Serikali ina Bodi nyingi, mengine hasara tu

Jidu La Mabambasi

JF-Expert Member
Oct 20, 2014
15,314
24,177
Serikali lazima sasa itambue kuwa kna Bodi ilizoziunda ni kero na mzigo tu kwa Taifa.

Kuna NEMC, Bodi za Mabonde siujui ya mito Ruvu, Rufiji, Bodi la Ziwa Tanganyika, Bodi la Ziwa Victoria, Bodi ya Kaskazini. Ma Bodi mengi tu ya Wizara hasa ya Maji. Yoote ni hasara tupu.

Hawafanyi kazi yoyote ila kula hela ya Watanzania kwa vikao visivyo na maana.

Hawasimamii hayo mabonde na sijui wanawajibika vipi ambapo sasa tunaona uhalifu mkubwa wa kuvuta Maji toka mabondeni bila uratibu wa aina yoyote.

Ukame unaoonekana umewaumbua, maana mara tu baada ya wanasiasa kutembelea na kukagua kingo za mito, maji yameongezeka kina, sasa tunajiuliza wanahitajika kwa kazi gani?

Mabodi haya yavunjwe na ziwe idara ndani ya Wizara ya Maji.
 
Hivi mnaposema serikali inapata hasara huwa mnatisha nini?
Serikali haipati faida wala hwajawahi kupata faida
Madhumuni ya serikali sio kufanya biashara hivyo haiwezi kupata hasara wala faida
 
Hivi mnaposema serikali inapata hasara huwa mnatisha nini?
Serikali haipati faida wala hwajawahi kupata faida
Madhumuni ya serikali sio kufanya biashara hivyo haiwezi kupata hasara wala faida
Hasara tunsipata wananchi walipakodi.
 
Serikali lazima sasa itambue kuwa kna Bodi ilizoziunda ni kero na mzigo tu kwa Taifa.

Kuna NEMC, Bodi za Mabonde siujui ya mito Ruvu, Rufiji, Bodi la Ziwa Tanganyika, Bodi la Ziwa Victoria, Bodi ya Kaskazini. Ma Bodi mengi tu ya Wizara hasa ya Maji. Yoote ni hasara tupu.

Hawafanyi kazi yoyote ila kula hela ya Watanzania kwa vikao visivyo na maana.

Hawasimamii hayo mabonde na sijui wanawajibika vipi ambapo sasa tunaona uhalifu mkubwa wa kuvuta Maji toka mabondeni bila uratibu wa aina yoyote.

Ukame unaoonekana umewaumbua, maana mara tu baada ya wanasiasa kutembelea na kukagua kingo za mito, maji yameongezeka kina, sasa tunajiuliza wanahitajika kwa kazi gani?

Mabodi haya yavunjwe na ziwe idara ndani ya Wizara ya Maji.
Wizara ya Maji ni kweli kuna lundo la bodi,taasisi kibao za kupigia hela....hawafanyi kazi yeyote....maji hakuna
 
Hivi mnaposema serikali inapata hasara huwa mnatisha nini?
Serikali haipati faida wala hwajawahi kupata faida
Madhumuni ya serikali sio kufanya biashara hivyo haiwezi kupata hasara wala faida
Hapo ulipo umepanga kuanzia ardhi hadi kila kitu ufanyacho na unachonunua unalipa kodi, huna unachomili. Ukishaona unapangiwa bei ya vitu ujue serikali inafanya biashara.
 
Back
Top Bottom