Serikali ipitie upya masuala ya kodi kwa makampuni ya kibiashara

astranaut

JF-Expert Member
Jul 30, 2018
1,276
1,021
Ile dhana ya kwamba makampuni mengi ya kibiashara kufunga biashara zake na kupunguza wafanyakazi limenikuta mbashara sasa.

Ni baada ya kampuni moja ninayofanyia kazi kuanza kupunguza wafanyakazi na kufunga baadhi ya vituo vya kibiashara kutokana na kodi kua kubwa huku mauzo yakipungua kila kukicha ingawa tuko katika kipindi kigumu kutokana na janga la korona.

Serikali tunaomba ilejelee tena swala la kodi sababu makampuni haya yameajili watanzania walio wengi ambao wanaendesha familia kwa kutegemea hayo makampuni. Sasa yanavofunga biashara na kuondoka kuna watu tunapoteza kazi wakati huo serikali haiwezi kutuajili wote, sekta binafsi ni chachu ya maendeleo popote duniani.

Kulipa kodi ni muhimu kwa kila mwananchi na nchi haiwezi kujiendesha bila kukusanya kodi yenyewe ni sawa lakini pia lazima kodi ziwe rafiki kwa walipaji, chukulia leo hii mo dewj afunge biashara zake ni watanzania wangapi watakao athirika pia nchi itakua imepoteza hata kile kidogo ilichokua inakusanya kutoka kwake. Hivyo, ni lazima bunge na serikali kwa ujumla wakae chini tena watafakali mstakabali mzima wa masuala ya kodi.
 
Kwa maelezo yako juu ya kodi ya makampuni , hao watakuwa wameshindwa biashara kwa sababu nyingine. Sababu kodi ya makampuni inatozwa kwenye faida.

Corporate tax . Na kama umezungumzia kodi ya mauzo hiyo ni kitu ingine yenyewe inatozwa kama VAT na kama ni bidhaa za kutoka nje kunaweza kuwepo kwa import duty, hivyo kusababisha bidhaa kuwa bei juu, na labda uongeze pia watu kipato kimeshuka, hivyo mauzo yamekuwa hafifu.
 
Lipo tatizo kubwa serikali ichukue hatua na bunge letu la ndio lisione aibu kufanya maamuzi magumu kuishauri serikali pamoja na biashara holela machinga pia.
 
Hili suala tumelijadili sana humu mtandaoni, wengine wakifikiri ni mfanya biashara wanamkomoa, hadi wakadiriki kusema ,kama hulipi kodi, hata zikiwa za kubambikwa, funga biashara.

Kweli wengi wanafunga biashara na wanaoathirika kikubwa zaidi si mfanyabiashara bali wananchi wanyonge.
Kabisa mi mwenyewe nilikua siamini lakini baada ya kunikuta nimeamini.
 
Kwa maelezo yako juu ya kodi ya makampuni , hao watakuwa wameshindwa biashara kwa sababu nyingine. Sababu kodi ya makampuni inatozwa kwenye faida.
Corporate tax . Na kama umezungumzia kodi ya mauzo hiyo ni kitu ingine yenyewe inatozwa kama VAT na kama ni bidhaa za kutoka nje kunaweza kuwepo kwa import duty, hivyo kusababisha bidhaa kuwa bei juu, na labda uongeze pia watu kipato kimeshuka, hivyo mauzo yamekuwa hafifu
Mwenzio anazungumzia hali halisi on the ground,wewe unaleta blabla za nadharia za college.

Halo ni mbaya mno mitaani. TRA wanatoza kodi bila kutumia weledi wowote. Wamefirisi au kuvuruga biashara nyimgi mno.
 
Kwa maelezo yako juu ya kodi ya makampuni , hao watakuwa wameshindwa biashara kwa sababu nyingine. Sababu kodi ya makampuni inatozwa kwenye faida.
Corporate tax . Na kama umezungumzia kodi ya mauzo hiyo ni kitu ingine yenyewe inatozwa kama VAT na kama ni bidhaa za kutoka nje kunaweza kuwepo kwa import duty, hivyo kusababisha bidhaa kuwa bei juu, na labda uongeze pia watu kipato kimeshuka, hivyo mauzo yamekuwa hafifu.
Endelea kukariri vitini vya nyambari Nyangwine huna unalojua.

