Serikali iwe makini: Watoto waliofungiwa ndani kuchukua mafunzo waweza kuwa suicide bombers!

masopakyindi

Platinum Member
Jul 5, 2011
17,901
13,196
Hizi habari kutoka mkoani Kilimanjaro ambako watoto toka sehemu nyingine nchini wanachukua "mafunzo" ya dini , suala hili linaleta wasiwasi mkubwa.

Kwanza kabisa suala hili linafanywa kwa kificho, na pili watoto hawa ni kama wanalazimishwa kufanya hivyo.
Tatu ni mafunzo gani mema ya kidini yanayofanywa kwa kificho?

Conclusion yangu ni moja tu, preparation of suicide bombers!
Hawa watoto malaika masikini ni lazima wanafundishwa na kukaririshwa kuwa wajitayarishe kwenda peponi wakati ukiwadia.

Naomba serikali safari hii ifungue macho maana yale ya Tanga , Amboni yalianza kwa wananchi kulalamika kuwa huko kuna watu wanachukua mazoezi ya kutia shaka.

UPDATE
=====

[h=1]Watoto wengine 11 wakutwa wamefichwa
Posted Ijumaa,Marchi13 2015 saa 10:35 AM[/h]Kwa ufupi
Hii ni mara ya pili katika muda usiozidi wiki moja baada ya polisi kubaini nyumba iliyohifadhi watoto 18 kwa lengo kama hilo Jumamosi iliyopita.



Moshi. Mambo mazito zaidi yamezidi kubainika mkoani Kilimanjaro baada ya polisi kugundua nyumba nyingine yenye watoto kumi na mmoja waliokusanywa kutoka mikoa mbalimbali kwa ajili ya kufundishwa dini.

Hii ni mara ya pili katika muda usiozidi wiki moja baada ya polisi kubaini nyumba iliyohifadhi watoto 18 kwa lengo kama hilo Jumamosi iliyopita.

Kamanda wa polisi mkoani hapa, Geofrey Kamwela alisema tukio hilo linafanya wapelelezi kuumiza vichwa kwa kuwa mikoa waliyotoka ndio ile ile waliyotoka watoto 18 waliokutwa kwenye nyumba moja mjini Moshi.

Nyumba hiyo imebainika wakati kukiwa na madai kwamba baadhi ya misikiti katika maeneo ya Pasua, Njoro na Kibosho yanaendesha mafunzo ya judo na karate.

Kamanda Kamwela alieleza kuwa kama ilivyokuwa awali, watoto waliobainika juzi wanatoka katika mikoa ya Tanga, Dodoma, Singida, Tabora na Kilimanjaro.

Kwa mujibu wa kamanda huyo, watoto hao waligunduka katika nyumba iliyoko eneo la Lyamungo wilayani Hai. Alisema umri wao ni kati ya miaka 14 na 17 na walikuwa wanafundishwa dini na ushonaji.

Alisema kituo hicho ambacho hakijasajiliwa, kinaitwa Umm Sukhail na kinamilikiwa na mwalimu mstaafu, Abubakar Juma (64) mkazi wa Tanga ambaye kwa sasa anaishi maeneo ya Kibosho Mweka.

Kamwela alisema watoto hao wamechukuliwa na polisi kwa uchunguzi zaidi ili kujua sababu za wao kuishi katika eneo hilo pia kubaini ukweli wa mafunzo yanayotolewa kwenye kituo hicho.

"Kutokana na kugundulika kwa mafunzo haya yasiyo rasmi yanayotolewa na walimu ambao pia si rasmi, lazima tuchunguze kama baada ya kuhitimu wanapewa vyeti na wanafanya kazi wapi," alisema.

Kamwela pia alisema polisi wanafanya uchunguzi ili kubaini kama watoto hao walipata elimu ya msingi kama sheria inavyoelekeza na kama walifaulu ama la na kwanini hawakuendelea na masomo. Kamanda alisema upo uwezekano wa watoto 18 waliokutwa Pasua kuhamishiwa kituo cha Narumu na kwamba jeshi hilo linaendelea na uchunguzi kubaini kama wenye vituo hivyo wanafanya kazi pamoja.

Kuhusu watoto 18 wa Pasua, Kamanda Kamwela alisema wametambuliwa na wazazi wao na kuchukuliwa, lakini bado uchunguzi unaendelea kujua uhusiano wao na mmiliki wa nyumba hiyo.

