Serikali itabakia Dodoma?

Yaende kwa awamu.Huwezi wanyima watoto haki zao mfano shule,matibabu, chakula,nk eti unajenga nyumba nyingine ya kuishi hali uliyonayo ni toshelevu.
 
katika maamuzi yenye mstakabali wa taifa wewe unazungumzia ndoa zilizovunjika!!!
 
Ikulu ya dodoma igeuzwe chuo kikuu cha ufundi afrika mashariki itoe elimu kuanzia veta Hadi PhD.Ikulu mbili ni gharama ibakie ya dar tu.
Uwanja wa ndege wa Chato wapewe jeshi Ili isipotee.Uitwe Magufuli airwing.
afadhali unaonekana unafikiri kwa niaba.

sio mbuzi zingine humu.
 
... tulishaambiwa suala la Dodoma kuwa makao makuu ya nchi lilishatungiwa sheria na "hakuna mwingine yeyote awezaye kulibadilisha"; serikali itaendelea kubaki Dodoma ni issue ambayo imesilibwa kwa "mihuri ya moto".
Nani unafikiri atabaki Dodoma kwenye vumbi ndio sahau hiyo
.
 
profesa Jay aliimba ....majibu mbele ya safari hizo ni project za muda mrefu....
tusubir kdg
 
... tulishaambiwa suala la Dodoma kuwa makao makuu ya nchi lilishatungiwa sheria na "hakuna mwingine yeyote awezaye kulibadilisha"; serikali itaendelea kubaki Dodoma ni issue ambayo imesilibwa kwa "mihuri ya moto".
Hawa ma nyumbu wa huko dodoma hawatachelewa kuibadilisha hiyo sheria na hawashindwi wakiamua
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…