"Serikali ipeleke muswada Bungeni kupunguza umri wa utumishi kutoka miaka 60 mpaka 45,watumishi wanakufa masikini"

Vision 2030

JF-Expert Member
Dec 10, 2017
407
250
1.Ieleweke kwamba hakuna Serikali yoyote duniani yenye uwezo wa kumtimizia kila hitaji lake mwananchi.Hata kule tulikoiga hii mifumo ya kuendesha nchi zetu wanakwama katika hili.

2.Awamu zote zilizopita tumekuwa tukifanya mambo kwa njia zilezile tukitegemea matokeo tofauti

3.Mtumishi anapostaafu akiwa na miaka 60 maendeleo makubwa sana anayokuwa amefanya si zaidi ya nyumba 2 ambazo hajazimalizia vizuri na kagari kamoja kabovu.

4.Watumishi wanatumia muda mwingi na rasilimali zao kuwaandaa watoto wao kuwa watumishi,kuoa na kuolewa hivyo kuendelea kutengeneza kizazi cha masikini.

5.Mtumishi akipewa muda mchache wa kufanya kazi miaka 10 mpaka 15 maximum atatumia muda mwingi kujipanga na kutobweteka hivyo kuwa na mtaji + kinua mgongo ambacho kitakuwa kizuri atakwenda mtaani kuongeza injini ya uchumi(sekta binafsi) na kutengeneza ajira za kutosha.Sio unampa Mtumishi fedha nyingi akiwa amechoka kimwili na kiakiri anazipoteza zote kwa kuwa hajawahi kuzishika na hajui azifanyie nini"

6.Kwa kufanya hivyo Mtumishi akistaafu akiwa na miaka 45 hatakuwa na pension ya kila mwezi kama inavyofanyika sasa.

7.Kwa kufanya hivyo Serikali itapunguza sana unemployment katika nchi.Wengi watapata mitaji kupitia kipindi ambacho wataajiriwa na kuanzisha shughuli za muda mfupi ambazo zitakuza sekta binafsi.

8.Sekta binafsi itaimarika sana kuliko muda wowote tangu nchi ipate Uhuru.

9.Serikali itakusanya sana kodi kuliko kipindi chochote toka Tanzania ipate Uhuru mwaka 1961.

10.Kutakuwa na ushindani wa huduma na matumizi makubwa ya tekinolojia.

11.Serikali haina cha kupoteza kwa kufanya hivyo maana watumishi wa Serikali ni wachache sana hawafiki milioni moja,wakati watanzania wote tunakaribia milioni 60.

12.Kunaweza kuwa na option kwa maeneo mengine ya kitaaluma ambayo ni gharama kwa nchi.
TUJADILI BILA KUWEKA MASLAHI BINAFSI MBELE.
 
1.Ieleweke kwamba hakuna Serikali yoyote duniani yenye uwezo wa kumtimizia kila hitaji lake mwananchi.Hata kule tulikoiga hii mifumo ya kuendesha nchi zetu wanakwama katika hili.

2.Awamu zote zilizopita tumekuwa tukifanya mambo kwa njia zilezile tukitegemea matokeo tofauti

3.Mtumishi anapostaafu akiwa na miaka 60 maendeleo makubwa sana anayokuwa amefanya si zaidi ya nyumba 2 ambazo hajazimalizia vizuri na kagari kamoja kabovu.

4.Watumishi wanatumia muda mwingi na rasilimali zao kuwaandaa watoto wao kuwa watumishi,kuoa na kuolewa hivyo kuendelea kutengeneza kizazi cha masikini.

5.Mtumishi akipewa muda mchache wa kufanya kazi miaka 10 mpaka 15 maximum atatumia muda mwingi kujipanga na kutobweteka hivyo kuwa na mtaji + kinua mgongo ambacho kitakuwa kizuri atakwenda mtaani kuongeza injini ya uchumi(sekta binafsi) na kutengeneza ajira za kutosha.Sio unampa Mtumishi fedha nyingi akiwa amechoka kimwili na kiakiri anazipoteza zote kwa kuwa hajawahi kuzishika na hajui azifanyie nini"

6.Kwa kufanya hivyo Mtumishi akistaafu akiwa na miaka 45 hatakuwa na pension ya kila mwezi kama inavyofanyika sasa.

7.Kwa kufanya hivyo Serikali itapunguza sana unemployment katika nchi.Wengi watapata mitaji kupitia kipindi ambacho wataajiriwa na kuanzisha shughuli za muda mfupi ambazo zitakuza sekta binafsi.

8.Sekta binafsi itaimarika sana kuliko muda wowote tangu nchi ipate Uhuru.

9.Serikali itakusanya sana kodi kuliko kipindi chochote toka Tanzania ipate Uhuru mwaka 1961.

10.Kutakuwa na ushindani wa huduma na matumizi makubwa ya tekinolojia.

11.Serikali haina haja ya kupoteza kwa kufanya hivyo maana watumishi wa Serikali ni wachache sana hawafiki milioni moja,wakati watanzania wote tunakaribia milioni 60.

TUJADILI BILA KUWEKA MASLAHI BINAFSI MBELE.
Mbona wewe tayari umeweka maslahi binafsi mbele.
 
1.Ieleweke kwamba hakuna Serikali yoyote duniani yenye uwezo wa kumtimizia kila hitaji lake mwananchi.Hata kule tulikoiga hii mifumo ya kuendesha nchi zetu wanakwama katika hili.

2.Awamu zote zilizopita tumekuwa tukifanya mambo kwa njia zilezile tukitegemea matokeo tofauti

3.Mtumishi anapostaafu akiwa na miaka 60 maendeleo makubwa sana anayokuwa amefanya si zaidi ya nyumba 2 ambazo hajazimalizia vizuri na kagari kamoja kabovu.

4.Watumishi wanatumia muda mwingi na rasilimali zao kuwaandaa watoto wao kuwa watumishi,kuoa na kuolewa hivyo kuendelea kutengeneza kizazi cha masikini.

5.Mtumishi akipewa muda mchache wa kufanya kazi miaka 10 mpaka 15 maximum atatumia muda mwingi kujipanga na kutobweteka hivyo kuwa na mtaji + kinua mgongo ambacho kitakuwa kizuri atakwenda mtaani kuongeza injini ya uchumi(sekta binafsi) na kutengeneza ajira za kutosha.Sio unampa Mtumishi fedha nyingi akiwa amechoka kimwili na kiakiri anazipoteza zote kwa kuwa hajawahi kuzishika na hajui azifanyie nini"

6.Kwa kufanya hivyo Mtumishi akistaafu akiwa na miaka 45 hatakuwa na pension ya kila mwezi kama inavyofanyika sasa.

