baraka bb
JF-Expert Member
- Mar 20, 2016
- 2,691
- 3,859
- Thread starter
- #21
Kaka fikiria upya biashara ya Mchanga fuso imekuwa kichaa, majuzi hapo kulikuwa na watu wa Maturubai, yaani alikuwa anapanda juu ya mchanga na anarukaruka, mchanga ukimwagika kidogo tu barabarani faini LAKI TANO (500,000) na gari linapelekwa yard Tamco, ukishindwa kulipa siku moja penalt inaongezeka
Maana hapo kuna SUMATRA, VIPIMO, MAPATO, TURUBAI, USALAMA, gari linahitaji service, dereva anahitaji posho, kila trip kuna 2000 ya Trafic na kila ijumaa kuna HESABU YA MEZA- Yaani kuna 5000 ya trafiki ambayo ni tofauti na 2000 ya kila siku, we mwenye gari utapata nini
Kama una pesa weka box body au Bomba peleka gari shamba
Mkuu umesahau yule wa kibamba uwa anakuja na kipikipiki chake ye uwa aachi kitu ata jero anabeba bado wa mbez kwa Yusuph wale wanadaka kuanzia 5000..
ila I swear to GOD dawa yao inachemka rais akishindwa kulishughulikia hili tutagawana majengo ya serikali Tumbi to segerea