Serikali ku-renew mkataba wa IPTL?

EWURA

ambayo nddiyo seikali yenyewe imeshaamua kuhuisha mkataba huo. Yawezekana hata sisi tukipeleka objections watadai "walioafiki wameshinda" maana ndio watakaochukua maamuzi ya mwisho.

EWURA hawajaamua bado, ndo maana wametupa nafasi ya kutoa maoni yetu. EWURA wana kila sababu ya kulifanya jambo hili kwa ushirikiano na wananchi maana wasipowapa mkataba, basi ujue Megawati 100 zinapungua kwenye gridi ya taifa na hivyo lazima mgao utaanza mara moja. Lazima tushirikishwe ili baadae tusilalamike mgao ukianza au wakipewa mkataba mpya pia tusilalamike.

Binafsi nashauri serikali isihuishe mkataba, badala yake waongee nao ili mtambo wauziwe TANESCO (hapa tuwe makini tena na wapigaji) ili wauendeshe wenyewe. Huo mtambo unapaswa uuzwe kwa bei ya chini sana sababu ya depreciation. Mtambo wa IPTL ukiendeshwa na Tanesco itapunguza gharama za uzalishaji na bei ya umeme. Sasa kuna wanasiasa wakikosa hela ya mgao wakati huo mtambo utakapouzwa wataanza kelele zao.
 
Tusikate tamaa mapema. Uso umeumbwa na haya, tukiwatolea macho hawa majizi uchwara wataona haya na kuacha kutuibia. Tutume tu mapingamizi yetu huku tukiainisha sababu kwa nn wasiongezewe muda.
 
ccm walivyo mafisi wa 10% msishangae wakapewa
 
Kwa Magufuli huyuhuyu labda Kama wanataka kurudi kwao kwa aibu.
 
Dah!, safi sana hawa jamaa hawana hata aibu. Swala sasa kajileta mwenyewe, ALIWE!!!!!
 
Hii leseni watapewa tu, hakuna mweye uwezo wa kuwanyima labda mngetengua Power Purchase Agreement (PPA) walioyoingia na Serikali kupitia TANESCO. Kama kuna anayebisha angalia walivyoframe request "continue with electricity generation activities in line with the existing Power Purchase Agreement which ends on 15th January 2022." Tatizo sio license renewal, tatizo lipo kwenye PPA mliyoingia nao.
 
Kwa nini singasinga hatekwi lakini jamani!?
 
Mkuu,kama makinikia tumezuia,sembuse hiki kikampuni kimoja?
 
Yaleyale ya Acacia; mikataba tata left right and and center!
 
Serikali yenyewe ina NIA ya kuwapa hao leseni ila inauliza kama kuna MTANZANIA ana nia ya kuweka PINGAMIZI.
 
Ccm kwenye makinikia waliruka kimanga,je kwenye hill watakuja na gia gani?
 
Kwa nini singasinga hatekwi lakini jamani!?
Thubutu! Waache kuteka Watanzania wazalendo kama kijana Ben Saanane wamteke singasinga! Mbona hilo haliwezekani...waliozoea vya kunyonga vya kuchinja hawaviwezi!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…