Serikali imetusahau walimu masomo ya sanaa

Chifyono

JF-Expert Member
Oct 16, 2017
921
1,658
Itapendeza zaidi ikisikika sauti toka kwa waziri wa elimu Ndalichako, Tamisemi Jafo, Utumishi na rais wa JMT sijui nani huko sitaki hata kumtaja jina!

Hii ni serikali ya ajabu kuwahi kutokea tangu tupate uhuru 9/12/1961, itakumbukwa vizuri tangu 2015 serkali awamu ya tano iliposhika madaraka tumeshuhudia mambo mengi ikiwa ni kupunguza watumishi wa umma na wengi wametokea kada ya elimu ambao ni walimu hasa wa masomo ya sanaa
Kinachoshangaza shule nyingi hazina walimu wa kutosha huku serikali ikijifanya hailioni tatizo la upungufu wa walimu katika shule hizi nyingi zikiwa za kata na zinapatikana huko vijijini ndani.

Napenda kuwakumbusha tu ninyi wenye dhamana ya kututoa huku mtaani bila kazi
Tumejaa sasa tupo batch 3, 2015, 16na 17!

Serikali mnampango gani na sisi graduate hasa walimu wa masomo ya arts?

Mbaya zaidi graduants wenyewe wamejichokea na kukata tamaa hata nyuzi zinazoistua serikali hapa jamvini ni nadra sana kuonekana!
Chondechonde tusikate tamaa tuungane tupambane tupewe ajira zetu


Nawakumbusha tupo
 
Mkuu kwani mpaka serikali ikufanyie kitu ili hali wewe ni msomi na una uhakika na ulichokipata huko darasani?

Kupitia hiyo elimu yako huwezi fanya chochote mpaka upewe ajira na serikali?

Uje kwa kampuni yangu ntakupa nafasi

Lkn
Uje na mpango kazi ambao utaifanya kampuni itoke ilipo na iweze kukulipa we salary

Mpango kazi wako ukiwa unalipa kampuni itakuzawadia na kukupa ajira ya kudumu
 
Masomo ya sayansi kwanza,walimu wa art
n weng ,kuna shule mwalimu mmoja kipnd kimoja kwa WK,hku sayansi vpnd 24 na zaid
Acha Ubaguzi kwani wewe no serikali aya mwalimu was sayansi subiri upewe ajira uku ukiwananga wenzio was art
 
Mkuu kwani mpaka serikali ikufanyie kitu ili hali wewe ni msomi na una uhakika na ulichokipata huko darasani?

Kupitia hiyo elimu yako huwezi fanya chochote mpaka upewe ajira na serikali?

Uje kwa kampuni yangu ntakupa nafasi

Lkn
Uje na mpango kazi ambao utaifanya kampuni itoke ilipo na iweze kukulipa we salary

Mpango kazi wako ukiwa unalipa kampuni itakuzawadia na kukupa ajira ya kudumu
Sitaki hizo kampuni zenu! Hizi ni porojo na kejeri kwa wasomi huku mkiwa mnaelewa wazi elimu ya bongo iko vipi

Tunataka serikali itoe ajira
 
Sitaki hizo kampuni zenu! Hizi ni porojo na kejeri kwa wasomi huku mkiwa mnaelewa wazi elimu ya bongo iko vipi

Tunataka serikali itoe ajira
Mkuu sijakejeli MTU,

Wajua vema kwqmba serikali hata ikitoa nafsi za ajira hamtaisha maana mko wengi,

Km una shida na ajira chukua propozo yangu
 
Mkuu sijakejeli MTU,

Wajua vema kwqmba serikali hata ikitoa nafsi za ajira hamtaisha maana mko wengi,

Km una shida na ajira chukua propozo yangu
Walimu lazima tuishe ni suala la serikali kuamua tu kwani uhitaji ni mkubwa kuliko walimu tuliopo mtaani
 
Na kweli itoe ajira kama walivyoahidi jmn batch 3zote ni nyingi mnoo wanataka hawa watu wakawe majambazi au? Ifikie kipind tuwe tunahurumiana jmn.

Huu muda sio wa kukatishana tamaa tutiane moyo kuwa ipo siku kama binadamu wanashindwa kuwakumbuka basi Mungu hatoweza kuwaacha wala kuwatupa mkono.

