Mtu wa Pwani
JF-Expert Member
- Dec 26, 2006
- 4,192
- 678
The one with Dom has gone, ni mwendo wa kuwa na sub office DSM ambazo practically zitakuwa main offce
😀😀😀😀😀😀😀Ikulu ya dodoma igeuzwe chuo kikuu cha ufundi afrika mashariki itoe elimu kuanzia veta Hadi PhD.Ikulu mbili ni gharama ibakie ya dar tu.
Uwanja wa ndege wa Chato wapewe jeshi Ili isipotee.Uitwe Magufuli airwing.
nasikia watu wameshachaguana huko, aliyeacha mume dar na aliacha mke dar basi ni ndoa mwendo mdundo !! mambo ni rahaaa !! wakitoka ofisini wanapitiana - yaani kama kile kipindi cha boy friend / girl friend - maisha hani-muniWengine huku wameshapata nyumba ndogo na wamezaa kabisa sasa ni bora wakawaacha tuu huku
Hawajawahi kupenda Dodoma na vumbi lile kila uchao wako Dar hata huyo aliyewahamisha alikua Dar na Kafia Dar.mambo yakulazimishana ni magumu sana ,pia mtu kujiona ana akili kuliko wengine woooote ni mbaya sanaitategemea na utashi wa Mama yetu na wasaidizi wake wa karibu - hata kama ni kurudi Dar basi itakuwa kwa style ya kimya kimya - si lazima hadi utangaziwe !!
Ila nafikiri kwa Project zenye manufaa kwa taifa hasa hizi mbili SGR na Bwawa la Umeme basi tuzimalizie tu - zingine zisizo na tija tuachane nazo - ile midege mikubwa iliyopaki tunaweza kuiazimisha kwenye airline nyingine.. nk
Wengine huku wameshapata nyumba ndogo na wamezaa kabisa sasa ni bora wakawaacha tuu huku
kwa kweli ukifikiria kwa kina sana huenda Mwenyezi Mungu katutua mzigo watanzania... wengi wamelia mno !!Hawajawahi kupenda Dodoma na vumbi lile kila uchao wako Dar hata huyo aliyewahamisha alikua Dar na Kafia Dar.mambo yakulazimishana ni magumu sana ,pia mtu kujiona ana akili kuliko wengine woooote ni mbaya sana
Kuhamia Dodoma kulikuwa kinadharia zaidi.Kwanza kabisa kama mtanzania niungane na watanzania wenzangu katika kuombeleza msiba huu mzito uliolikumba taifa letu.
Tumeona na kushuhudia juhudi za mwendazake Rais John Pombe Magufuli kuifanya Dodoma kua Makao makuu ya serikali, mengi yamefanywa kuanzia miundo mbinu, kuhamishwa taasisi nyeti za serikali pamoja na rais na viongozi wakuu wa serikali kuhamia Dodoma.
Jee baada ya kifo chake ari na kasi ya kuifanya Dodoma kua mji wa Serikali na makao makuu itaendelea?
off course sio swala la Utashi ni lakisheria lakini kule kukaa hakuna kipupwe panahitaji moyoKwanza kabisa kama mtanzania niungane na watanzania wenzangu katika kuombeleza msiba huu mzito uliolikumba taifa letu.
Tumeona na kushuhudia juhudi za mwendazake Rais John Pombe Magufuli kuifanya Dodoma kua Makao makuu ya serikali, mengi yamefanywa kuanzia miundo mbinu, kuhamishwa taasisi nyeti za serikali pamoja na rais na viongozi wakuu wa serikali kuhamia Dodoma.
Jee baada ya kifo chake ari na kasi ya kuifanya Dodoma kua mji wa Serikali na makao makuu itaendelea?