- Thread starter
- #21
hatujasomea kusambaza barua!Nakushangaeni mnavyonitafsiri mnavyojua ninyi
Ajira ni tatizo dunia na watz wanajua hilo
Kikubwa ninyi wakufunzi mjitahidi kufikiri nje ya box
Mkienda kanada mnaweza kuwa mameneja wa supamaketi na kazi na kusambaza barua
Humu nchini mwenu hamzitaki hizo kazi mnataka kukaa ofisi haya endeleeni mkiambiwa nasema mbakejeliwa, sijafunzwa kukejeli watu mie
Tungehitaji kujiajiri tungeisha la saba tu
graduate
pia kujichokea kwenu sio kigezo cha serikali kuwaajili, jipange uje na hoja nzito