Miliki hata Genge utajua kwanini Wafanyabiashara wanalalamika.
 
Mwenzio anazungumzia hali halisi on the ground,wewe unaleta blabla za nadharia za college.

Halo ni mbaya mno mitaani. TRA wanatoza kodi bila kutumia weledi wowote. Wamefirisi au kuvuruga biashara nyimgi mno.
Sasa hapa ndio tungejikita kujua tatizo liko wapi, hao tunaosema wana nadharia za college ndio wanaendelea kudhulumu Watu kwa kutumia hizo nadharia, ukizingatia na Kiongozi wao wa Mpango anaamini hizo nadharia kuliko kitu chochote kile.

Ndio maana siku zinaenda na wameweka pamba masikioni.
 
Ile dhana ya kwamba makampuni mengi ya kibiashara kufunga biashara zake na kupunguza wafanyakazi limenikuta mbashara sasa.

Ni baada ya kampuni moja ninayofanyia kazi kuanza kupunguza wafanyakazi na kufunga baadhi ya vituo vya kibiashara kutokana na kodi kua kubwa huku mauzo yakipungua kila kukicha ingawa tuko katika kipindi kigumu kutokana na janga la korona.

Serikali tunaomba ilejelee tena swala la kodi sababu makampuni haya yameajili watanzania walio wengi ambao wanaendesha familia kwa kutegemea hayo makampuni. Sasa yanavofunga biashara na kuondoka kuna watu tunapoteza kazi wakati huo serikali haiwezi kutuajili wote, sekta binafsi ni chachu ya maendeleo popote duniani.

Kulipa kodi ni muhimu kwa kila mwananchi na nchi haiwezi kujiendesha bila kukusanya kodi yenyewe ni sawa lakini pia lazima kodi ziwe rafiki kwa walipaji, chukulia leo hii mo dewj afunge biashara zake ni watanzania wangapi watakao athirika pia nchi itakua imepoteza hata kile kidogo ilichokua inakusanya kutoka kwake. Hivyo, ni lazima bunge na serikali kwa ujumla wakae chini tena watafakali mstakabali mzima wa masuala ya kodi.
Point Nondo
 
Kwa maelezo yako juu ya kodi ya makampuni , hao watakuwa wameshindwa biashara kwa sababu nyingine. Sababu kodi ya makampuni inatozwa kwenye faida.
Corporate tax . Na kama umezungumzia kodi ya mauzo hiyo ni kitu ingine yenyewe inatozwa kama VAT na kama ni bidhaa za kutoka nje kunaweza kuwepo kwa import duty, hivyo kusababisha bidhaa kuwa bei juu, na labda uongeze pia watu kipato kimeshuka, hivyo mauzo yamekuwa hafifu
Napenda kukuhakikishia kuwa huna uelewa sahihi jinsi kodi inavyokusanywa, maana yamenikuta, haitozwi kwenye faida tuu! Wapo walioandaa tu jengo na kukata leseni wakafuatwa na kupigwa kodi na hapo ikawa mwisho wa biashara. Hili jambo halitaki siasa linahitaji utafiti wa hali ya juu, kupitia kumbu kumbu zote na kufanya tathmini ya kufahamu ni kwanini kampuni ilitozwa kodi halafu mwaka uliofuata kodi yake haikuonekana tena. Na wahusika wakionekana walikiuka maadili ya kukusanya kodi wachukuliwe hatua na/au wafikishwe mahakamani.
 
