Likizo yangu ya mwezi uliopita nilifanya uchunguzi juu ya elimu ya mtu mzito Tanzania, mengi si kweli

britanicca

JF-Expert Member
May 20, 2015
15,636
30,004
Habari yenu heri ya pasaka, leo kuwa tarehe moja haimaanishi tukiwa na habari genuine tusiiweke , hapana tunaweka,

Mwezi jana nilipata likizo nikawa Tanzania, kama kawaida yangu mtu akifanyiwa jambo lazima nichunguze kupata habari juu yake

Kuna watu walibeza kwamba Dr shika hakuwahi kwenda Urusi ni chizi wa mtaani niliamua kufuatilia suala hilo nikajua ukweli wake kuwa alikuwepo kweli Urusi, na alifanyiwa Unyama, ila nasikia nshaanza kulishwa maneno kwamba nimesema hela za Dr shika zinakuja , hapana mi nilisema nimechunguza tu uwepo wake kule,

Baada ya kufika Tanzania safari yangu ya Tatu ilikuwa Koromije alipozaliwa mtu maarufu ambaye anasingiziwa kufoji vyeti,
Nimepata taarifa ni kweli kabisa mtu maarufu alizaliwa tar.15/02/1980 na si 81 kama wanavyosema, katika kijiji cha Koromije, wilaya ya Misungwi, mkoa wa Mwanza.
Nimeuliza Jamaa zake na marafiki wa zamani kuhusu jina,Daudi Albert Bashite
Wakanijibu hawamjui mtu huyo kabisa na hawajawahi kuwa na ndugu wa jina ilo, haya majibu nimeyapata kwa Asteria Bwire miaka 45, Kenedy magesa 33, Anord Makonda 42,na Jonathan Kempanju 39, hawa ni marafiki wa karibu wa mheshimiwa mzito, hivo kutojua majina hayo ikanipa mwanga kwamba huyu mtu anasingiziwa,


Nikaamua niende shule ya msingi Koromije na kuomba taarifa za wanafunzi walioanza darasa la kwanza mwaka 1988 nijue kama kuna jina Daudi Albert Bashite. Likakosa nikasema waniangalizie basi walio naza kuanzia 1986 mpaka 1990 hakuna jina kama Ile,

Kama maelezo ya awali walioyaleta amvini wanasema Mwaka 1992 alifeli tena na hivyo akahamishiwa Mwanza mjini, ili aweze kusoma na kupata masomo ya jioni (tuition). Hapa pana ukakasi kidogo maana hata shule haikutajwa ili tufike kupeleleza, kuna maswali mengi mno,

Nimeenda shule ya sekondari ya Pamba nimekutana na mwalimu wa taaluma bwana Theofil, Kujua waliojiunga mwaka 1997 nimepata orodha yote hakuna jina la Daud Albert Bashite,

Hata wahitimu wa Mwaka 2000 kama inavyosemekana mtu anayeitwa Daud Albert Bashite kidato cha 4 na kupata daraja sifuri (division zero) hakukuwa na Jina ilo,

Nimeamua kuishia ngazi hizo maana ndo zinemtaja taja Daud Albert Bashite, kutumika uko,

Note that: mtauliza nafuatilia ili iweje, mimi Nina tabia ya kutaka kuujua ukweli haijarishi gharama ntakayotumia,

Pili. Watanzania wakiamua kukuzushia jambo inabidi liwekwe sawa,

Tatu, ni njia kwa wengine msiwasubiri kina Gwajima au Paul Makonda kuwaambiwa habari zilizo biased fanya utafiti wako mwenyewe,


Mwisho kabisa Kenya kuna demokrasia aisee, sijui kwanini hatujifunzi uko ili tuwafukuze nchini kina mbowe na seif kama Miguna Miguna, alafu wao wajifunze udikteta wetu wamruhusu miguna akae nchini kama kina mbowe na Seif

Britannica
 
Makonda aliwekwa kwenye kona na maadui zake, maadui wa magufuli

walishindwa hata hivyo, he is there to stay, hata akimaliza muda wake kazi anaifanya ameweka record nyingi

watanzania wengi ni wanafiki na chuki

sijaamini mpaka leo naona mbowe aliwekwa ndani na hakuna hata mwanachadema mmoja kaandamana!!!

wanafiki!!
 
Naona buku saba Leo umeamua uitendee haki kwa kuandika huu ugoro. Tuache kuamini vyombo vilivyosajiliwa na serikali vilivyoleta ukweli wote tuje tukuamini wewe Mtoto Wa Lumumba??
 
