Serikali ingeajiri vijana wanaomaliza Ardhi University, migogoro ingepungua zaidi ya nusu

MtuHabari

JF-Expert Member
Oct 16, 2020
321
1,019
Ni jambo la ajabu migogoro ya ardhi nchi hii inapoteza idadi kubwa ya raia kwa kuuana na mifarakano.

Ardhi ndiyo wizara iliyo na migogoro mingi kwa raia wake kuliko wizara nyingine yeyote na hii inatokana na Halmashauri nyingi kukosa kabisa wataalamu wa Ardhi wa kutosha na hao waliopo kwa uchache wao wakaona ndio loop hole ya rushwa.

Ajabu, wataalam wanaozalishwa chuo cha Ardhi ambacho ni moja ya chuo bora barani Afrika hawaajiriwi na serikali wako tuu mitaani.

Hapo ndio unapoona serikali ya CCM haina vipaumbele vyovyote hata kama vina husu maisha na ustawi wa watu.
 
Ni jambo la ajabu migogoro ya ardhi nchi hii inapoteza idadi kubwa ya raia kwa kuuana na mifarakano.

Ardhi ndiyo wizara iliyo na migogoro mingi kwa raia wake kuliko wizara nyingine yeyote na hii inatokana na Halmashauri nyingi kukosa kabisa wataalamu wa Ardhi wa kutosha na hao waliopo kwa uchache wao wakaona ndio loop hole ya rushwa.

Ajabu, wataalam wanaozalishwa chuo cha Ardhi ambacho ni moja ya chuo bora barani Afrika hawaajiriwi na serikali wako tuu mitaani.

Hapo ndio unapoona serikali ya CCM haina vipaumbele vyovyote hata kama vina husu maisha na ustawi wa watu.
Haitakuwa suluhisho, Bali inaweza kuongeza migogoro zaidi ya ardhi.
Vyanzo vingi vya migogoro ya ardhi ni Wananchi wenyewe kuishi kwa mazoea bila ya kuwa na utaratibu mzuri wa maisha hususani kuhusiana na Masuala ya ardhi.
 
Ni jambo la ajabu migogoro ya ardhi nchi hii inapoteza idadi kubwa ya raia kwa kuuana na mifarakano.

Ardhi ndiyo wizara iliyo na migogoro mingi kwa raia wake kuliko wizara nyingine yeyote na hii inatokana na Halmashauri nyingi kukosa kabisa wataalamu wa Ardhi wa kutosha na hao waliopo kwa uchache wao wakaona ndio loop hole ya rushwa.

Ajabu, wataalam wanaozalishwa chuo cha Ardhi ambacho ni moja ya chuo bora barani Afrika hawaajiriwi na serikali wako tuu mitaani.

Hapo ndio unapoona serikali ya CCM haina vipaumbele vyovyote hata kama vina husu maisha na ustawi wa watu.
Kosa la serikali ni kosa lenye mizizi ndani ya serikali. Amka Mtanzania.

Mifumo ya Usimamizi wa Ardhi inapaswa kuangaliwa upya kama lengo ni kuondoa Migogoro ya Ardhi.

Ni mpaka hivi karibuni tuu, Ardhi kwa umma mkubwa haikuna na thamani hata kidogo. Maana hakukuwa na utaratibu mzuri wa kuisimamia na kujifanya iwe ya thamani (kudhibiti upatikanaji wake)

Kwa sababu Sasa urahisi wake kupatikana watu wengi waliendelea kuitumia vibaya. Mfano wafugaji ambao kwasababu ya uchache wa wakaazi na makazi nchini sehemu kubwa ilikuwa mapori na misitu wakipata fursa ya kulisha Kokote na subconsciously wakaamini IPO tuu hii.

Na wakulima nao wakatawanyika kwa kwenye kujikatia mapori(adverse possession) kwa hiyo kila kilicho huru au kudhaniwa kuwa huru kikawa kifikiwa na kumegwa na yeyote bila mawasiliano au utaratibu wa namna yoyote.

Mkubwa w kulaumiwa kwenye hili ni serikali. Tangu wamnzo ilipaswa kuweka miongozo wazi na kuisimia hata kwa hii ambayo ndio janga kubwa ya kujimengea tuu inayoitwa adverse possession.

