Serikali imetusahau walimu masomo ya sanaa

Serikali imetusahau walimu masomo ya sanaa

Tupo wengi ila inabidi tukomae hata zile nafasi za primary tokea mwezi wa 8 mpaka Leo bado wapo kimya
 
Yani KISWAHILI kinadhalaulika Sana ila tambueni kuwa ndio lugha yenu ya taifa....Kuna watu ni PhD holder lakini wapatie hicho kingereza uone vituko....sizungumzii ajira hapa mana watetezi wa hii serilikali watakutoa macho walivyo naroho mbaya...
Nimekupata vizuri sana mkuu, ila concept yangu ilikuwa kwa aliye Soma masomo ya sanaa leo hii ukampe kuandaa mpango kazi wa kuendesha kampuni ambapo tunajua unapozungumzia Company automatically unazungumzia Science au Business fields. Kwa hiyo wa arts itamuwia vigumu kidogo
 
Msikate tamaa mtaajiriwa soon.Ila mkiajiriwa msianze kejeli kwa walimu wa Sayansi wenye vipindi vingi.walimu wa Sanaa kwa kejeli utakuta ana vipindi viwili kwa wiki anamkejeli mwenye vipindi 24 kuwa kwani nilikutuma usome sayansi? Una mavipindi mengi lakini mshahara sawa.
 
Msikate tamaa mtaajiriwa soon.Ila mkiajiriwa msianze kejeli kwa walimu wa Sayansi wenye vipindi vingi.walimu wa Sanaa kwa kejeli utakuta ana vipindi viwili kwa wiki anamkejeli mwenye vipindi 24 kuwa kwani nilikutuma usome sayansi? Una mavipindi mengi lakini mshahara sawa.
Umesema kweli mkuu
 
Back
Top Bottom