Habari yenu heri ya pasaka, leo kuwa tarehe moja haimaanishi tukiwa na habari genuine tusiiweke , hapana tunaweka,

Mwezi jana nilipata likizo nikawa Tanzania, kama kawaida yangu mtu akifanyiwa jambo lazima nichunguze kupata habari juu yake

Kuna watu walibeza kwamba Dr shika hakuwahi kwenda Urusi ni chizi wa mtaani niliamua kufuatilia suala hilo nikajua ukweli wake kuwa alikuwepo kweli Urusi, na alifanyiwa Unyama, ila nasikia nshaanza kulishwa maneno kwamba nimesema hela za Dr shika zinakuja , hapana mi nilisema nimechunguza tu uwepo wake kule,

Baada ya kufika Tanzania safari yangu ya Tatu ilikuwa Koromije alipozaliwa mtu maarufu ambaye anasingiziwa kufoji vyeti,
Nimepata taarifa ni kweli kabisa mtu maarufu alizaliwa tar.15/02/1980 na si 81 kama wanavyosema, katika kijiji cha Koromije, wilaya ya Misungwi, mkoa wa Mwanza.
Nimeuliza Jamaa zake na marafiki wa zamani kuhusu jina,Daudi Albert Bashite
Wakanijibu hawamjui mtu huyo kabisa na hawajawahi kuwa na ndugu wa jina ilo, haya majibu nimeyapata kwa Asteria Bwire miaka 45, Kenedy magesa 33, Anord Makonda 42,na Jonathan Kempanju 39, hawa ni marafiki wa karibu wa mheshimiwa mzito, hivo kutojua majina hayo ikanipa mwanga kwamba huyu mtu anasingiziwa,


Nikaamua niende shule ya msingi Koromije na kuomba taarifa za wanafunzi walioanza darasa la kwanza mwaka 1988 nijue kama kuna jina Daudi Albert Bashite. Likakosa nikasema waniangalizie basi walio naza kuanzia 1986 mpaka 1990 hakuna jina kama Ile,

Kama maelezo ya awali walioyaleta amvini wanasema Mwaka 1992 alifeli tena na hivyo akahamishiwa Mwanza mjini, ili aweze kusoma na kupata masomo ya jioni (tuition). Hapa pana ukakasi kidogo maana hata shule haikutajwa ili tufike kupeleleza, kuna maswali mengi mno,

Nimeenda shule ya sekondari ya Pamba nimekutana na mwalimu wa taaluma bwana Theofil, Kujua waliojiunga mwaka 1997 nimepata orodha yote hakuna jina la Daud Albert Bashite,

Hata wahitimu wa Mwaka 2000 kama inavyosemekana mtu anayeitwa Daud Albert Bashite kidato cha 4 na kupata daraja sifuri (division zero) hakukuwa na Jina ilo,

Nimeamua kuishia ngazi hizo maana ndo zinemtaja taja Daud Albert Bashite, kutumika uko,

Note that: mtauliza nafuatilia ili iweje, mimi Nina tabia ya kutaka kuujua ukweli haijarishi gharama ntakayotumia,

Pili. Watanzania wakiamua kukuzushia jambo inabidi liwekwe sawa,

Tatu, ni njia kwa wengine msiwasubiri kina Gwajima au Paul Makonda kuwaambiwa habari zilizo biased fanya utafiti wako mwenyewe,

Britannica
Kama ni kweli .atuonyeshe vyeti ,
 
Nani wa kunipoteza

Mkuu kazana jamaa wanakuona. Kumbuka ushauri wangu wa jana. Kwenye huo ufuatiliaji kuna walakini. Ulikua unataka kujua tu kuhusu Bashite na hakuna popote ulitaka kujua kuhusu Makonda. Hii inafanya bandiko lako kuwa la tarehe ya leo.
 
Habari yenu heri ya pasaka, leo kuwa tarehe moja haimaanishi tukiwa na habari genuine tusiiweke , hapana tunaweka,

Mwezi jana nilipata likizo nikawa Tanzania, kama kawaida yangu mtu akifanyiwa jambo lazima nichunguze kupata habari juu yake

Kuna watu walibeza kwamba Dr shika hakuwahi kwenda Urusi ni chizi wa mtaani niliamua kufuatilia suala hilo nikajua ukweli wake kuwa alikuwepo kweli Urusi, na alifanyiwa Unyama, ila nasikia nshaanza kulishwa maneno kwamba nimesema hela za Dr shika zinakuja , hapana mi nilisema nimechunguza tu uwepo wake kule,