7.Kwa kufanya hivyo Serikali itapunguza sana unemployment katika nchi.Wengi watapata mitaji kupitia kipindi ambacho wataajiriwa na kuanzisha shughuli za muda mfupi ambazo zitakuza sekta binafsi.

8.Sekta binafsi itaimarika sana kuliko muda wowote tangu nchi ipate Uhuru.

9.Serikali itakusanya sana kodi kuliko kipindi chochote toka Tanzania ipate Uhuru mwaka 1961.

10.Kutakuwa na ushindani wa huduma na matumizi makubwa ya tekinolojia.

11.Serikali haina cha kupoteza kwa kufanya hivyo maana watumishi wa Serikali ni wachache sana hawafiki milioni moja,wakati watanzania wote tunakaribia milioni 60.

TUJADILI BILA KUWEKA MASLAHI BINAFSI MBELE.
Mkuu hongera sana sana kwa Bandiko Zuri...
Ila amini nakuambia kwanza
1.Watu watakufa kwa Pressure baada tuu ya miaka 5
2.Wengi wa wazazi sasa hivi wanawaandaa watoto wao kuja kuajiriwa na serikali...we angalia tuu kozi wanazosoma utanielewa
3.Mkuu ukitaka ujiulize,jiulize swali hili...hivi kama nimeajiriwa naweza kaucha kazi....yaani nikawa sina kazi sipokei mshahara wa serikali kwa kipindi cha Miezi 6 tuu nikawa najitegeme kutoka mapato yangu mengine?
ukipata jibu hapo utajua inawezekana kustaafu miaka 45 au vipi.
4.NAJUA MKUU WEWE UMEMALIZA CHUO KIKUU NA HUNA KAZI...NA UNGEPENDA WATU WASITAAFU HATA KESHO ILI UPATE KAZI...NI NGUMU KAKA SABABU WENYE MAMLAKA NDIO WAAMUZI NDO NDIO HAO UNAOWAAMBIA WAACHE KAZI.
5.Ungefanya kustaafu kwa hiari iwe 50yrs lazima 55.
6.Ila nafikiri wanaogopa mifuko ya Hifadi inaweza kufa kwa kukosa fedha za kuwalipa watu
6.Wao wameongeza kutoka 55 mpaka 60 sababu wanasema kiwango cha kuishi cha mtanzania kimeongezeka kufa mri huo.
7.Pia wanasema wakifanya hivyo vifo vitakuwa vingi sababu sio watu wote wanaweza kujiajiri
8.Mwisho nashauri wangefanya tuu mtu awe na uhuru akitaka kuacha kazi at 50 au 45 aruhusiwe
 
Mkuu hongera sana sana kwa Bandiko Zuri...
Ila amini nakuambia kwanza
1.Watu watakufa kwa Pressure baada tuu ya miaka 5
2.Wengi wa wazazi sasa hivi wanawaandaa watoto wao kuja kuajiriwa na serikali...we angalia tuu kozi wanazosoma utanielewa
3.Mkuu ukitaka ujiulize,jiulize swali hili...hivi kama nimeajiriwa naweza kaucha kazi....yaani nikawa sina kazi sipokei mshahara wa serikali kwa kipindi cha Miezi 6 tuu nikawa najitegeme kutoka mapato yangu mengine?
ukipata jibu hapo utajua inawezekana kustaafu miaka 45 au vipi.
4.NAJUA MKUU WEWE UMEMALIZA CHUO KIKUU NA HUNA KAZI...NA UNGEPENDA WATU WASITAAFU HATA KESHO ILI UPATE KAZI...NI NGUMU KAKA SABABU WENYE MAMLAKA NDIO WAAMUZI NDO NDIO HAO UNAOWAAMBIA WAACHE KAZI.
5.Ungefanya kustaafu kwa hiari iwe 50yrs lazima 55.
6.Ila nafikiri wanaogopa mifuko ya Hifadi inaweza kufa kwa kukosa fedha za kuwalipa watu
6.Wao wameongeza kutoka 55 mpaka 60 sababu wanasema kiwango cha kuishi cha mtanzania kimeongezeka kufa mri huo.
7.Pia wanasema wakifanya hivyo vifo vitakuwa vingi sababu sio watu wote wanaweza kujiajiri
8.Mwisho nashauri wangefanya tuu mtu awe na uhuru akitaka kuacha kazi at 50 au 45 aruhusiwe
" Nashukuru,lakini Mimi pia Mtumishi nina miaka 10 hivi kazini,kwa nini Serikali ifikirie kwamba watu hawawezi kujiajiri? naungana na wewe katika eneo LA kuwa na option pia"wakifanyia tafiti vizuri eneo hili tutasogea sana kama nchi"
 
Binafsi naona ni wazo zuri sana. Niko kwenye ajira mwaka wa saba sasa lakini sioni cha maana chochote ninachokifanya au nilichokifanya zaidi ya kusubiri kamshahara ka kila mwisho wa mwezi ili nilipe kodi ya nyumba, nilipie bili ya maji na umeme na kununua chakula ambacho hata mwezi hakimalizi. Na mzunguko unaenda hivyo hivyo miaka nenda rudi.

Serikali irudishe fao la kujitoa watu tupate mitaji tukajue maisha mengine mbele lkn ajira ni kitanzi.
 
Binafsi naona ni wazo zuri sana. Niko kwenye ajira mwaka wa saba sasa lakini sioni cha maana chochote ninachokifanya au nilichokifanya zaidi ya kusubiri kamshahara ka kila mwisho wa mwezi ili nilipe kodi ya nyumba, nilipie bili ya maji na umeme na kununua chakula ambacho hata mwezi hakimalizi. Na mzunguko unaenda hivyo hivyo miaka nenda rudi.

