Serikali inamchekea Askofu Shoo

Umemaliza kuongea?
 
Matatizo tuliyo nayo watanzania yapo ubongo wetu,haiwezekani mtoa mada aandike ujinga kama huo halafu achekewe,ni bora kuishi na nyani porini kuliko na binadamu dizaini hiyo.watanzania tunamakwazo hatari du
 
Ikiriri una matatizo ya akili uccm na udini umekujaa, ameleta fujo ipi kwa mfano. Ni tahadhari na amesema vizuri tu?
Huoni dalili za fujo? Huoni haki inavunjwa? Mjinga kama wewe ndiyo wale mnauana kwautofauti wa kuweka mikono tumboni wengine wakisema mikono kifuani.
 
Mtoa mada labda anafanya dhihaka (sarcasm) ila kama anamaanisha alichoandika, basi Tanzania tuna matatizo makubwa kuliko tunavyodhani
Watu wasitoe maoni yao, Tz tuna matatizo makubwa, ni nyinyi mnodhani watu wote wanapaswa kuwaza kama nyinyi ndio wenye matatizo, usijumlishe taifa.
 
Mungu nisaidie nisimtukane mtoa mada *****
 
We kibwengu unawaza kuua watu tu pumbavu
 
 
Watu wasitoe maoni yao, Tz tuna matatizo makubwa, ni nyinyi mnodhani watu wote wanapaswa kuwaza kama nyinyi ndio wenye matatizo, usijumlishe taifa.
anayezuia mwingine asitoe maoni yake si mtoa mada? yaani askofu akitoa maoni serikali imkamate?
 
Inaonekana unafikiria kutumia tumbo. Umeona barua waliyoandika baraza la maaskofu wa kanisa katoliki nchini Uganda wakikemea vitendo katili vya serikali dhidi ya raia wake?


Ile barua imeandikwa kwa lugha ya malkia ni ngumu Meko, Bashite kuelewa mpk wamwite yule mkuu wa insta aliyekuwa mmbeba mabox huko Marekani............... vinginevyo hawataelewa chochote
 
Unamaanisha masheikh au mashehena? Sheikh anaamliwa atii mamlaka na wala c mtu wa siasa ikiwa kiongozi hamzuii kufanya ibada, ushehe sio uanaharakati kazi hizo ni za makhaawarij kama isis, boko haram etc
Anaamliwa=Anaariwa..
 
Ile barua imeandikwa kwa lugha ya malkia ni ngumu Meko, Bashite kuelewa mpk wamwite yule mkuu wa insta aliyekuwa mmbeba mabox huko Marekani............... vinginevyo hawataelewa chochote
Aisee.
 
sioni tatizo hapo,,,,baba askofu shoo yupo sahihi...
 
Una maanisha kuwa mashehe huwa hawasemi ukweli? Wanaacha mambo yavurugike tu maana wakisema watasababisha fujo?????OK... ndio sababu kule mashariki ya kati fujo haziishi basi kwa sababu ukweli hausemwi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…