Kwa hoja yako iliyojibiwa na mwanajamvi mwingine piea kuongeza watumishi kunaweza kusiwe na faida kubwa sana katika kupunguza Migogoro, tena yawezekana kwa asilimia kubwa ikaongeza Migogoro..

Chanzo cha ongezeko si kuajiri watumishi wengi....la hasha. Ila itakuwa ni athari ya uelewa wa mfumo wa Usimamizi wa Ardhi kwa wananchi unaotokana na kupata Wataalam wa kuwashauri na kuwafungua macho.

Bado nchini Kuna Migogoro mingi..na kwa sehemu kubwa serikali inafunika funika kombe siku zisogee. Sasa siku ya kuamka.migogodo yote hakutakuwa na amani hata kidogo.

Suluhisho:-
1) Tunahitaji kuunda time ndogo za maridhiano na muafaka wa Migogoro nchi nzima.

2) Kupitia, kurekebisha na kuufundisha umma taratibu na miongozo ya kujipatia Ardhi na uendelezaji wake nchi nzima.

3) Kutoka katika mipango ya maendeleo ya muda mrefu ya taifa, tuitafsiri kwa kuwa na mpango wa matumizi Bora ya Ardhi wa Nchi nzima. Utafsiriwe kwa ngazi ya mikoa, halafu wilaya na.baadaye Vijiji au miji.

Itasaidia taifa zima kuwa na dira moja inapokuka kwenye suala la matumizi ya Ardhi. Na itasaidia utafsiri wa mipango mbali mbali kutokukinzana na kuondoa Migogoro in the process.
 
Kosa la serikali ni kosa lenye mizizi ndani ya serikali. Amka Mtanzania.

Mifumo ya Usimamizi wa Ardhi inapaswa kuangaliwa upya kama lengo ni kuondoa Migogoro ya Ardhi.

Ni mpaka hivi karibuni tuu, Ardhi kwa umma mkubwa haikuna na thamani hata kidogo. Maana hakukuwa na utaratibu mzuri wa kuisimamia na kujifanya iwe ya thamani (kudhibiti upatikanaji wake)

Kwa sababu Sasa urahisi wake kupatikana watu wengi waliendelea kuitumia vibaya. Mfano wafugaji ambao kwasababu ya uchache wa wakaazi na makazi nchini sehemu kubwa ilikuwa mapori na misitu wakipata fursa ya kulisha Kokote na subconsciously wakaamini IPO tuu hii.

Na wakulima nao wakatawanyika kwa kwenye kujikatia mapori(adverse possession) kwa hiyo kila kilicho huru au kudhaniwa kuwa huru kikawa kifikiwa na kumegwa na yeyote bila mawasiliano au utaratibu wa namna yoyote.

Mkubwa w kulaumiwa kwenye hili ni serikali. Tangu wamnzo ilipaswa kuweka miongozo wazi na kuisimia hata kwa hii ambayo ndio janga kubwa ya kujimengea tuu inayoitwa adverse possession.

Kwa hoja yako iliyojibiwa na mwanajamvi mwingine piea kuongeza watumishi kunaweza kusiwe na faida kubwa sana katika kupunguza Migogoro, tena yawezekana kwa asilimia kubwa ikaongeza Migogoro..

Chanzo cha ongezeko si kuajiri watumishi wengi....la hasha. Ila itakuwa ni athari ya uelewa wa mfumo wa Usimamizi wa Ardhi kwa wananchi unaotokana na kupata Wataalam wa kuwashauri na kuwafungua macho.

Bado nchini Kuna Migogoro mingi..na kwa sehemu kubwa serikali inafunika funika kombe siku zisogee. Sasa siku ya kuamka.migogodo yote hakutakuwa na amani hata kidogo.

Suluhisho:-
1) Tunahitaji kuunda time ndogo za maridhiano na muafaka wa Migogoro nchi nzima.

2) Kupitia, kurekebisha na kuufundisha umma taratibu na miongozo ya kujipatia Ardhi na uendelezaji wake nchi nzima.

3) Kutoka katika mipango ya maendeleo ya muda mrefu ya taifa, tuitafsiri kwa kuwa na mpango wa matumizi Bora ya Ardhi wa Nchi nzima. Utafsiriwe kwa ngazi ya mikoa, halafu wilaya na.baadaye Vijiji au miji.

