Serikali ipige marufuku ARV's kuingizwa nchini, zinasambaza UKIMWI

Je zamani miaka ya 90s wakati ARV hazipo, ugonjwa wa ukimwi ulikuwa haupo Tanzania?
Ugonjwa ulikuwa mkali sana. Huko Kagera uliua watu na kuacha wazee na watoto.

Ukimwi bila ARV ni hatari sana. Kwanza nguvu kazi itapotea maana ukianza kuumwa, unakuwa mzigo kwa familia.

Wataalamu wenye Ukimwi watakufa nchi itapata anguko kubwa.

ARV zinasogeza siku za kuishi na maisha yanaendelea.

Kikubwa ni kuweka sheria kali kwa wanaoambukiza Ukimwi kwa makusudi.

Tanzania baadhi ya watu hawapo siriasi. Watu wanafanya ngono zembe. Kwani kuna ubaya gani ukipata mpenzi na kupima Ukimwi?

Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
 
Kuna takwimu walisema mpaka kufika 2030 dunia itakuwa HIV free (SDG-3). Sasa utajiuliza kama watu wanatumia ARVs ipasavyo kitu gani kitawaondoa hao wenye HIV kuelekea hiyo 2030?!

Nadhani utakuwa na jibu tayari..


shaver: ''Au labda wamezi_modify hizo ARVs na kuwadanganya watu kuwa wamezitengeneza zenye ubora zaidi kuliko zile za miaka ya nyuma ili kuwashawishi watu wote watakao pima na kukutwa wana huyo virus basi washawishike kuzitumia kwa kasi..?"

Mr. Dr : "Sasa tatizo hapo likowapi kama wametengeneza dawa zenye ubora zitakazo wasaidia watu wanaozitumia waendelee kuwa na afya njema..?"

shaver: "What if hizo dawa zikawa na side effects ambazo haziwezi kuhusishwa na hizo dawa moja kwa moja..? Matatizo ya figo, moyo etc. Matazo yatakayo pelekea kumaliza watumiaji wa hizo dawa kwa kasi ilikukamilisha ile agenda ya HIV free world ifikapo 2030..?"


Nawaza kwa sauti tu.... kama "Chindo ft Abbass Dobeez'
Nilipigwa semina ya Cancer ya Ini yaani inaambukizwa kama HIV na wanasema haina dawa ila kuna chanjo yake. Sasa Dr nikamuuliza swali Hii cancer ya ini ndiyo inafuta HIV maana serikali ilisema 2030 tutakuwa free HIV Majibu ya Dr yalikuwa ya kisiasa.
 
Huu uzi wachangiaji wengi ambao ni waathirika wa Ukimwi lazima wakuvae, lakini mimi naunga hoja mkono ili ukimwi utokomee lazima hizi dawa ARV zimepigwe marufuku baada ya miaka 10 wagonjwa watapakutika na waliobaki wazima watakuwa na uoga na kubaki nji kuu
 
Ifike mahali hizi dawa zipigwe marufuku tu maana wanaomeza hizo dawa wanaeneza huo ugonjwa kwa maksudi kabisa

Arvs ndo sababu ya kuendelea kuwepo kwa huu ugonjwa nchini dawa zililetwa ili watu waendelee kupiga hela lakini sidhani kama ni solutions ya huu ugonjwa

Madhara yake ni mabaya kuliko hata faida maana kwanza mtu akishaanza kunywa akiacha anakufa yaani ni uraibu mtupu kama dawa za kulevya tu

Kwamba wao wanatupenda sana walete arvs ili ukimwi uishe?Mnajua siasa za misaada nyie?Wanaleta arvs ili tatizo liweze kuendelea kupiga hela

Na wenye hiv wanaomeza dawa nao wanasambaza tu kwa maksudi maana wanajua watakufa yaani ni tabu tupu
Wewe hujitambuwi.

Hata kama ungekuwa na logic ya msingi basi ungetafuta jinsi ya kuiwakilisha ila sio kwa utumbo huu uliondika.

