Serikali itoe tamko sasa kuhusu malipo ya Wastaafu, kupitia PSPF!

Bosco Ntaganda

JF-Expert Member
Jan 25, 2012
710
288
Wana ndugu salama?
Nimejitokeza kuwa msemaji wa jamaa na wazee wetu wote wanaokumbana na wakati mgumumno katika kupata mafaoyao, hasa katika huu mfuko wa PSPF.
Kwakweli inatia uchungu kwa jinsi wazee hawa (wastaafu) wanavyoishi maisha ya dhiki, bila kufahamu ni lini hasa watalipwa mafao yao. Nimekutana na wengi wao wakiwa na zaidi ya miezi 9 hadi leo hii pspf inawazungusha tu!
Serikali sasa itoe tamko hawa wazee na jamaa zetu kwanini hawalipwi stahili zao lkwa wakati? Wanafikiri wanaishije?
 
Hii mifuko inalipana mishahara mikubwa wakati wastaaf wanakufa njaa...leo hii ikitokea kazi mifuko ya jamii kila mtu anataka!...wawalipe haki zao bwana...waache kuwazingua washua ......au ndo pesa zao serikal ilikopa???
 
Wanajenga màgorofa na kujilipa mishahara mikubwa... Hawawakumbuki tena waliofanya walipwe mishahara na kujenga magorofa.... Inasikitisha sana...
 
Hii mifuko inalipana mishahara mikubwa wakati wastaaf wanakufa njaa...leo hii ikitokea kazi mifuko ya jamii kila mtu anataka!...wawalipe haki zao bwana...waache kuwazingua washua ......au ndo pesa zao serikal ilikopa???
Kabisa mkuu!
 
Kwakweli inasikitisha sana! Laiti kila mmoja wetu angejiweka upande wa hawa Wastaafu, akaonja kidogo tu adha wanayokumbana nayo kwa kucheleweshewa mafao yao, lakini pia huku wakiishi kwa miezi kadhaa bila kuwa na pesa yeyote(ikumbukwe mishahara yao inakatwa mara moja wanapostaafu tu).
Hivi hao vigogo wa Serikali nao wanafanyiwa namna hii? Kwanini hawataki kusikia vilio vya wastaafu hawa?

Kuna haja sasa ya watanzania kuamka, Serikali ya namna hii isipewe nafasi tena.
 
Kwakweli inasikitisha sana! Laiti kila mmoja wetu angejiweka upande wa hawa Wastaafu, akaonja kidogo tu adha wanayokumbana nayo kwa kucheleweshewa mafao yao, lakini pia huku wakiishi kwa miezi kadhaa bila kuwa na pesa yeyote(ikumbukwe mishahara yao inakatwa mara moja wanapostaafu tu).
Hivi hao vigogo wa Serikali nao wanafanyiwa namna hii? Kwanini hawataki kusikia vilio vya wastaafu hawa?

Kuna haja sasa ya watanzania kuamka, TUSIKURUPUKE KUFANYA MAAMUZI KATIKA UCHAGUZI HUU.
 
Kwakweli inasikitisha sana! Laiti kila mmoja wetu angejiweka upande wa hawa Wastaafu, akaonja kidogo tu adha wanayokumbana nayo kwa kucheleweshewa mafao yao, lakini pia huku wakiishi kwa miezi kadhaa bila kuwa na pesa yeyote(ikumbukwe mishahara yao inakatwa mara moja wanapostaafu tu).
Hivi hao vigogo wa Serikali nao wanafanyiwa namna hii? Kwanini hawataki kusikia vilio vya wastaafu hawa?

Kuna haja sasa ya watanzania kuamka, TUSIKURUPUKE KUFANYA MAAMUZI KATIKA UCHAGUZI HUU.
 
Serikali haiwezi toa tamko kwa sababu yenyewe ndio haijapeleka michango PSPF hvyo wanashindwa kukokotoa mahesabu. Mahesabu ya wastaafu yanategemea mshahara na mchango wa mwisho kukokotoa mahesabu.
 
Chagueni mgombea wa UKAWA ndio suluhisho.ndani ya magamba ni unyanyasaji tu na uporaji wa haki za raia wake.
 
Hiyo ni sehemu ya financial statements zao.
 

Attachments

  • 1437192404792.jpg
    1437192404792.jpg
    60.7 KB · Views: 346
  • 1437192431763.jpg
    1437192431763.jpg
    38.8 KB · Views: 271
  • 1437192470031.jpg
    1437192470031.jpg
    91 KB · Views: 258
Mbona wanaweza kulipa milioni 238 za kila Mbunge baada ya kumaliza miaka 5, na tena kwa wakati? Inakuaje kwa hawa wanyonge wasio na mtetezi?
 
Serikali haiwezi toa tamko kwa sababu yenyewe ndio haijapeleka michango PSPF hvyo wanashindwa kukokotoa mahesabu. Mahesabu ya wastaafu yanategemea mshahara na mchango wa mwisho kukokotoa mahesabu.

Sio tu kutopeleka michango, hata ile waliochanga watumishi serikali imekomba. Wahisani wakizuia hela ili serikali iwachukulie kwanza hatua mafisadi utakuta vigogo wanatoa kauli za kibabe eti bora "kujitegemea maana wanatunyanyasa" . Lakini serikali haifanyi biashara, inajitegemea kutoka wapi? Matokeo yake ni kumkamua mnyonge mpaka basi.
 
Back
Top Bottom