Serikali irudishe fao la kujitoa watu tupate mitaji tukajue maisha mengine mbele lkn ajira ni kitanzi.
Uko sahihi sana sana Mkuu
huwa mimi najisemea hivi ukitaka kujipima fikiria je kama kesho ukiambiwa kazi baaasi unaweza kuishi si chini ya miezi 6 ukiwa unajipanga?kwa kipato ambacho sio tena cha mshahara? natamani jibu hili wanipe wana JF Wote Mkuu.
yaani kama mshahara umekata unaweza kuendelea kulipa umeme,maji,chakula,kodi nk kwa kipindi cha Miezi 6 tuu?
 
sikubaliani na wewe kabisa kwa sababu mtazamo wako ni wa siku za karibu na siku za baadaye sana utakuwa ni tatizo , kwa sababu :

1. miaka 45 , bado anakuwa ni kijana mdogo na anayewaza bado starehe za dunia, leo akipewa kiinua mgongo cha labda milioni 200 atazitumia zote bila kujali kesho hivyo kwa baadaye maisha yake yatakuwa ni magumu sana. tumeona hata wazee wa miaka 60 wanapopewa viinua mgongo maisha yao yanakuwaje

2. kujaribu kufanya hivyo ni kuwaingiza watu kwenye masuala ambayo hawana weledi nayo vizuri na mwisho wa siku kila mtu atakuwa mfanyabiashara hao wateja watatoka wapi.

3. pia wanasema ujuzi uongezeka kutokana na umri, kwa mantiki kijana huyu akiacha kazi yake ni kupeteza ujuzi ambao angekuwa nao akifika umri wa miaka 50-55. hii ni hatari kwa taifa.

4. umeangalia mazingira ya wale waliochelewa kuanza shule au waliochelewa kuajiriwa kupata kazi. mtu labda kaajiriwa akiwa na miaka 35 halafu miaka 45 awe mstaafu, utamlipa kiinua mgongo kiasi gani?

5. kijana huyo akistaafu na huo umri ataona kimbilio pekee lililobaki ni siasa hivyo kiinua mgongo chake atakitumia kwa ajili ya kufanyia siasa. kikiisha na hajapata alichokusudia ndipo ataingia kwenye matukio ya ujambazi kwa kuwa bado ana nguvu.

6. ofisi zitakosa wazee na watu wazima wa kuonya mienendo mibaya na nidhamu mbivu, kwa kuwa watu wa miaka 55-60 ambao ndio watu wazima watakuwa hawapo tena . tutarajie nini baada ya hapo? upumbavu maofisini kuongezeka?
 
Uko sahihi sana sana Mkuu
huwa mimi najisemea hivi ukitaka kujipima fikiria je kama kesho ukiambiwa kazi baaasi unaweza kuishi si chini ya miezi 6 ukiwa unajipanga?kwa kipato ambacho sio tena cha mshahara? natamani jibu hili wanipe wana JF Wote Mkuu.
yaani kama mshahara umekata unaweza kuendelea kulipa umeme,maji,chakula,kodi nk kwa kipindi cha Miezi 6 tuu?
Mkuu hata kabla ya wengine kuja kukupatia majibu majibu, binafsi nakataa kata kata, hakuna mfanyakazi anayetegemea mshahara pekee anayeweza kuendesha maisha kwa miezi sita baada ya mshahara kukata hata miezi mitatu ni ngumu(Hapa sisemei wale wenye njia za panya za kujiongezea kipato, nasemea mshahara peke yake). Wafanyakazi wengi hata kukamilisha mzunguko wa mwezi mzima ni mtihani mkubwa, wanaishia kukopa na kulipa madeni na mzunguko unaendelea hivyo hivyo.
 
sikubaliani na wewe kabisa kwa sababu mtazamo wako ni wa siku za karibu na siku za baadaye sana utakuwa ni tatizo , kwa sababu :

1. miaka 45 , bado anakuwa ni kijana mdogo na anayewaza bado starehe za dunia, leo akipewa kiinua mgongo cha labda milioni 200 atazitumia zote bila kujali kesho hivyo kwa baadaye maisha yake yatakuwa ni magumu sana. tumeona hata wazee wa miaka 60 wanapopewa viinua mgongo maisha yao yanakuwaje

2. kujaribu kufanya hivyo ni kuwaingiza watu kwenye masuala ambayo hawana weledi nayo vizuri na mwisho wa siku kila mtu atakuwa mfanyabiashara hao wateja watatoka wapi.

3. pia wanasema ujuzi uongezeka kutokana na umri, kwa mantiki kijana huyu akiacha kazi yake ni kupeteza ujuzi ambao angekuwa nao akifika umri wa miaka 50-55. hii ni hatari kwa taifa.

4. umeangalia mazingira ya wale waliochelewa kuanza shule au waliochelewa kuajiriwa kupata kazi. mtu labda kaajiriwa akiwa na miaka 35 halafu miaka 45 awe mstaafu, utamlipa kiinua mgongo kiasi gani?

5. kijana huyo akistaafu na huo umri ataona kimbilio pekee lililobaki ni siasa hivyo kiinua mgongo chake atakitumia kwa ajili ya kufanyia siasa. kikiisha na hajapata alichokusudia ndipo ataingia kwenye matukio ya ujambazi kwa kuwa bado ana nguvu.

6. ofisi zitakosa wazee na watu wazima wa kuonya mienendo mibaya na nidhamu mbivu, kwa kuwa watu wa miaka 55-60 ambao ndio watu wazima watakuwa hawapo tena . tutarajie nini baada ya hapo? upumbavu maofisini kuongezeka?
1.Starehe hazina umri ndugu ni hulka
2.Hatupaswi kuwa na plan A tu ktka maisha
3.Suala LA ujuzi nakubaliana na wewe kuongezeka kadri ya muda unapokwenda ndio mana nimeshauri options pia.
4.Mentality ya kupata kiinua mgongo kikubwa ndio inayotufanya tuwe masikini "it is not about how much you earn it is about how much you keep"
5.Kwamba watanzania wengine wote zaidi ya 60 m ni majambazi ,wanasiasa?
6.Wakati mwingine wazee ni watu wa hovyo kuliko vijana usikariri.
 
Mkuu hata kabla ya wengine kuja kukupatia majibu majibu, binafsi nakataa kata kata, hakuna mfanyakazi anayetegemea mshahara pekee anayeweza kuendesha maisha kwa miezi sita baada ya mshahara kukata hata miezi mitatu ni ngumu(Hapa sisemei wale wenye njia za panya za kujiongezea kipato, nasemea mshahara peke yake). Wafanyakazi wengi hata kukamilisha mzunguko wa mwezi mzima ni mtihani mkubwa, wanaishia kukopa na kulipa madeni na mzunguko unaendelea hivyo hivyo.
Mkuu kwahiyo unataka kusema watu hata Mshahara wanaoupata hauwatoshi mpaka wanaukopea?
Unashauri nini Mkuu kwa hiyo comment yako? Au unataka kuhitimisha nini?kutokana na mada?
kuwa watu waendelee kuajiriwa au unataka kusema nini haswa Mkuu?
 