Baada ya kufika Tanzania safari yangu ya Tatu ilikuwa Koromije alipozaliwa mtu maarufu ambaye anasingiziwa kufoji vyeti,
Nimepata taarifa ni kweli kabisa mtu maarufu alizaliwa tar.15/02/1980 na si 81 kama wanavyosema, katika kijiji cha Koromije, wilaya ya Misungwi, mkoa wa Mwanza.
Nimeuliza Jamaa zake na marafiki wa zamani kuhusu jina,Daudi Albert Bashite
Wakanijibu hawamjui mtu huyo kabisa na hawajawahi kuwa na ndugu wa jina ilo, haya majibu nimeyapata kwa Asteria Bwire miaka 45, Kenedy magesa 33, Anord Makonda 42,na Jonathan Kempanju 39, hawa ni marafiki wa karibu wa mheshimiwa mzito, hivo kutojua majina hayo ikanipa mwanga kwamba huyu mtu anasingiziwa,


Nikaamua niende shule ya msingi Koromije na kuomba taarifa za wanafunzi walioanza darasa la kwanza mwaka 1988 nijue kama kuna jina Daudi Albert Bashite. Likakosa nikasema waniangalizie basi walio naza kuanzia 1986 mpaka 1990 hakuna jina kama Ile,

Kama maelezo ya awali walioyaleta amvini wanasema Mwaka 1992 alifeli tena na hivyo akahamishiwa Mwanza mjini, ili aweze kusoma na kupata masomo ya jioni (tuition). Hapa pana ukakasi kidogo maana hata shule haikutajwa ili tufike kupeleleza, kuna maswali mengi mno,

Nimeenda shule ya sekondari ya Pamba nimekutana na mwalimu wa taaluma bwana Theofil, Kujua waliojiunga mwaka 1997 nimepata orodha yote hakuna jina la Daud Albert Bashite,

Hata wahitimu wa Mwaka 2000 kama inavyosemekana mtu anayeitwa Daud Albert Bashite kidato cha 4 na kupata daraja sifuri (division zero) hakukuwa na Jina ilo,

Nimeamua kuishia ngazi hizo maana ndo zinemtaja taja Daud Albert Bashite, kutumika uko,

Note that: mtauliza nafuatilia ili iweje, mimi Nina tabia ya kutaka kuujua ukweli haijarishi gharama ntakayotumia,

Pili. Watanzania wakiamua kukuzushia jambo inabidi liwekwe sawa,

Tatu, ni njia kwa wengine msiwasubiri kina Gwajima au Paul Makonda kuwaambiwa habari zilizo biased fanya utafiti wako mwenyewe,


Mwisho kabisa Kenya kuna demokrasia aisee, sijui kwanini hatujifunzi uko ili tuwafukuze nchini kina mbowe na seif kama Miguna Miguna, alafu wao wajifunze udikteta wetu wamruhusu miguna akae nchini kama kina mbowe na Seif

Britannica

Ipi ni demokrasia yenye afadhari kidogo, kati ya kumwacha kiongozi wa upinzani mwenye wafuasi wengi na mwenye ushawishi kujiapisha uwanjani bila kukamatwa, wala kubughudhiwa na police

Na ile ya kumrudisha mtu ambae Hana madhara
Ila ana uraia wa inchi nyingine na kumwambia arudi kwao?

Miguna Miguna hana madhara yoyote kwenye siasa za Kenya kama Odinga

Kumlinganisha miguna na mbowe au maalim seif
Ni sawa na Kulinganisha Njombe FC na Man united ingawa zote ni timu za mpira
 
Habari yenu heri ya pasaka, leo kuwa tarehe moja haimaanishi tukiwa na habari genuine tusiiweke , hapana tunaweka,

Mwezi jana nilipata likizo nikawa Tanzania, kama kawaida yangu mtu akifanyiwa jambo lazima nichunguze kupata habari juu yake

Kuna watu walibeza kwamba Dr shika hakuwahi kwenda Urusi ni chizi wa mtaani niliamua kufuatilia suala hilo nikajua ukweli wake kuwa alikuwepo kweli Urusi, na alifanyiwa Unyama, ila nasikia nshaanza kulishwa maneno kwamba nimesema hela za Dr shika zinakuja , hapana mi nilisema nimechunguza tu uwepo wake kule,