Napenda kukuhakikishia kuwa huna uelewa sahihi jinsi kodi inavyokusanywa, maana yamenikuta, haitozwi kwenye faida tuu! Wapo walioandaa tu jengo na kukata leseni wakafuatwa na kupigwa kodi na hapo ikawa mwisho wa biashara. Hili jambo halitaki siasa linahitaji utafiti wa hali ya juu, kupitia kumbu kumbu zote na kufanya tathmini ya kufahamu ni kwanini kampuni ilitozwa kodi halafu mwaka uliofuata kodi yake haikuonekana tena. Na wahusika wakionekana walikiuka maadili ya kukusanya kodi wachukuliwe hatua na/au wafikishwe mahakamani.
na uyo anaesema eti kodi inakusanywa kutoka kwenye faida nikweli hana anachojua,mwaka 2017 nilienda kuomba lessen ya biashara katika wilaya flani kwa ajili ya biashara ya m-pesa na tigo pesa,TRA walinikadiria kodi ata kabla lessen sijapewa mara baada ya kupatiwa TIN number ,sasa kwa point hiyo unasemaje kodi zinatozwa kutoka kwenye faida?
 
na uyo anaesema eti kodi inakusanywa kutoka kwenye faida nikweli hana anachojua,mwaka 2017 nilienda kuomba lessen ya biashara katika wilaya flani kwa ajili ya biashara ya m-pesa na tigo pesa,TRA walinikadiria kodi ata kabla lessen sijapewa mara baada ya kupatiwa TIN number ,sasa kwa point hiyo unasemaje kodi zinatozwa kutoka kwenye faida?
Kuna swali la msingi hapa, sina hakika kama huwa tunaogopa kujiuliza ama tu huwa hatulioni. Hivi haya wanayofanya TRA ni kinyume na sheria zilizopitishwa na Bunge letu au wanafuata sheria?

Maana kama wanafuata sheria, kosa la TRA ni nini hasa? Najaribu kufikirisha akili yako msomaji. Usikute tunahangaika na dawa ya Malaria ilhali mgonjwa ana Typhoid!
 
Kwa maelezo yako juu ya kodi ya makampuni , hao watakuwa wameshindwa biashara kwa sababu nyingine. Sababu kodi ya makampuni inatozwa kwenye faida.
Corporate tax . Na kama umezungumzia kodi ya mauzo hiyo ni kitu ingine yenyewe inatozwa kama VAT na kama ni bidhaa za kutoka nje kunaweza kuwepo kwa import duty, hivyo kusababisha bidhaa kuwa bei juu, na labda uongeze pia watu kipato kimeshuka, hivyo mauzo yamekuwa hafifu
Kinacho zungumzwa na kinacho tendeka field ni vitu 2 tofauti sana mkuu. Uliza hayo makampuni vizuri, hivi ina maana hata kina Msukuma, Nape na yule mbunge wa Mafinga wote waliongea uongo? Yule wa Mafinga alitolea mifano ya makampuni ya mbao, tena akataja hadi idadi ya makampuni yalifunga biashara zao kabisa, remember hiyo ilizungumzwa bungeni, sio kijiweni au sosho midia.
 
Napenda kukuhakikishia kuwa huna uelewa sahihi jinsi kodi inavyokusanywa, maana yamenikuta, haitozwi kwenye faida tuu! Wapo walioandaa tu jengo na kukata leseni wakafuatwa na kupigwa kodi na hapo ikawa mwisho wa biashara. Hili jambo halitaki siasa linahitaji utafiti wa hali ya juu, kupitia kumbu kumbu zote na kufanya tathmini ya kufahamu ni kwanini kampuni ilitozwa kodi halafu mwaka uliofuata kodi yake haikuonekana tena. Na wahusika wakionekana walikiuka maadili ya kukusanya kodi wachukuliwe hatua na/au wafikishwe mahakamani.
Jibu lake Lipo hapa na hii sio Tz tu
"Provisional tax is not a separate tax from income tax. It is a method of paying the income tax liability in advance, to ensure that the taxpayer does not remain with a large tax debt on assessment. ... A third payment is optional after the end of the tax year, but before the issuing of the assessment by SARS.9 Jul 2020"
 
Back
Top Bottom