1.Ieleweke kwamba hakuna Serikali yoyote duniani yenye uwezo wa kumtimizia kila hitaji lake mwananchi.Hata kule tulikoiga hii mifumo ya kuendesha nchi zetu wanakwama katika hili.

2.Awamu zote zilizopita tumekuwa tukifanya mambo kwa njia zilezile tukitegemea matokeo tofauti

3.Mtumishi anapostaafu akiwa na miaka 60 maendeleo makubwa sana anayokuwa amefanya si zaidi ya nyumba 2 ambazo hajazimalizia vizuri na kagari kamoja kabovu.

4.Watumishi wanatumia muda mwingi na rasilimali zao kuwaandaa watoto wao kuwa watumishi,kuoa na kuolewa hivyo kuendelea kutengeneza kizazi cha masikini.

5.Mtumishi akipewa muda mchache wa kufanya kazi miaka 10 mpaka 15 maximum atatumia muda mwingi kujipanga na kutobweteka hivyo kuwa na mtaji + kinua mgongo ambacho kitakuwa kizuri atakwenda mtaani kuongeza injini ya uchumi(sekta binafsi) na kutengeneza ajira za kutosha.Sio unampa Mtumishi fedha nyingi akiwa amechoka kimwili na kiakiri anazipoteza zote kwa kuwa hajawahi kuzishika na hajui azifanyie nini"

6.Kwa kufanya hivyo Mtumishi akistaafu akiwa na miaka 45 hatakuwa na pension ya kila mwezi kama inavyofanyika sasa.

7.Kwa kufanya hivyo Serikali itapunguza sana unemployment katika nchi.Wengi watapata mitaji kupitia kipindi ambacho wataajiriwa na kuanzisha shughuli za muda mfupi ambazo zitakuza sekta binafsi.

8.Sekta binafsi itaimarika sana kuliko muda wowote tangu nchi ipate Uhuru.

9.Serikali itakusanya sana kodi kuliko kipindi chochote toka Tanzania ipate Uhuru mwaka 1961.

10.Kutakuwa na ushindani wa huduma na matumizi makubwa ya tekinolojia.

11.Serikali haina cha kupoteza kwa kufanya hivyo maana watumishi wa Serikali ni wachache sana hawafiki milioni moja,wakati watanzania wote tunakaribia milioni 60.

12.Kunaweza kuwa na option kwa maeneo mengine ya kitaaluma ambayo ni gharama kwa nchi.
TUJADILI BILA KUWEKA MASLAHI BINAFSI MBELE.
Kwa hiyo baada ya kuona Ridance zimekuwa nyingi kwa watu ambao hawana umri huo na baada kupata Rindance wanachukua Fedha zao zote bila kupangiwa. Ndo kuja na hii sheria sio.
Lakini ni nzuri kwani miaka 45 hapa mtu anauwezo wa kufanya mambo makubwa baada ya kuondoka ktk utumwa na kwenda kujiajiri mwenyewe
 
Mkuu kwahiyo unataka kusema watu hata Mshahara wanaoupata hauwatoshi mpaka wanaukopea?
Unashauri nini Mkuu kwa hiyo comment yako? Au unataka kuhitimisha nini?kutokana na mada?
kuwa watu waendelee kuajiriwa au unataka kusema nini haswa Mkuu?
Ukiwa upo kwenye ajira unakuwa mwoga sana wa maisha nje ya ajira lakini ikitokea la kutokea ukaachishwa kazi, baada ya muda fulani kama ukijipanga vizuri, unaanza kujutia muda ulioupoteza kwenye ajira. Mimi nalia na serikali kuwanyang'anya wafanyakazi fao lao la kujitoa. wengi waliweza kufanikiwa baada ya kuacha kazi na kupata fao lao. Kifupi, ajira ni utumwa mbaya sana, mwenye nguvu anaweza kujikomboa na asiye na nguvu atege shingo ili mnyororo ukazwe vizuri.
 
Ukiwa upo kwenye ajira unakuwa mwoga sana wa maisha nje ya ajira lakini ikitokea la kutokea ukaachishwa kazi, baada ya muda fulani kama ukijipanga vizuri, unaanza kujutia muda ulioupoteza kwenye ajira. Mimi nalia na serikali kuwanyang'anya wafanyakazi fao lao la kujitoa. wengi waliweza kufanikiwa baada ya kuacha kazi na kupata fao lao. Kifupi, ajira ni utumwa mbaya sana, mwenye nguvu anaweza kujikomboa na asiye na nguvu atege shingo ili mnyororo ukazwe vizuri.
Hapo sawa sawa Mkuu nakuunga Mkono
wakubwa wanatumia fedha zetu ili tuendelee kuwa maskini sijui?
Fao la kujitoa ni muhimu sana sana,ukisema watakuambia Mifuko itafilisika,mara hakuna Nchi dunia ni inayofanya hivyo,yote hiyo ni kutaka kujenga hoja wabaki na hela wafanye miradi,kwani lazima kuiga?Kwanini wao wasianze kuwapenda wananchi wao kwa kuwapa fao la kujitoa,eti wameita fao la kukosa ajira...Mkuu nashauri waombee kimiyomoyo walaaniwe tuu mkuu
Hakuna justification muhimu ya kumnyima mtu hela zake pindi tuu anapoachishwa kazi kwa kisingizio eti unamuwekea uzeeni asiteseke itakua mzigo kwa serikali
AJIRA NI UTUMWA MBAYA SANA.
Unabaki kumnyenyekea mtu muda wote ili usifukuzwe,unapata hadii pressure,kisukari,
jitu linaweza kuja hapa na kuongea eti kama una maadili na unafanya kazi kwa weledi kwanini uwe na hofu ya kufukuzwa kazi...anyway ndio maana tuna mawazo tofauti....kuna watu wanapenda sana kuajiriwa kwao kuajiriwa ni fahari na furaha....hawawezi kujishika wenyewe...hawezi kujisimamia wenyewe...
Mwisho Mkuu usiitegemee sana serikali hebu hangaika kibinafsi tuu uongeze kipato hata kama umeajiriwa ili siku moja ujiajiri mkuu
 
Kimsingi jamaa ana hoja kwa sababu kelele nyingi zinazopigwa kuhusu wafanyakazi ni watumishi wa serikali ambao hawazidi hata milioni moja.