Baada ya kufika Tanzania safari yangu ya Tatu ilikuwa Koromije alipozaliwa mtu maarufu ambaye anasingiziwa kufoji vyeti,
Nimepata taarifa ni kweli kabisa mtu maarufu alizaliwa tar.15/02/1980 na si 81 kama wanavyosema, katika kijiji cha Koromije, wilaya ya Misungwi, mkoa wa Mwanza.
Nimeuliza Jamaa zake na marafiki wa zamani kuhusu jina,Daudi Albert Bashite
Wakanijibu hawamjui mtu huyo kabisa na hawajawahi kuwa na ndugu wa jina ilo, haya majibu nimeyapata kwa Asteria Bwire miaka 45, Kenedy magesa 33, Anord Makonda 42,na Jonathan Kempanju 39, hawa ni marafiki wa karibu wa mheshimiwa mzito, hivo kutojua majina hayo ikanipa mwanga kwamba huyu mtu anasingiziwa,


Nikaamua niende shule ya msingi Koromije na kuomba taarifa za wanafunzi walioanza darasa la kwanza mwaka 1988 nijue kama kuna jina Daudi Albert Bashite. Likakosa nikasema waniangalizie basi walio naza kuanzia 1986 mpaka 1990 hakuna jina kama Ile,

Kama maelezo ya awali walioyaleta amvini wanasema Mwaka 1992 alifeli tena na hivyo akahamishiwa Mwanza mjini, ili aweze kusoma na kupata masomo ya jioni (tuition). Hapa pana ukakasi kidogo maana hata shule haikutajwa ili tufike kupeleleza, kuna maswali mengi mno,

Nimeenda shule ya sekondari ya Pamba nimekutana na mwalimu wa taaluma bwana Theofil, Kujua waliojiunga mwaka 1997 nimepata orodha yote hakuna jina la Daud Albert Bashite,

Hata wahitimu wa Mwaka 2000 kama inavyosemekana mtu anayeitwa Daud Albert Bashite kidato cha 4 na kupata daraja sifuri (division zero) hakukuwa na Jina ilo,

Nimeamua kuishia ngazi hizo maana ndo zinemtaja taja Daud Albert Bashite, kutumika uko,

Note that: mtauliza nafuatilia ili iweje, mimi Nina tabia ya kutaka kuujua ukweli haijarishi gharama ntakayotumia,

Pili. Watanzania wakiamua kukuzushia jambo inabidi liwekwe sawa,

Tatu, ni njia kwa wengine msiwasubiri kina Gwajima au Paul Makonda kuwaambiwa habari zilizo biased fanya utafiti wako mwenyewe,


Mwisho kabisa Kenya kuna demokrasia aisee, sijui kwanini hatujifunzi uko ili tuwafukuze nchini kina mbowe na seif kama Miguna Miguna, alafu wao wajifunze udikteta wetu wamruhusu miguna akae nchini kama kina mbowe na Seif

Britannica
Mkuu miaka ya nyuma ilikua matokeo ya NECTA yanawekwa kwenye tovuti yakiwa na majina sasa nmejaribu kugugo lakini sijapata je akimaliza kidato cha nne wapi na mwaka gani
 
Mkuu miaka ya nyuma ilikua matokeo ya NECTA yanawekwa kwenye tovuti yakiwa na majina sasa nmejaribu kugugo lakini sijapata je akimaliza kidato cha nne wapi na mwaka gani
Mkuu miaka ya nyuma yalitangazwa kwenye gazeti nakumbuka mwaka wetu 1998 mi ndo nilikuwa na daraja la kwanza tu kwenye darasa letu alafu kwenye gazeti jina langu ni la herufi za mwisho likawa halijachapishwa haha nikadhani imekula kwangu, maana wanafunzi wote wenye herufi za mwisho walikuwa vilaza nilosoma nao, lakin matokeo yanaonesha kuna daraja la kwanza moja, nikajua hiyo ni yangu maana kwenye list inayoonekana haikuwemo daraja la kwanza,

Hivo utaratibu wa kuweka kwenye internet umeanza mwaka 2004 ,
 
Habari yenu heri ya pasaka, leo kuwa tarehe moja haimaanishi tukiwa na habari genuine tusiiweke , hapana tunaweka,

Mwezi jana nilipata likizo nikawa Tanzania, kama kawaida yangu mtu akifanyiwa jambo lazima nichunguze kupata habari juu yake

Kuna watu walibeza kwamba Dr shika hakuwahi kwenda Urusi ni chizi wa mtaani niliamua kufuatilia suala hilo nikajua ukweli wake kuwa alikuwepo kweli Urusi, na alifanyiwa Unyama, ila nasikia nshaanza kulishwa maneno kwamba nimesema hela za Dr shika zinakuja , hapana mi nilisema nimechunguza tu uwepo wake kule,