Itasaidia taifa zima kuwa na dira moja inapokuka kwenye suala la matumizi ya Ardhi. Na itasaidia utafsiri wa mipango mbali mbali kutokukinzana na kuondoa Migogoro in the process.
The root cause ya Migogoro mingi zaidi ya ardhi hapa Tz ni kwamba Ardhi Kubwa zaidi ya nchi hii haijapangwa wala haijapimwa.
Kukosekana kwa Mipangomiji imara ndio sababu kuu.
Ardhi yote kabisa ktk nchi hii inapaswa Kupangwa na Kupima (Planning and Surveying processes), kwa kiasi kikubwa hii itasaidia kupunguza Migogoro ya ardhi kwa kiasi kikubwa
 
The root cause ya Migogoro mingi zaidi ya ardhi hapa Tz ni kwamba Ardhi Kubwa zaidi ya nchi hii haijapangwa wala haijapimwa.
Kukosekana kwa Mipangomiji imara ndio sababu kuu.
Ardhi yote kabisa ktk nchi hii inapaswa Kupangwa na Kupima (Planning and Surveying processes), kwa kiasi kikubwa hii itasaidia kupunguza Migogoro ya ardhi kwa kiasi kikubwa
Uko sahihi kabisa. Na hiyo nisemu Moja tuu na suluhisho.

Sehemu ya pili ni Sheria za Usimamizi wa mipango. Ukipanga na kupima na watu wasifuate ni uharibifu wa rasilimali fedha na muda.

Watu pia kwenye akili zao inabidi wapangwe. Watu wa Dunia ya kwanza ni nadra sana kuwakuta wanafanya mambo ya uendelezaji Ardhi bila kuishirikisha serikali au kufuata mipango.

Sisi hapa mpango upo, ila watu wanajenga barabarani. Eneo la makazi mtu anaweza kiwanda nk.. haya maamuzi yanafanywa na watu maofisini ambao Wana zile zile tabia au vinasaba vya wakulima na wafugaji wanaogombama kule kijijini.

Kwa kifupi sio watu wa utaratibu (Lack of order). Na lengo la kupanga na kupima ni kuleta utaratibu na nidhamu ya matumizi juu ya Ardhi.

Sasa kuwa na mipango kwenye makaratasi ya namna ya kutumia Ardhi, halafu tuwe na wasimamizi ila umma haujaandaliwa kiakili kuelewa mantiki na Matokeo ya kufanya hayo yaliyokuwa prescribed ni kazi ndumu sana na isiyo na tija.

Maana unapgeuka tuu na kuwaacha wenyewe..wanarudi kwenye njia zao. Kujenga holela kama ilivyo kijijini kwao. Unless uwe na fimbo na mjeredi na macho yako kwao kila dakika ya uhai wao.

Kwa hiyo pamoja na hayo mazuri ya kupanga na kupima. Bado changamoto itakuwa pale pale. Urasimishaji umetufunza kitu.. kupanga sio solution maana kwa Sasa ni ujenzi holela wenye cheti....

Kisa pamepangwa na kupimwa tuu(for this case urasimishaji wa makazi) haiguarantee Matokeo chanya ya maendeleo ya Mji. The only exception kwenye urasimishaji itaondoa Migogoro ya mipaka..mwisho wa milki..huku ikijiandaa kuleta Migogoro ya matumizi. Am very interested to see the outcome of urasimishaji in 5years.
 
Leo Jerry silaa kasema wizara haina mipango ya kuajiri,inatumia watumishi waliopo na wakishidwa kudeliver,wataondolewa mdogomdogo,ili waajiriwe Wenye uwezo🙏
 
Kweli kabisa, lakini serikali hata haiwazi hayo

Serikali ya hovyo
 
Kweli kabisa, lakini serikali hata haiwazi hayo

Serikali ya hovyo
Kuajiri watu waliosomea masuala ya ardhi kutoka Vyuo vya Ardhi siyo suluhisho sahihi la utatuzi wa migogoro ya ardhi hapa nchini.
Tutafute suluhisho sahihi la tatizo hili kwa kujifunza kutoka kwa wezetu nchi zingine zilizofanikiwa ktk kuondokana na tatizo hili.
 
Back
Top Bottom