Wazima wa leo ndio wagonjwa wa kesho.

Hata wewe mleta mada huijui kesho yako wala ya mama na baba yako.
 
Mkuu,hii ni akili yako?Be careful what you wish for.Ukienda kula au kuliwa unashikiwa panga,Condom si zipo?Umenishangaza mpaka natamani mke wako awe na Ngoma ili nione utafanyaje.
Watu wenye maoni kama yake ni watu ambao UKIMWI haujapita kwenye familia yao...
 
Nikimkumbuka Mjomba,daaaah! akikua giant,so energetic,kamvamia mwanamke alikua anatumia ARVs,huwezi hata kumfikiria kama ana ngoma,akaukwaa mjomba wangu,na amemuacha anaishi yule mwanamke,mjomba kafa,mwanamke kaolewa kwingine,very painfull.. unafiki wetu unafanya tunauana,bora umwambie mtu health status yako,aamue kama anatumia zana kwa usahihi au ale hivyohivyo.Bila ARVs,tungekua tunaogopana sana,kwani mwenye nao angekondeana,na hakuna ambaye angedeti nae,kuliko saa hizi,unamvaa mtu,kumbe ni mgonjwa,hakwambii.
 
Ifike mahali hizi dawa zipigwe marufuku tu maana wanaomeza hizo dawa wanaeneza huo ugonjwa kwa maksudi kabisa

Arvs ndo sababu ya kuendelea kuwepo kwa huu ugonjwa nchini dawa zililetwa ili watu waendelee kupiga hela lakini sidhani kama ni solutions ya huu ugonjwa

Madhara yake ni mabaya kuliko hata faida maana kwanza mtu akishaanza kunywa akiacha anakufa yaani ni uraibu mtupu kama dawa za kulevya tu

Kwamba wao wanatupenda sana walete arvs ili ukimwi uishe?Mnajua siasa za misaada nyie?Wanaleta arvs ili tatizo liweze kuendelea kupiga hela

Na wenye hiv wanaomeza dawa nao wanasambaza tu kwa maksudi maana wanajua watakufa yaani ni tabu tupu
Uzuri wa maisha hatujui kesho yetu, unaweza kukuta mtoa mada mwakani umepanga mstari nawe ukisubiri ARV.
Kuna watu wamezaliwa na virusi, kuna watu wameambukizwa na wenza wa ndoa wasio waaminifu.
 
wenzetu kwakuongeza upatikanaji wa ARV wamefanya huu ugonjwa kuwa si issue kabisa kwenye nchi zao kwan mwenye HIV anaishi maisha marefu sawa tu na wasiokuwa navyo hivyo kutoathiri kabisa nguvukazi ya taifa ww unasema tuzuie ARV! usiogope tu HIV bro kuna ugonjwa km hepatitis nao husambaa kwa njia hiohio na ni hatari sana so ht acha mawazo ya kipuuzi km hayo kisa tu hauna HIV,
 
Ifike mahali hizi dawa zipigwe marufuku tu maana wanaomeza hizo dawa wanaeneza huo ugonjwa kwa maksudi kabisa

Arvs ndo sababu ya kuendelea kuwepo kwa huu ugonjwa nchini dawa zililetwa ili watu waendelee kupiga hela lakini sidhani kama ni solutions ya huu ugonjwa

Madhara yake ni mabaya kuliko hata faida maana kwanza mtu akishaanza kunywa akiacha anakufa yaani ni uraibu mtupu kama dawa za kulevya tu

Kwamba wao wanatupenda sana walete arvs ili ukimwi uishe?Mnajua siasa za misaada nyie?Wanaleta arvs ili tatizo liweze kuendelea kupiga hela

Na wenye hiv wanaomeza dawa nao wanasambaza tu kwa maksudi maana wanajua watakufa yaani ni tabu tupu
Utapataje ugonjwa wakati anaemeza kavifubaza virusi?

Acha ufuska kuna condom au unabakia njia kuu.
 
Back
Top Bottom