Hiii maana yake ni nini. Hii maana yake kuna watu mtaani ni zaidi ya milioni 40 wanaujua mtaa kuliko hawa wachache waliojidekeza kwa sababu tu wanafanya kazi serikalini.

Ukisikia mtu analalamika kuhusu pension, mshahara kutopandishwa ni hawahawa wa serikaini. Hivyo wanachukulia kama ni tatizo kwa nchi nzima kube ni kisehemu cha wananchi ambao hawafiki hata asilimia tano ya wananchi.

Kama umri wa kuishi umeongezeka maana yake wasiokuwa watumishi wa serikali wamefaulu maisha kuliko hawa jamaa wachache walioko serikalini.

Ndiyo maana hata pressure za uzeeni zinawapata hawa wachache waliojedekeza serikalini. Kama umefikisha umri hata wa miaka 45 hujawahi kuajiriwa serikalini, iweje ukifikisha miaka 65 eti ufe kwa pressure wakati mtaa ulishauzoea.

Eti unapata pension ya shilingi milioni 20 halafu unanunua gari na kujenga nyumba mbili. Hayo wanayafanya wafanyakazi wote walistaafu serikalini kwa kujidekeza kwako.

Kama umeishi mtaani siku zote utayaonaje haya ni mageni.

Mimi nilishawahi kufanya kazi serikalini kwa miaka kumi nikatoka. Faida ya kutoajiriwa serikalini ni kwamba unajiona una wajibu wa kuboresha maisha yako.

Hivyo, kila siku unakuwa mbunifu ili maisha yasonge mbele hata kama kipato si kikubwa. Ndiyo maana hata uchumi wetu unakuzwa au kuharibiwa na sisi sekta binafsi, hata kama ni umachinga.

Wafanyakazi wa serikalini hawana ubunifu wowote katika maisha. Kwa miaka mingi hawakujikita hata kupigania maslahi yao. Walikuwa na ubunifu kuunda semina zinawapatita per diem.

Wanabuni safari za Ulaya zinawapatia per diem. Wanabuni vikao kwenda kufanyia Kempisk Hotel vinawapatia per diem.

Wanakaa kujadili tender wanapata hela za kuhongwa na wanaotaka tender.

Utaona njia zote hizo zinamdumaza mfanyakaza wa serikali anakosa ubunifu wakati akijidhani amekuwa mbunifu.

HIzo per diem ndizo wanazojenga majumba huko Mbezi, Kimara, Goba ukichanganya na mikopo wanayopewa.

Baadhi wachache sana wanabuni vimiradi ambavyo hawawezi kuisimamia. Mtu anabuni mradi wa texi matokeo yake anaishi kuliwa hele yote na texi dreva na mradi unakwisha.

Mleta mada kaeleza vizuri kwamba wanajikita kuandaa watoto wao nao waingie serikalini. Yaani wawe wajinga kama wao!

Haya yote walijidekeza wenyewe. Mleta mada yuko sahihi japo kaleta kwa ufupi sana na hata mimi naongezea kwa ufupi sana.

Wafanyakazi wa serikali ni sehemu ndogo tu isiyofika hata asilimia tao ya taifa letu. Matatizo yao si matatizo ya taifa, ni matatizo ya kikundi kidogo kilichojidekeza kufanya kazi serikalini.

Mimi siwahurumii hata kidogo wafanyakazi wa serikalini kutokana na kujidekeza huko na wanapopata matokeo haya.

Ili ufaulu mtaani lazima ujenge mahsiano na ujue connections ziko wapi. Ukifanya hivyo utajua market iko wapi, bidhaa upeleke wapi, mzigo upatikene vipi.

UTamuona kila mtu ni potential customer wa biashara yako yoyote utakayoanzisha. Utamheshimu. Akikukosoa utamchukulia objectively utajirekebisha usikosee asichukie biashara yako. Kama kakosea utamuelimisha biashara yako ilivyo bora na atashawishika.

Hivi ndivyo mtaa unavyokweda na ukifanya hivi maisha hayakushindi hata ukifikisha miaka 80.

Wafanyakazi wa serikalini hawaishi maisha haya. Hawajengi mahusiano ambayo yangewapa connections.

Mafanyakazi wa serikalini ana sifa moja. Kwanza ni mtaani mtu ambaye anajifanya yuko busy muda wote wakati serikalini ndipo tunajua ni mahala pa uzembe kuliko pote.

Hachanganyiki kirahisi na jamii na kwa kufanya hivyo anajidhani amejipa social status kwamba yeye ni mtu adimu.

Miaka ya nyuma tukilalamikia serikali kuhusu uzembe wowote mfanyakazi wa seikalini lazima mkiwa naye atapinga tu hata kama hana hoja. Hata siku moja hataki kukubali kuna uzembe serikalini.

Kimsingi mkiwa kwenye baa na mfanyakazi wa serikali ni kero na imefika wakati nimeshajijenga akiwepo mfanyakazi wa serikali kwenye kikao cha social kama kwenye beer sikai nao.

Nikimvumilia wiki ya kwanza basi wiki ijayo ninahama hiyo sehemu.

Hivi ndivyo walivyo wafanyakazi wa serikali kwa miaka mingi. Wameshituka juzijuzi baada ya Magufuli kuanza kuwabana hiyo mianya ya per diem.

Sasa wanakuja na madai kemkem wanataka tusahau kwamba wao ndiyo walikuwa vinara wa kutetea kila kero tuliyoipigia kelele.

Sisi tulupiga kelele objectively kwa sababu biashara zetu haziendi. Wao wanapiga kelele kwa sababu tu per diem hazipo tena.

Na sasa wanaona pension haitoshi na kw aujinga wao wanatuaminsha kuwa hakuna mtu mtaani anaishi bile pension wakti asilimi zaidi ya 90 ya wananchi hawajui pension ni nini na hawajawahi kufanya kazi serikalini.

NImeeleza kirefu jinsi maisha ya mtumishi na wananchi wenzake. Kwa kifupi mtumishi wa serikali ni mtu ambaye wakati mwingi amekaa serious amekasirika ili usimchokonoe kwa swali lolote la utzembe wa serikali.

Mfanyakazi wa serikali kwa ujinga wake anasahau kwamba maisha ya namna hii yanamtenga na jamii. Ni maisha ambayo badala ya kumjengea connections kipindi yupo kazini yanamtenga anakosa connections.

