toplemon
JF-Expert Member
- Mar 26, 2017
- 4,581
- 4,626
Ifike mahali hizi dawa zipigwe marufuku tu maana wanaomeza hizo dawa wanaeneza huo ugonjwa kwa maksudi kabisa
Arvs ndo sababu ya kuendelea kuwepo kwa huu ugonjwa nchini dawa zililetwa ili watu waendelee kupiga hela lakini sidhani kama ni solutions ya huu ugonjwa
Madhara yake ni mabaya kuliko hata faida maana kwanza mtu akishaanza kunywa akiacha anakufa yaani ni uraibu mtupu kama dawa za kulevya tu
Kwamba wao wanatupenda sana walete arvs ili ukimwi uishe?Mnajua siasa za misaada nyie?Wanaleta arvs ili tatizo liweze kuendelea kupiga hela
Na wenye hiv wanaomeza dawa nao wanasambaza tu kwa maksudi maana wanajua watakufa yaani ni tabu tupu
Arvs ndo sababu ya kuendelea kuwepo kwa huu ugonjwa nchini dawa zililetwa ili watu waendelee kupiga hela lakini sidhani kama ni solutions ya huu ugonjwa
Madhara yake ni mabaya kuliko hata faida maana kwanza mtu akishaanza kunywa akiacha anakufa yaani ni uraibu mtupu kama dawa za kulevya tu
Kwamba wao wanatupenda sana walete arvs ili ukimwi uishe?Mnajua siasa za misaada nyie?Wanaleta arvs ili tatizo liweze kuendelea kupiga hela
Na wenye hiv wanaomeza dawa nao wanasambaza tu kwa maksudi maana wanajua watakufa yaani ni tabu tupu