Pac the Don
JF-Expert Member
- Feb 17, 2021
- 6,177
- 7,699
Hili ndilo la msingi ingawa ni gumu kwa wahusika!!Imetosha, Muafaka chanya upatikane.
Tuzingatie kwenye hili hakuna mshindi, Ila mshindi awe ni taifa. Kuzozana kwetu kuwe kwaajili ya maslahi ya Nchi.
Muungwana akivuliwa nguo huchutama. Kurekebisha ulipokosea sio kujiabisha Bali ni uungwana. Na uungwana ni vitendo.
Tunakaribia njia panda na tukifika hapo itakuwa shida kujua njia ipi sahihi. Bora kurudi au kuendelea?
Leo kanisani tumeelezwa maana muungano wa Tanganyika na Zanzibar wengi tulikuwa hatujui chanzo cha huo muungano, Na serikali ilikuwa haijawahi kusema au kuandika mahala popote pale.
Hili ndilo la msingi ingawa ni gumu kwa wahusika!!
Nyie vitoto ni wajinga
Wazee kina dr slaa wanaongea uzalendo kulinda bandari nyie mnawalamba makalio watawala
Serikali yenyewe ndiyo imelieleza sakata hili kwenye mkondo wa kidini.SERIKALI ISIKUBALI MTAFARUKU WA BANDARI KUCHUKUA MKONDO WA KIDINI, NI NGUMU KUIDHIBITI.
Anaandika, Robert Heriel.
Mtibeli.
Robert Heriel
Taikon wa Fasihi
Kwa sasa Dar es Salaam
Serikali yenyewe ndiyo imelieleza sakata hili kwenye mkondo wa kidini.
Unadhani baada ya huu waraka nini kitafuata Samia akiendelea na huu mkataba?Sidhani
Wasipokubali waachane nao atafutwe mwekezaji mwingine kwa kuzingatia taratibu za serikali kuhusu manunuzi.je hivyo vifungu vikirekebishwa DP World watakubali kuendelea kuwekeza?
Unadhani baada ya huu waraka nini kitafuata Samia akiendelea na huu mkataba?
Maaskofu wameamua liwalo na liwe hapa dini imeshaingia hakuna cha kukwepa.
Sent from my SM-A037F using JamiiForums mobile app
Hapana watatumia script ya Congo dhidi ya Serikali.Kitakachofuata ni chuki na vita baridi.
Kwa sababu lengo la kuusoma huo waraka Kwa waumini ni kuwaambia Wakatoliki wasiutambue huo mkataba
Tuachane na dini zetu mkuu. Vipi we unaona mkataba upo sawa?Hao TEC walitakiwa kukemewa na waraka ungezuiwa kusomwa kanisani.
Toka day one hili jambo lilikuwa na sura ya Kidini, kwingine ilikuwa ni kujifichia ila Sasa ndio imejitokeza wazi.
Naendelea kusisitiza , Wakatoliki Huwa Hawataki Rais wa.dini nyingine na akitokea lazima wataleta nongwa.
Watatafuta upenyeo kuleta fitina na Sasa wamepata jambo la Bandari,Rais ana nia njema ila Sasa wanataka wamtoe Kwa njia hiyo.
Pascal aliwahi andika Mwanzo kabisa wa Utawala Wa Rais Samia kwamba ataziweza fitina za Watanganyika?
honestly speaking huyu mama hakutakiwa kuwa makamu to begin with, mbona wanawake wa kiislamu wenye uwezo wapo wengi, walishindwa nini kuwachukua hao ........?Kiongozi anapokosa weledi wa kuliongoza taifa, haya ndio matokeo yake. Siku zote tatizo linatakiwa kufanyiwa kazi pale ambapo dalili pekee zinaanza kujionesha juu ya jambo husika, na sio kuamini upepo tu utapita!.
Kiongozi mzuri lazima ajue kutazama reaction ya watu wake, agundue tatizo lilipo, na ajue namna ya kulikabili, kabla halijawa kubwa zaidi na kugeuka gumu kulitatua.
Sasa pale ambapo kiongozi katikati ya tatizo anajitokeza hadharani, anasema ametuzibia masikio, huyu anaonesha vile hajielewi binafsi, hawaelewi wale anaowaongoza, na wala hajui namna ya kutatua matatizo yao.
Matokeo yake sasa, wengi zaidi wanaibuka kuupinga mkataba tofauti na mwanzo, na kadri siku zinavyozidi kwenda mambo yanazidi kuwa magumu, asijue tena ahangaike na kundi lipi, matokeo yake anazidi kupotea.
Frankly speaking, Samia anatakiwa kujiuzulu nafasi yake, amepwaya sana, ameiacha nchi ijiendee tu, yupo yupo tu, sasa haaminiwi na wale anaowaongoza, naamini hata nae hana habari nasi, yeye kwa sasa yupo na baraza lake la mawaziri, na waarabu wa Dubai.