusiwa na polisi) kupinga hawa mumiani kupewa nafasi nyingine ya kutuibia.
Na hapa ndo kuna kipimo cha rais wetu, hawa wezi wenye suti wakipewa tena mkataba basi tusisikie tena kelele za ufisadi. Kampuni hii imetudhalilisha kama nchi, imetuibia sana kupitia bei ya umeme ambayo haiingii akilini. Mim kama mwananchi, nipo radhi kukosa umeme kwa nyakati fulani au nyakati zote ili mradi mumiani kama IPTL na wengineo wameondoka ktk sekta ya umeme.
Liliadhimia=liliazimiaKuunda tume wakati bunge liliadhimia huu mkataba uvunjwe.
Lakin maana yake si kwamba kama hawana leseni hawawez kutuuzia umeme? Hata hiyo tu inatosha kuwaondoa.Hawa IPTL walichoomba ni leseni tu. Mkataba tayari wanao hadi 2022. Ni kama leseni yako ya biashara unavyoenda ku renew kila mwaka ndicho wanachoomba hapa hao IPTL.
Kuhusu mkataba bado wapo wapo sana
pombe akija kuyapiga marufuku watamshangilia tena.Hata ile ya VX8 kwamba Serikali haitanunua magari ya kifahari Leo limepigiwa makofi ati watawala wanatakiwa wawe salama na magari salama ni VX 8 haya mengine hapana hadhi ya kupanda Watawala.
Tunapiga makofi meeeeeeeengi papapapa CCM hoyeeeeeeeeeee.Ole wenu nyie Wapinzani mkipinga tu tuna wapiga ban
pombe akija kuyapiga marufuku watamshangilia tena.
--------------
iparamasa said;
IPTL, ile kampuni inayoinyonya usiku na mchana Tanesco na ikakwapua pesa za Escrow, imeomba muda zaidi iendelee kuiuzia umeme Tanesco!
Kampuni hii inaomba leseni wakati nchi ikihangaika na mikataba ya hovyo ya makinikia, na serikali hii itapimwa kama kweli ina nia ya kuondoa unyonyaji sekta zote mpaka kwenye umeme na si makinikia tu.
Je, Magufuli atawapa leseni?
Je, wabunge watasemaje? Hasa wa CCM waliowafungia wenzao mpaka mwaka 2018?
IPTL pia haikuwahi kupewa mkataba wala kutetewa na UKAWA.
Nitakuwa mtu wa mwisho kuamini kuwa mkulu haelewi kama IPTL wameomba kuongezewa mkataba, na kwamba tangazo hili limeletwa kama formalities tu!Hawa jamaa wakiongezewa mkataba basi nitajua hii nchi ya wasengerema! Bahati nzuri tuna fursa ya kushawishi hawa jamaa wasiongezewe muda. Shime wote tutenge siku tupeleke barua zetu za kupinga kwa mkono, posta na EMS (mimi binafsi nitapeleka kwa mkono na DHL). Wanaharakati na wanasiasa mliowahi kukemea wizi huu wa mchana, hii ni nafasi yenu ya kuitisha mikutano na hata maandamano (Yuvisisimizi mnaweza kuruhusiwa na polisi) kupinga hawa mumiani kupewa nafasi nyingine ya kutuibia.
Na hapa ndo kuna kipimo cha rais wetu, hawa wezi wenye suti wakipewa tena mkataba basi tusisikie tena kelele za ufisadi. Kampuni hii imetudhalilisha kama nchi, imetuibia sana kupitia bei ya umeme ambayo haiingii akilini. Mim kama mwananchi, nipo radhi kukosa umeme kwa nyakati fulani au nyakati zote ili mradi mumiani kama IPTL na wengineo wameondoka ktk sekta ya umeme.