dudus
JF-Expert Member
- Feb 28, 2011
- 24,688
- 56,423
... umenikumbusha habari ya midege; sijui itaendelea kuwa na ile chapa maarufu ya HAPA KAZI TU?....
Ila nafikiri kwa Project zenye manufaa kwa taifa hasa hizi mbili SGR na Bwawa la Umeme basi tuzimalizie tu - zingine zisizo na tija tuachane nazo - ile midege mikubwa iliyopaki tunaweza kuiazimisha kwenye airline nyingine.. nk