Mama_Aheshimiwe
JF-Expert Member
- Feb 6, 2014
- 2,746
- 4,172
mungu/MUNGU yote yana maana moja....kuandika herufi ndogo hakupotezi maana ya neno MUNGU
Wewe wasema
mungu/MUNGU yote yana maana moja....kuandika herufi ndogo hakupotezi maana ya neno MUNGU
Hakuna utumwa mbaya wa kujitakia kama wa dini
Acha mtapeliwe si mnasali ktk makanisa ya wanadamu baala ya kanisa alililoacha Yesu ambalo ni Catholics! badala yake mnatapeliwa kule 'mlima wa baridi', 'kanisa la kufukua', 'kanisa la efwatwa' kwa 'mzee wa upwakwa' 'kanisa la kikobe' nk
Ukiona neno mungu kwenye biblia maana yake si MWENYE ENZI MUNGU hata shetani anaitwa mungu.
Wewe umepotoshwa, halafu unataka kupotosha wengine! Acha upotoshaji wewe, tafuta Kitabu cha BWANA ukasome! (ISAYA 34:16). Yesu hakuacha kamwe kanisa la Catholics! Yesu hakuwa Mkatoliki. Yeye alibatizwa katika maji tele (MATHAYO 3:13-17), tofauti na Wakatoliki. Vilevile, tofauti na Wakatoliki wanaopinga juu ya kuokolewa, Kanisa aliloliacha Yesu lilikuwa la watu waliookolewa: MATENDO YA MITUME 2:47,"...Bwana akalizidisha KANISA kwa wale waliokuwa WAKIOKOLEWA." Eti Makanisa ya wanadamu! Kwa taarifa yako, Mungu anafanya kazi na wanadamu (1WAKORINTHO 3:9; EZEKIELI 22:30). Tangu Kitabu cha MWANZO, Mungu anatajwa kufanya kazi na wanadamu, ambao hata taasisi zao hazitajwi: Nuhu, Ibrahimu, Isaka, Yakobo, Musa, Yoshua, Eliya, Elisha, Yohana Mbatizaji, Petro, Yohana, Paulo n.k.
Soma Matendo ya mitume yote na barua zote za mtume Paulo