Hivi hata kama umepeta pension ya billioni moja halafu huna connection yoyote uliyojenga, utaifanyia nini. Utatumbua pale mtaani kwako baada ya miaka mitano imeisha,

Hivyo, binafsi silioni suala la umri wa kustaafu kama ni tija kwani linawahusu wazembe wachache tu katika nchi yetu.

Ni kweli wanakufa na pressure kwa sababu y amaisha waliyojizoeza walipokuwa kazini. Kimsingi wanajijengea solitude wanapoingia mtaani, wakati wenzao waliowakuta mtaani wanaifaidi fainali uzeeni bila matatizo yoyote.

Cc:
Vision 2030, Magazine Fire, Monaco, UKAWA2

sikubaliani na wewe kabisa kwa sababu mtazamo wako ni wa siku za karibu na siku za baadaye sana utakuwa ni tatizo , kwa sababu :

1. miaka 45 , bado anakuwa ni kijana mdogo na anayewaza bado starehe za dunia, leo akipewa kiinua mgongo cha labda milioni 200 atazitumia zote bila kujali kesho hivyo kwa baadaye maisha yake yatakuwa ni magumu sana. tumeona hata wazee wa miaka 60 wanapopewa viinua mgongo maisha yao yanakuwaje

2. kujaribu kufanya hivyo ni kuwaingiza watu kwenye masuala ambayo hawana weledi nayo vizuri na mwisho wa siku kila mtu atakuwa mfanyabiashara hao wateja watatoka wapi.

3. pia wanasema ujuzi uongezeka kutokana na umri, kwa mantiki kijana huyu akiacha kazi yake ni kupeteza ujuzi ambao angekuwa nao akifika umri wa miaka 50-55. hii ni hatari kwa taifa.

4. umeangalia mazingira ya wale waliochelewa kuanza shule au waliochelewa kuajiriwa kupata kazi. mtu labda kaajiriwa akiwa na miaka 35 halafu miaka 45 awe mstaafu, utamlipa kiinua mgongo kiasi gani?

5. kijana huyo akistaafu na huo umri ataona kimbilio pekee lililobaki ni siasa hivyo kiinua mgongo chake atakitumia kwa ajili ya kufanyia siasa. kikiisha na hajapata alichokusudia ndipo ataingia kwenye matukio ya ujambazi kwa kuwa bado ana nguvu.

6. ofisi zitakosa wazee na watu wazima wa kuonya mienendo mibaya na nidhamu mbivu, kwa kuwa watu wa miaka 55-60 ambao ndio watu wazima watakuwa hawapo tena . tutarajie nini baada ya hapo? upumbavu maofisini kuongezeka?
Uko sahihi sana sana Mkuu
huwa mimi najisemea hivi ukitaka kujipima fikiria je kama kesho ukiambiwa kazi baaasi unaweza kuishi si chini ya miezi 6 ukiwa unajipanga?kwa kipato ambacho sio tena cha mshahara? natamani jibu hili wanipe wana JF Wote Mkuu.
yaani kama mshahara umekata unaweza kuendelea kulipa umeme,maji,chakula,kodi nk kwa kipindi cha Miezi 6 tuu?

sikubaliani na wewe kabisa kwa sababu mtazamo wako ni wa siku za karibu na siku za baadaye sana utakuwa ni tatizo , kwa sababu :

1. miaka 45 , bado anakuwa ni kijana mdogo na anayewaza bado starehe za dunia, leo akipewa kiinua mgongo cha labda milioni 200 atazitumia zote bila kujali kesho hivyo kwa baadaye maisha yake yatakuwa ni magumu sana. tumeona hata wazee wa miaka 60 wanapopewa viinua mgongo maisha yao yanakuwaje

2. kujaribu kufanya hivyo ni kuwaingiza watu kwenye masuala ambayo hawana weledi nayo vizuri na mwisho wa siku kila mtu atakuwa mfanyabiashara hao wateja watatoka wapi.

3. pia wanasema ujuzi uongezeka kutokana na umri, kwa mantiki kijana huyu akiacha kazi yake ni kupeteza ujuzi ambao angekuwa nao akifika umri wa miaka 50-55. hii ni hatari kwa taifa.

4. umeangalia mazingira ya wale waliochelewa kuanza shule au waliochelewa kuajiriwa kupata kazi. mtu labda kaajiriwa akiwa na miaka 35 halafu miaka 45 awe mstaafu, utamlipa kiinua mgongo kiasi gani?

5. kijana huyo akistaafu na huo umri ataona kimbilio pekee lililobaki ni siasa hivyo kiinua mgongo chake atakitumia kwa ajili ya kufanyia siasa. kikiisha na hajapata alichokusudia ndipo ataingia kwenye matukio ya ujambazi kwa kuwa bado ana nguvu.

6. ofisi zitakosa wazee na watu wazima wa kuonya mienendo mibaya na nidhamu mbivu, kwa kuwa watu wa miaka 55-60 ambao ndio watu wazima watakuwa hawapo tena . tutarajie nini baada ya hapo? upumbavu maofisini kuongezeka?
 
Hiyo namba 3 inawezekana, na weng wamefanya kasoro wewe tu, kumbuka mfumo huleta mazoea, hvyo mfumo anaopendekeza mleta mada utazoeleka na mambo yqtakuwa mazuri. Naungana na mtoa hoja, tunazalisha taifa legelege linalodhani kuwa bila kuajiriwa maisha hayawezekan
Mkuu hongera sana sana kwa Bandiko Zuri...
Ila amini nakuambia kwanza
1.Watu watakufa kwa Pressure baada tuu ya miaka 5
2.Wengi wa wazazi sasa hivi wanawaandaa watoto wao kuja kuajiriwa na serikali...we angalia tuu kozi wanazosoma utanielewa
3.Mkuu ukitaka ujiulize,jiulize swali hili...hivi kama nimeajiriwa naweza kaucha kazi....yaani nikawa sina kazi sipokei mshahara wa serikali kwa kipindi cha Miezi 6 tuu nikawa najitegeme kutoka mapato yangu mengine?
ukipata jibu hapo utajua inawezekana kustaafu miaka 45 au vipi.
4.NAJUA MKUU WEWE UMEMALIZA CHUO KIKUU NA HUNA KAZI...NA UNGEPENDA WATU WASITAAFU HATA KESHO ILI UPATE KAZI...NI NGUMU KAKA SABABU WENYE MAMLAKA NDIO WAAMUZI NDO NDIO HAO UNAOWAAMBIA WAACHE KAZI.
5.Ungefanya kustaafu kwa hiari iwe 50yrs lazima 55.
6.Ila nafikiri wanaogopa mifuko ya Hifadi inaweza kufa kwa kukosa fedha za kuwalipa watu
6.Wao wameongeza kutoka 55 mpaka 60 sababu wanasema kiwango cha kuishi cha mtanzania kimeongezeka kufa mri huo.
7.Pia wanasema wakifanya hivyo vifo vitakuwa vingi sababu sio watu wote wanaweza kujiajiri
8.Mwisho nashauri wangefanya tuu mtu awe na uhuru akitaka kuacha kazi at 50 au 45 aruhusiwe
 
Kimsingi jamaa ana hoja kwa sababu kelele nyingi zinazopigwa kuhusu wafanyakazi ni watumishi wa serikali ambao hawazidi hata milioni moja.

