TataMadiba
JF-Expert Member
- Feb 7, 2014
- 9,866
- 5,747
Karibia atayazima mavuvuzelaMagufuli kadhamiria kweli kumkomboa Mtanzania.
Kudos Mr President!
Kumbe umelata Uzi wako kishabiki shabiki hivi!Karibia atayazima mavuvuzela
Ndo ushangae mkuu ...labda rais atawalipa kwa pesa yakeKwa mwenyew akili timamu huwezi kushabikia maigizo haya!
Nani ambaye hajui lengo ipite tu bajeti ya wizara baada ya hapo kalenda ziendelee kama kawaida!
Juzi tu ummy mwalimu ametoka kukiri wizara yake haina pesa hata hao 258 hajui watalipwa nini!
To be honest, most of them are in self deception, denial and delusion!Karibia atayazima mavuvuzela
Una akili za mbege sana mangiKwa mwenyew akili timamu huwezi kushabikia maigizo haya!
Nani ambaye hajui lengo ipite tu bajeti ya wizara baada ya hapo kalenda ziendelee kama kawaida!
Juzi tu ummy mwalimu ametoka kukiri wizara yake haina pesa hata hao 258 hajui watalipwa nini!
Uwe unatumia kidogo na akili, siyo unasoma tu vichwa vya habari mkurupuko vya magazeti yanayolazimisha mauzo na unaaminiZile ajira 70,000 za budget hii zilishatolewa? Same same drama
Mdau yuko sahihi acha Kumkejeli Mwenzio wakati Hufatilii hata vyombo vya Habari uko busy na Video za Ngono au Habari za akina Wema Sepetu.Uwe unatumia kidogo na akili, siyo unasoma tu vichwa vya habari mkurupuko vya magazeti yanayolazimisha mauzo na unaamini
Magufuli kadhamiria kweli kumkomboa Mtanzania.
Kudos Mr President!
Ndo ushangae mkuu ...labda rais atawalipa kwa pesa yake
Watahamisha magori tu.. Sasa hivi wamehamia katika HotubaKaribia atayazima mavuvuzela