Tunatakiwa tuwe na imani na tuishi ktk imani hiyo, kila jaribu lina mlango wa kutokea na jaribu linapoingia kwa mlango mmoja basi Mungu atafungua milango saba ya kutokea.

Kila jambo na wakati wake, atakaekudharau au kukucheka leo sababu huna ajira muombee rehema kwa Mungu aendelee kumbarik na huna sababu ya kumchukia mtu. Nikutie moyo kuwa mwisho wa siku haya yote yataisha sababu hakuna alieandikiwa kupata shida milele so shida ni kama daraja tunalotakiwa kulivuka ili kufikia mafanikio.
 
Mkuu kwani mpaka serikali ikufanyie kitu ili hali wewe ni msomi na una uhakika na ulichokipata huko darasani?

Kupitia hiyo elimu yako huwezi fanya chochote mpaka upewe ajira na serikali?

Uje kwa kampuni yangu ntakupa nafasi

Lkn
Uje na mpango kazi ambao utaifanya kampuni itoke ilipo na iweze kukulipa we salary

Mpango kazi wako ukiwa unalipa kampuni itakuzawadia na kukupa ajira ya kudumu

Nimekuchora coment yako kwenye uzi wangu fulani hivi afu nimepata na hii coment yako nimeanza kulinganisha doti nimegundua una tatzo kubwa sana pyschologically.....
Hili ni tatzo la Watanzania tuliowengi tunajifanya much knowers alafu tunachukulia vitu kiuepesi uepesi na tunaamini tunachokiona kuliko tunachokijua ...

Nina wasi wasi na hiyo kampuni unayodai unayo kwa akil zako za kuthathimni vitu kwa kikawaida na dharau nani kakudanganya elimu ya Tanzania inaweza kumjenga kijana katika self reliance education?

Au elimu ya kujitegemea?

Mfano mtu amesoma Ualimu hebu nambie ni kozi ipi ambayo inaweza kumjenga kijana katika elimu ya kujitegemea...

Acha kukalili na nilichora coment yako nikabaki nacheka tu
 
Nimekuchora coment yako kwenye uzi wangu fulani uvi afu nimepata na hii coment yako nimeanza kulinganisha doti nimegundua una tatzo kubwa sana pyschologically.....
Hili ni tatzo la Watanzania tuliowengi tunajifanya much knowers afu tunachukulia vitu kiuepesi uepesi na tuna amin tunachokiona kuliko tunachokijua ...

Nina wasi wasi na hyo kampuni unayodai unayo kwa akil zako za kuthathimni vitu kwa kikawaida na dharau nani kakudanganya elimu ya Tanzania inaweza kumjenga kijana katika self reliance education?
Au elimu ya kujitegemea?
Mfano mtu amesoma Ualimu hebu nambie ni kozi ipi ambayo inaweza kumjenga kijana katika elimu ya kujitegemea...
Acha kukalili na nilichora coment yako nikabaki nacheka tu
Nakushangaeni mnavyonitafsiri mnavyojua ninyi

Ajira ni tatizo dunia na watz wanajua hilo

Kikubwa ninyi wakufunzi mjitahidi kufikiri nje ya box

Mkienda kanada mnaweza kuwa mameneja wa supamaketi na kazi na kusambaza barua

Humu nchini mwenu hamzitaki hizo kazi mnataka kukaa ofisi haya endeleeni mkiambiwa nasema mbakejeliwa, sijafunzwa kukejeli watu mie
 
Kwa serikali hii ya awamu hii kiukweli ukisema usubiri ajira ni kujidanganya!
Kikubwa ni kujitoa akili kufanya shughuli yoyote inayopatikana!
Mfano:
Nilienda kijijini huko Iringa mboga fungu moja tsh.500 na haipatikani.......
So hata ukiwa na bustani yako unavuna mafungu 100 tu kwa siku unauhakika itaisha!

NB: Siungi mkono serikali kutotoa ajira maana hamkawii kunishambulia
 
Serikali ingelimit usajili wa ualimu vyuoni ku regulate walimu ambao tayari wamehitimu.Kuliko ilivyoachilia sasa,watu wahitimu wamejaa mtaani.
 