Hiii maana yake ni nini. Hii maana yake kuna watu mtaani ni zaidi ya milioni 40 wanaujua mtaa kuliko hawa wachache waliojidekeza kwa sababu tu wanafanya kazi serikalini.

Ukisikia mtu analalamika kuhusu pension, mshahara kutopandishwa ni hawahawa wa serikaini. Hivyo wanachukulia kama ni tatizo kwa nchi nzima kube ni kisehemu cha wananchi ambao hawafiki hata asilimia tano ya wananchi.

Kama umri wa kuishi umeongezeka maana yake wasiokuwa watumishi wa serikali wamefaulu maisha kuliko hawa jamaa wachache walioko serikalini.

Ndiyo maana hata pressure za uzeeni zinawapata hawa wachache waliojedekeza serikalini. Kama umefikisha umri hata wa miaka 45 hujawahi kuajiriwa serikalini, iweje ukifikisha miaka 65 eti ufe kwa pressure wakati mtaa ulishauzoea.

Eti unapata pension ya shilingi milioni 20 halafu unanunua gari na kujenga nyumba mbili. Hayo wanayafanya wafanyakazi wote walistaafu serikalini kwa kujidekeza kwako.

Kama umeishi mtaani siku zote utayaonaje haya ni mageni.

Mimi nilishawahi kufanya kazi serikalini kwa miaka kumi nikatoka. Faida ya kutoajiriwa serikalini ni kwamba unajiona una wajibu wa kuboresha maisha yako.

Hivyo, kila siku unakuwa mbunifu ili maisha yasonge mbele hata kama kipato si kikubwa. Ndiyo maana hata uchumi wetu unakuzwa au kuharibiwa na sisi sekta binafsi, hata kama ni umachinga.

Wafanyakazi wa serikalini hawana ubunifu wowote katika maisha. Kwa miaka mingi hawakujikita hata kupigania maslahi yao. Walikuwa na ubunifu kuunda semina zinawapatita per diem.

Wanabuni safari za Ulaya zinawapatia per diem. Wanabuni vikao kwenda kufanyia Kempisk Hotel vinawapatia per diem.

Wanakaa kujadili tender wanapata hela za kuhongwa na wanaotaka tender.

Utaona njia zote hizo zinamdumaza mfanyakaza wa serikali anakosa ubunifu wakati akijidhani amekuwa mbunifu.

HIzo per diem ndizo wanazojenga majumba huko Mbezi, Kimara, Goba ukichanganya na mikopo wanayopewa.

Baadhi wachache sana wanabuni vimiradi ambavyo hawawezi kuisimamia. Mtu anabuni mradi wa texi matokeo yake anaishi kuliwa hele yote na texi dreva na mradi unakwisha.

Mleta mada kaeleza vizuri kwamba wanajikita kuandaa watoto wao nao waingie serikalini. Yaani wawe wajinga kama wao!

Haya yote walijidekeza wenyewe. Mleta mada yuko sahihi japo kaleta kwa ufupi sana na hata mimi naongezea kwa ufupi sana.

Wafanyakazi wa serikali ni sehemu ndogo tu isiyofika hata asilimia tao ya taifa letu. Matatizo yao si matatizo ya taifa, ni matatizo ya kikundi kidogo kilichojidekeza kufanya kazi serikalini.

Mimi siwahurumii hata kidogo wafanyakazi wa serikalini kutokana na kujidekeza huko na wanapopata matokeo haya.

Ili ufaulu mtaani lazima ujenge mahsiano na ujue connections ziko wapi. Ukifanya hivyo utajua market iko wapi, bidhaa upeleke wapi, mzigo upatikene vipi.

UTamuona kila mtu ni potential customer wa biashara yako yoyote utakayoanzisha. Utamheshimu. Akikukosoa utamchukulia objectively utajirekebisha usikosee asichukie biashara yako. Kama kakosea utamuelimisha biashara yako ilivyo bora na atashawishika.

Hivi ndivyo mtaa unavyokweda na ukifanya hivi maisha hayakushindi hata ukifikisha miaka 80.

Wafanyakazi wa serikalini hawaishi maisha haya. Hawajengi mahusiano ambayo yangewapa connections.

Mafanyakazi wa serikalini ana sifa moja. Kwanza ni mtaani mtu ambaye anajifanya yuko busy muda wote wakati serikalini ndipo tunajua ni mahala pa uzembe kuliko pote.

Hachanganyiki kirahisi na jamii na kwa kufanya hivyo anajidhani amejipa social status kwamba yeye ni mtu adimu.

Miaka ya nyuma tukilalamikia serikali kuhusu uzembe wowote mfanyakazi wa seikalini lazima mkiwa naye atapinga tu hata kama hana hoja. Hata siku moja hataki kukubali kuna uzembe serikalini.

Kimsingi mkiwa kwenye baa na mfanyakazi wa serikali ni kero na imefika wakati nimeshajijenga akiwepo mfanyakazi wa serikali kwenye kikao cha social kama kwenye beer sikai nao.

Nikimvumilia wiki ya kwanza basi wiki ijayo ninahama hiyo sehemu.

Hivi ndivyo walivyo wafanyakazi wa serikali kwa miaka mingi. Wameshituka juzijuzi baada ya Magufuli kuanza kuwabana hiyo mianya ya per diem.

Sasa wanakuja na madai kemkem wanataka tusahau kwamba wao ndiyo walikuwa vinara wa kutetea kila kero tuliyoipigia kelele.

Sisi tulupiga kelele objectively kwa sababu biashara zetu haziendi. Wao wanapiga kelele kwa sababu tu per diem hazipo tena.

