Serikali isikubali mtafaruku wa Bandari kuchukua mkondo wa kidini, ni ngumu kuidhibiti

Hili ndilo la msingi ingawa ni gumu kwa wahusika!!
 
Leo kanisani tumeelezwa maana muungano wa Tanganyika na Zanzibar wengi tulikuwa hatujui chanzo cha huo muungano, Na serikali ilikuwa haijawahi kusema au kuandika mahala popote pale.

Kama gov haijawahi kusema wala kuandika kipi kinayapa hayo maneno ya kanisani uhalali?
 
Nyie vitoto ni wajinga

Wazee kina dr slaa wanaongea uzalendo kulinda bandari nyie mnawalamba makalio watawala
 
Nyie vitoto ni wajinga

Wazee kina dr slaa wanaongea uzalendo kulinda bandari nyie mnawalamba makalio watawala

Kila mmoja anangumzia Uzalendo. Pande zote Mbili. Ni ishu ya mtazamo.
Hapo ishu ni kuweka Mambo Sawa. Hayo marekebisho yafanyike, biashara iendelee. Ugumu unatoka wapi?
 
Umesema vema kiongozi. Ni jukumu sasa la viongozi wetu ususani mhe Rais kuchukua hatua stahiki na kurudisha umoja wa kitaifa ambao tunaona unapotea kwa kasi sana. Tusisubiri Sakata hili limwage damu hata ya mmoja wetu.
 
Najaribu kuwaza yani hivi ni kweli:
TLS-Imekosoa mkataba kisa mwekezaji mwarabu ama waislam na rais muislam
Wapinzani-Wamekosoa mkataba kisa mwarabu ama waislamu na rais muislam
Wabobevu wa Kisheria-Wamekosoa kisa mwarabu ama waislamu na rais muislam
TEC- Wamekosoa kisa mwekezaji mwarabu ama waislam na rais muislam

Unaona kabisa hii agenda ya kuingiza dini ni Upuuzi tu. Ila uko umuhimu wa mkataba kuwekwa sawa, na kusahau mambo ya kidini.
 
Kum 16:19 SUV
Usipotoe maamuzi; wala usipendelee uso wa mtu; wala usitwae rushwa; kwa kuwa rushwa hupofusha macho ya wenye akili, na kugeuza daawa ya wenye haki.
Kwa nguvu kubwa wanayoitumia hawa watawala kwenye hili suala, lazima kutakuwa na Rushwa /kuhongwa somewhere.
 
Tuachane na dini zetu mkuu. Vipi we unaona mkataba upo sawa?
 
honestly speaking huyu mama hakutakiwa kuwa makamu to begin with, mbona wanawake wa kiislamu wenye uwezo wapo wengi, walishindwa nini kuwachukua hao ........?

next time the power that be wanapochagua kiongozi waangalie na maadili yake, wengine ni corrupt kuanzia maadili, elimu, hata tabia!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…