Serikali imetusahau walimu masomo ya sanaa

Serikali imetusahau walimu masomo ya sanaa

Nakushangaeni mnavyonitafsiri mnavyojua ninyi

Ajira ni tatizo dunia na watz wanajua hilo

Kikubwa ninyi wakufunzi mjitahidi kufikiri nje ya box

Mkienda kanada mnaweza kuwa mameneja wa supamaketi na kazi na kusambaza barua

Humu nchini mwenu hamzitaki hizo kazi mnataka kukaa ofisi haya endeleeni mkiambiwa nasema mbakejeliwa, sijafunzwa kukejeli watu mie
hatujasomea kusambaza barua!

Tungehitaji kujiajiri tungeisha la saba tu
 
ila walimu wa Arts wengi mno UDSM walimu wa sayansi wanaodahiliwa ni 385 uku BAED niw1200 anyway
 
H
Kwa serikali hii ya awamu hii kiukweli ukisema usubiri ajira ni kujidanganya!
Kikubwa ni kujitoa akili kufanya shughuli yoyote inayopatikana!
Mfano:
Nilienda kijijini huko Iringa mboga fungu moja tsh.500 na haipatikani.......
So hata ukiwa na bustani yako unavuna mafungu 100 tu kwa siku unauhakika itaisha!

NB: Siungi mkono serikali kutotoa ajira maana hamkawii kunishambulia
Hizi kilimo tumefanya saaana lakini hamna kitu zaidi tunachoshana tu na shauri za namna hii!

Tupewe ajira ndio suluhu
 
Sitaki hizo kampuni zenu! Hizi ni porojo na kejeri kwa wasomi huku mkiwa mnaelewa wazi elimu ya bongo iko vipi

Tunataka serikali itoe ajira

kampuni hizo c ndio zinazolipa watu mshahara 150,000 alafu anakuja kujitamba hapa. umesoma kwa mkopo alafu anata na ww uwe na kampuni, ajabu sana
 
kipindi unasoma ulikuwa na takwimu zipi kuwa serikali haina walimu na je ni kweli kipindi unasoma kuna mkataba wowote ulioingia na serikali kwamba ukimaliza masomo yako ya sanaa itakuajili? kama hakuna mkataba wowote umesubiri nini kujiajiri!kumbika kwamba kipindi unasoma ulitafuta ada ukajisomesha wewe mwenyewe nakushauri tu kama ulivyotafuta ada tafuta hata mtaji uweze kujiajiri zama zimebadilika acha kelele
 
kipindi unasoma ulikuwa na takwimu zipi kuwa serikali haina walimu na je ni kweli kipindi unasoma kuna mkataba wowote ulioingia na serikali kwamba ukimaliza masomo yako ya sanaa itakuajili? kama hakuna mkataba wowote umesubiri nini kujiajiri!kumbika kwamba kipindi unasoma ulitafuta ada ukajisomesha wewe mwenyewe nakushauri tu kama ulivyotafuta ada tafuta hata mtaji uweze kujiajiri zama zimebadilika acha kelele
Hujui unalojua!
Vema ukue kimya
 
Si comment kitu, ntarudi
mkuu hapo tu ungemjibu hamna namna yoyote yeye kujiajiri?kama aliweza kupata ada anashindwaje kutafuta mtaji akajiajili au hata kwenda shule za private mbona naona wengi wanakomaa na wanapata salary nzuri, kwanza kabisa aache kuilaumu serikali najua kipindi anasoma hakuna mkataba wowote alioingia na serikali kwamba akimaliza masomo yake ya sanaa ingemwajili na takwimu alizonazo zakusema kwamba huko kwenye shule zakata hakuna walimu wakutosha naona anadanganya kama wasingekuwepo serikali isingeshindwa kumpatia ajira kama mtaalam wa sanaa
 
H

Hizi kilimo tumefanya saaana lakini hamna kitu zaidi tunachoshana tu na shauri za namna hii!

Tupewe ajira ndio suluhu
Sawa mkuu basi subiri ajira za serikali mkuu kama uliogopa science!
 
Mkuu kwani mpaka serikali ikufanyie kitu ili hali wewe ni msomi na una uhakika na ulichokipata huko darasani?

Kupitia hiyo elimu yako huwezi fanya chochote mpaka upewe ajira na serikali?

Uje kwa kampuni yangu ntakupa nafasi

Lkn
Uje na mpango kazi ambao utaifanya kampuni itoke ilipo na iweze kukulipa we salary

Mpango kazi wako ukiwa unalipa kampuni itakuzawadia na kukupa ajira ya kudumu
Sasa hapo mkuu ni kumpa jaribu huyo ndugu Mwalimu wa arts, Mtu amesoma Kiswahili leo hii ukamwambie aje na mpango kazi kwenye kampuni yako, huoni ni sawa na yule aliyekuwa anajaribu Urais halafu akajikuta anasukumiwa huko matokeo yake hata wewe ni Shahidi?
 
Sasa hapo mkuu ni kumpa jaribu huyo ndugu Mwalimu wa arts, Mtu amesoma Kiswahili leo hii ukamwambie aje na mpango kazi kwenye kampuni yako, huoni ni sawa na yule aliyekuwa anajaribu Urais halafu akajikuta anasukumiwa huko matokeo yake hata wewe ni Shahidi?
Yani KISWAHILI kinadhalaulika Sana ila tambueni kuwa ndio lugha yenu ya taifa....Kuna watu ni PhD holder lakini wapatie hicho kingereza uone vituko....sizungumzii ajira hapa mana watetezi wa hii serilikali watakutoa macho walivyo naroho mbaya...
 
Wanaosema walimu wapo wengi sijui wamefanya utafiti wapi au wanaangalia mijini tu!?kama mnakumbuka wiki 3 zilizopita kuna wilaya ililalamika upungufu wa walimu zaidi ya 600 ikazuia uhamisho ktk wilaya hiyo sasa hiyo ni wilaya moja tu iliyojitokeza je wilaya zingine ambazo wakurugenzi wameshindwa kusema ukweli inakuaje?lazima utambue idaddi ya walimu aiwezi kutosha kutokana kila siku wanastaafu,vifo,kuacha,hivyo tukisema wametosha tutajidanganya tuwe wakweli na tusiwabeze wenzetu wanaotoa duku duku lao huku kwani wengi wanaosomea ualimu ni watoto wa maskini huo ndio ukweli kwahyo tegemeo lao kubwa ni kuajiriwa ili wapate mitaji na waweze kuhudumia jamii zao,mi nafikili serikakali wala wasingeangalia sana zile mil 50 bali wangejitahidi kuwapa hawa vijana ajira wangekua wamesaidia maskini wengi tena moja kwa .moja,tujiulize zile bilion za kikwete zipo wapi hadi sasa je maskini ameufaika?ila ninachoamini wakiwaajiri vijana wao watanufaika moja kwa moja hao maskini.
 
Kama umesoma hadi ukamaliza course hiyo then unalialia utakuwa unapata dhambi na waliopo huko wanatamani wangepata nafasi kama yako waangalie walimu wako wa ngazi zote halafu urudi Hapa utuambie umegundua nini ? .KATAFUTE JAMBO LA KUFANYA JINGINE SI LAZIMA UAJIRIWE kajishughulishe na kilimo au biashara baada ya miaka kumi jilinganishe .
 
Back
Top Bottom