Na sasa wanaona pension haitoshi na kw aujinga wao wanatuaminsha kuwa hakuna mtu mtaani anaishi bile pension wakti asilimi zaidi ya 90 ya wananchi hawajui pension ni nini na hawajawahi kufanya kazi serikalini.

NImeeleza kirefu jinsi maisha ya mtumishi na wananchi wenzake. Kwa kifupi mtumishi wa serikali ni mtu ambaye wakati mwingi amekaa serious amekasirika ili usimchokonoe kwa swali lolote la utzembe wa serikali.

Mfanyakazi wa serikali kwa ujinga wake anasahau kwamba maisha ya namna hii yanamtenga na jamii. Ni maisha ambayo badala ya kumjengea connections kipindi yupo kazini yanamtenga anakosa connections.

Hivi hata kama umepeta pension ya billioni moja halafu huna connection yoyote uliyojenga, utaifanyia nini. Utatumbua pale mtaani kwako baada ya miaka mitano imeisha,

Hivyo, binafsi silioni suala la umri wa kustaafu kama ni tija kwani linawahusu wazembe wachache tu katika nchi yetu.

Ni kweli wanakufa na pressure kwa sababu y amaisha waliyojizoeza walipokuwa kazini. Kimsingi wanajijengea solitude wanapoingia mtaani wakati wenzao waliowakuta mtaani wanaifaidi fainali uzeeni bila matatizo yoyote.

Cc:
Vision 2030, Magazine Fire, Monaco, UKAWA2
Uko sahihi Mkuu
ila naomba nirekebishe sehemu moja tuuu
Sio wafanyakazi wa serikali tuu ndo watumwa tena hata Walioajiriwa binafsi,sekta binafsi.
nimefaya sekta binafsi miaka 9 yaani kila mwezi watu wanafurahi mwezi huu tunamuaga nani nastaafu huwa kuna ka sharehe ukumbini mtu anapostaafu,hivyo watu wamekuwa wameshikiwa akili wanasubiri kustaafu na hakuna chochote cha maana wanafanya nje ya kuajiriwa...
kuhusu utendaji kazi ni kweli Private wanajituma sana sana lakini mwisho wa siku ndo utumwa wenyewe huo wanafanya kazi kuuuubwa mwisho akizeeka anaumwa mgongo,kisukari nk nk hana cha maana ndo maana nikasema cha msingi ni Kujiajiri tuuu hata uko Private inawahusu hii waachie ajira vijana.
 
Miaka 45 kijana mdogo???? kazi ipo
sikubaliani na wewe kabisa kwa sababu mtazamo wako ni wa siku za karibu na siku za baadaye sana utakuwa ni tatizo , kwa sababu :

1. miaka 45 , bado anakuwa ni kijana mdogo na anayewaza bado starehe za dunia, leo akipewa kiinua mgongo cha labda milioni 200 atazitumia zote bila kujali kesho hivyo kwa baadaye maisha yake yatakuwa ni magumu sana. tumeona hata wazee wa miaka 60 wanapopewa viinua mgongo maisha yao yanakuwaje

2. kujaribu kufanya hivyo ni kuwaingiza watu kwenye masuala ambayo hawana weledi nayo vizuri na mwisho wa siku kila mtu atakuwa mfanyabiashara hao wateja watatoka wapi.

3. pia wanasema ujuzi uongezeka kutokana na umri, kwa mantiki kijana huyu akiacha kazi yake ni kupeteza ujuzi ambao angekuwa nao akifika umri wa miaka 50-55. hii ni hatari kwa taifa.

4. umeangalia mazingira ya wale waliochelewa kuanza shule au waliochelewa kuajiriwa kupata kazi. mtu labda kaajiriwa akiwa na miaka 35 halafu miaka 45 awe mstaafu, utamlipa kiinua mgongo kiasi gani?

5. kijana huyo akistaafu na huo umri ataona kimbilio pekee lililobaki ni siasa hivyo kiinua mgongo chake atakitumia kwa ajili ya kufanyia siasa. kikiisha na hajapata alichokusudia ndipo ataingia kwenye matukio ya ujambazi kwa kuwa bado ana nguvu.

6. ofisi zitakosa wazee na watu wazima wa kuonya mienendo mibaya na nidhamu mbivu, kwa kuwa watu wa miaka 55-60 ambao ndio watu wazima watakuwa hawapo tena . tutarajie nini baada ya hapo? upumbavu maofisini kuongezeka?
 
Kuhusu suala la uwepo wa wazee inatosha wakiwepo kto nafasi za uteuzi na senior post (managerial)
sikubaliani na wewe kabisa kwa sababu mtazamo wako ni wa siku za karibu na siku za baadaye sana utakuwa ni tatizo , kwa sababu :

1. miaka 45 , bado anakuwa ni kijana mdogo na anayewaza bado starehe za dunia, leo akipewa kiinua mgongo cha labda milioni 200 atazitumia zote bila kujali kesho hivyo kwa baadaye maisha yake yatakuwa ni magumu sana. tumeona hata wazee wa miaka 60 wanapopewa viinua mgongo maisha yao yanakuwaje

2. kujaribu kufanya hivyo ni kuwaingiza watu kwenye masuala ambayo hawana weledi nayo vizuri na mwisho wa siku kila mtu atakuwa mfanyabiashara hao wateja watatoka wapi.

3. pia wanasema ujuzi uongezeka kutokana na umri, kwa mantiki kijana huyu akiacha kazi yake ni kupeteza ujuzi ambao angekuwa nao akifika umri wa miaka 50-55. hii ni hatari kwa taifa.

4. umeangalia mazingira ya wale waliochelewa kuanza shule au waliochelewa kuajiriwa kupata kazi. mtu labda kaajiriwa akiwa na miaka 35 halafu miaka 45 awe mstaafu, utamlipa kiinua mgongo kiasi gani?

5. kijana huyo akistaafu na huo umri ataona kimbilio pekee lililobaki ni siasa hivyo kiinua mgongo chake atakitumia kwa ajili ya kufanyia siasa. kikiisha na hajapata alichokusudia ndipo ataingia kwenye matukio ya ujambazi kwa kuwa bado ana nguvu.

6. ofisi zitakosa wazee na watu wazima wa kuonya mienendo mibaya na nidhamu mbivu, kwa kuwa watu wa miaka 55-60 ambao ndio watu wazima watakuwa hawapo tena . tutarajie nini baada ya hapo? upumbavu maofisini kuongezeka?
 
Back
Top Bottom