"Tunachunguza kujua kama wazazi walikuwa wakifahamu maisha wanayoishi na sababu za kuwatoa kwenye shule za Serikali na kuwapeleka kwenye shule za dini wakati elimu ya msingi ni ya lazima," alisema.

Gazeti : Mwanananchi 14/3/2015


UPDATE
=====

BAKWATA: Hatuvitambui vituo vinavyohifadhi watoto


Baraza la Waislamu (BAKWATA) mkoani Kilimanjaro limesema halivitambui vituo viwili vilivyogundulika hivi karibuni katika maeneo ya Pasua na Kibosho ambavyo vinatumika kuhifadhi watoto na kwamba kinachofanyika katika vituo hivyo kina lengo la kuichafua dini.

Kauli hiyo ya Bakwata inakuja siku moja baada ya kugundulika kwa kituo kingine katika eneo la Lyamungo, wilayani Hai kikiwa na wasichana 11 wenye umri kati ya miaka 14 na 17 na kufanya idadi ya watoto hao kufika 28.

Katibu wa Bakwata mkoani hapa Rashid Mallya , aliliambia TZDaima kuwa hawavitambui viyuo hivyo kwa kuwa wana maeneo maalum ya kufundishia dini na si katika nyumba za watu binafsi.

"Maeneo ya kufundishia dini yetu yana julikanana si nyumbani kwa mtu, madrasa zetuzinapatikana mahala panapofahamika, ziko misikitini na zina utaratibu wake kama hazipo misikitini ziko katika maeneo tunayoyatambua" alisema Mallya.
TzDaimaMachi 14 , 2015, pg 3
 
Hii ngumu kumeza ktk nchi inayosifika kuwa na 'intelligencia' kali. Nimestuka kuona hao watoto wote wamevaa kijahidina na zaidi wakiwa wametoka karibia mikoa mingi ya nchi hii.

Baada ya mahojiano na watu kadhaa nimeambiwa pia hata kijijini ninapotokea wameishatoka watoto kadhaa wote under 18 na wadini fulani toka mwaka juzi na haijulikani walienda wapi.

Nijukumu letu sote kufuatlia jambo kwa karibu sana.....hofu yangu ni kuwa mtandao huu una-link na walioko madarakani.
 
Hizi jabari kutoka mkoani Kilimanjaro ambsko watoto toka sehemu nyingine nchini wanachukuz "mafunzo" ya dini , suala hili linaleta wasiwasi mkubwa.

Kwanza kabisa suala hili linafnya kwa kificho, pili watoto hawa ni kama wanalazimishwa kufanya hivyo.
Tatu ni mafunzo hani mema ya kidini yanayofanywa kwa kificho?

Conclusion yangu ni moja tu, preparation of suicide bombers!
Hawa watoto malaika masikini ni laxima wanafundishwa na kukaririshwa kuwa wajitayarishe kwenda peponi wakati ukiwadia.

Naomba seriksli safari hii ifungue macho maana yale ya Tanga , Amboni yalianza kwa wananchi kulalamika kuwa huko kuna watu wanachukua mazoezi ya kutia shaka.
Where did we fail/or are we failing?
 
Acheni watoto wapelekwe peponi wakafaidi bikra mapemaa. Na watoto wa kike wakafaidi kupewa raha na majamaa yenye nguvu za kutia mademu 100 kwa siku. Huwa nikivuta picha kwny pepo ya hawa ndgu kila kona ni full shangwe miguno ya mahaba kwa kwenda mbele aaah..uuuh...assss...hapooo.
 
Na huo ndio ukweli,jambo jema halifanywi kwa siri. Nami nilifikiria kuwa hao watakuwa next suicide bombers!! Hata shehe wa Kilimanjaro amewakana aisee. Huyo ndiye ibilisi, shetani mlaaniwa, mwenyeji wa kuzimu. Kazi yake ni kuchinza, kuua na kuharibu. Anakuletea ujinga apate sehemu ya kukaa
 
Kwa kuwa wanafundishwa mafunzo ya kiislamu ndio mnawahisi hivyo"wangefundishwa mafundisho ya kanisa sawa"
Acheni unafiki na roho mbaya nyie wacha wasome chuki gani hizo
Hivi, watoto wanafundishwa kwa kuteswa na kulazimishwa?
Halafu kuna siri gani katika kuwafundisha watoto wadogo dini au uislamu, hadi wafungiwe kama watumwa?
 
Back
Top Bottom