Nakushangaeni mnavyonitafsiri mnavyojua ninyi

Ajira ni tatizo dunia na watz wanajua hilo

Kikubwa ninyi wakufunzi mjitahidi kufikiri nje ya box

Mkienda kanada mnaweza kuwa mameneja wa supamaketi na kazi na kusambaza barua

Humu nchini mwenu hamzitaki hizo kazi mnataka kukaa ofisi haya endeleeni mkiambiwa nasema mbakejeliwa, sijafunzwa kukejeli watu mie
Una mawazo mazuri ila tatzo haujatambua persuassion ya mawaz yako ndg...
Tatzo halipo kwa vijana wanaotegemea ajira ila tatzo lipo kwenye mitaala (syllabus) ya elimu yetu Watanzania kwan kijana anapomaliza masimo yake unakuta elimu aliosoma imemtengenezea mind set ya kuajiliwa kwa hyo ni vigumu kijana huyo aweze kupata wazo la kujiajili kwa hyo tusiwalaumu vijana wetu pasipokujua chanzo cha matatizo kwao kwani hata mimi nilikuwa mhanga wa hilo na ninalijua fika kuwa ni vijana wachache wanaoweza kupata wazo la kujiajili kwa kuwa miaka yote takriban 14 ya masomo unakuta anategenezewa dependent psychology kutokana na masomo aliyosoma na uahauri aliokuwa akipewa na jamii kipind yuko shule

Mfano mzazi unampeleka mtoto shuleni kipind anasoma akirudi nyumba unamwambia mwanangu soma usjekurudi kutegemea kilimo kama sisi wazazi wako pia na mwalim shulen unakuta anamwambia mtoto hivyo hivyo unakuta mtoto anachukulia kilimo kama adui katika maisha yake leo hii amalize shule umwambie ajiajili shambani atakuelewa?
Vyuoni watoto wanafundishwa vitu wanavyosemea mfano walimu wanafundishwa masomo ya saikolojia ya watoto masomo ya class managment kama vile resson planning na namna ya kufundisha hapati somo hata moja la ujasilianali leo hii akitoka chuo umwambie atumie elimu yake kujiajili unategemea atajiajili vipi??
 
Itapendeza zaidi ikisikika sauti toka kwa waziri wa elimu Ndalichako, Tamisemi Jafo, Utumishi na rais wa JMT sijui nani huko sitaki hata kumtaja jina!

Hii ni serikali ya ajabu kuwahi kutokea tangu tupate uhuru 9/12/1961, itakumbukwa vizuri tangu 2015 serkali awamu ya tano iliposhika madaraka tumeshuhudia mambo mengi ikiwa ni kupunguza watumishi wa umma na wengi wametokea kada ya elimu ambao ni walimu hasa wa masomo ya sanaa
Kinachoshangaza shule nyingi hazina walimu wa kutosha huku serikali ikijifanya hailioni tatizo la upungufu wa walimu katika shule hizi nyingi zikiwa za kata na zinapatikana huko vijijini ndani.

Napenda kuwakumbusha tu ninyi wenye dhamana ya kututoa huku mtaani bila kazi
Tumejaa sasa tupo batch 3, 2015, 16na 17!

Serikali mnampango gani na sisi graduate hasa walimu wa masomo ya arts?

Mbaya zaidi graduants wenyewe wamejichokea na kukata tamaa hata nyuzi zinazoistua serikali hapa jamvini ni nadra sana kuonekana!
Chondechonde tusikate tamaa tuungane tupambane tupewe ajira zetu


Nawakumbusha tupo
Msijali tutawatumia tena wakati wa uchaguzi mutusaidie kuiba kura. Kwasasa hatuwahitaji
 
Nimekuchora coment yako kwenye uzi wangu fulani hivi afu nimepata na hii coment yako nimeanza kulinganisha doti nimegundua una tatzo kubwa sana pyschologically.....
Hili ni tatzo la Watanzania tuliowengi tunajifanya much knowers alafu tunachukulia vitu kiuepesi uepesi na tunaamini tunachokiona kuliko tunachokijua ...

Nina wasi wasi na hiyo kampuni unayodai unayo kwa akil zako za kuthathimni vitu kwa kikawaida na dharau nani kakudanganya elimu ya Tanzania inaweza kumjenga kijana katika self reliance education?

Au elimu ya kujitegemea?

Mfano mtu amesoma Ualimu hebu nambie ni kozi ipi ambayo inaweza kumjenga kijana katika elimu ya kujitegemea...

Acha kukalili na nilichora coment yako nikabaki nacheka tu
Wengine wanacoment waonekane tu!
Huyo hana lolote mkuu
 
Back
Top Bottom