Baada ya kufika Tanzania safari yangu ya Tatu ilikuwa Koromije alipozaliwa mtu maarufu ambaye anasingiziwa kufoji vyeti,
Nimepata taarifa ni kweli kabisa mtu maarufu alizaliwa tar.15/02/1980 na si 81 kama wanavyosema, katika kijiji cha Koromije, wilaya ya Misungwi, mkoa wa Mwanza.
Nimeuliza Jamaa zake na marafiki wa zamani kuhusu jina,Daudi Albert Bashite
Wakanijibu hawamjui mtu huyo kabisa na hawajawahi kuwa na ndugu wa jina ilo, haya majibu nimeyapata kwa Asteria Bwire miaka 45, Kenedy magesa 33, Anord Makonda 42,na Jonathan Kempanju 39, hawa ni marafiki wa karibu wa mheshimiwa mzito, hivo kutojua majina hayo ikanipa mwanga kwamba huyu mtu anasingiziwa,


Nikaamua niende shule ya msingi Koromije na kuomba taarifa za wanafunzi walioanza darasa la kwanza mwaka 1988 nijue kama kuna jina Daudi Albert Bashite. Likakosa nikasema waniangalizie basi walio naza kuanzia 1986 mpaka 1990 hakuna jina kama Ile,

Kama maelezo ya awali walioyaleta amvini wanasema Mwaka 1992 alifeli tena na hivyo akahamishiwa Mwanza mjini, ili aweze kusoma na kupata masomo ya jioni (tuition). Hapa pana ukakasi kidogo maana hata shule haikutajwa ili tufike kupeleleza, kuna maswali mengi mno,

Nimeenda shule ya sekondari ya Pamba nimekutana na mwalimu wa taaluma bwana Theofil, Kujua waliojiunga mwaka 1997 nimepata orodha yote hakuna jina la Daud Albert Bashite,

Hata wahitimu wa Mwaka 2000 kama inavyosemekana mtu anayeitwa Daud Albert Bashite kidato cha 4 na kupata daraja sifuri (division zero) hakukuwa na Jina ilo,

Nimeamua kuishia ngazi hizo maana ndo zinemtaja taja Daud Albert Bashite, kutumika uko,

Note that: mtauliza nafuatilia ili iweje, mimi Nina tabia ya kutaka kuujua ukweli haijarishi gharama ntakayotumia,

Pili. Watanzania wakiamua kukuzushia jambo inabidi liwekwe sawa,

Tatu, ni njia kwa wengine msiwasubiri kina Gwajima au Paul Makonda kuwaambiwa habari zilizo biased fanya utafiti wako mwenyewe,


Mwisho kabisa Kenya kuna demokrasia aisee, sijui kwanini hatujifunzi uko ili tuwafukuze nchini kina mbowe na seif kama Miguna Miguna, alafu wao wajifunze udikteta wetu wamruhusu miguna akae nchini kama kina mbowe na Seif

Britannica
Kitengo kipya cha safisha Bashite kimeshaanzishwa Lumumba. Michakato inakamilishwa Shigongo na blog kadhaa zipewe tenda kukamilisha kazi. Ndio imeanza hivi.
 
Siku ya wajinga ktk ubora wake. Hujataja baadhi ya majina ya watu walioanza darasa la kwanza Koromije 1988 uliowahoji wala pamba secondary 2000. Umetaja hao wanakijiji tu tena wenye umri mkubwa zaidi ya Bashite.
 
Mkuu miaka ya nyuma yalitangazwa kwenye gazeti nakumbuka mwaka wetu 1998 mi ndo nilikuwa na daraja la kwanza tu kwenye darasa letu alafu kwenye gazeti jina langu ni la herufi za mwisho likawa halijachapishwa haha nikadhani imekula kwangu, maana wanafunzi wote wenye herufi za mwisho walikuwa vilaza nilosoma nao, lakin matokeo yanaonesha kuna daraja la kwanza moja, nikajua hiyo ni yangu maana kwenye list inayoonekana haikuwemo daraja la kwanza,

Hivo utaratibu wa kuweka kwenye internet umeanza mwaka 2004 ,
Sio kesi basi tutajie shule na mwaka najua vile vitabu bado vipo pale library ya taifa au elimu ya watu wazima nkamcheki kiongozi wangu ana ngapi maana sio kwa miakili hii
 
Sio kesi basi tutajie shule na mwaka najua vile vitabu bado vipo pale library ya taifa au elimu ya watu wazima nkamcheki kiongozi wangu ana ngapi maana sio kwa miakili hii
Hapana mkuu siwezi kujiexpose kiasi hicho, ila jua ni mwanafunzi wa tatu kwa somo la hisabati kitaifa, na ni mwananfunzi wa pili PCM kitaifa mwaka fulani kidato cha sita
 
Back
Top Bottom