Niliwaambia ;wakati wao wako ndani ya land rover 109 kilomita arobaini nyuma yetu sisi tunaokimbizwa na kutuhumiwa kuhusu ugaidi na kupanga njama za kudhuru watu, wahusika halisi wa mambo hayo wako na Range Rover kilomita arobaini mbele yetu. Je,ni mwaka gani watawafikia na kuwaweka mbaroni hao jamaa?
Hivi, kikosi cha IGP Mwema ambacho tumeelezwa ni maalum na kina makachero waliobobea kushindwa kurejesha mrejesho wa maana hadi sasa kwa angalau hata tukio moja, hivi watanzania hatushtuki tu? JK haushtuki ?
Anyway,tuendelee kuwapa masurufu na kuwatengea mafungu tutaona! Sijui kama walinielewa au kumfikishia IGP Mwema huo ujumbe wangu. Na kwa kuwa asiyetaka kujua maana haambiwi maana basi tuendelee mambo ni kanyaga twende!
Wanaukumbi.
- Serikali imetenga kiasi cha sh milioni 100 kwa mtu yeyote atakayefichua mtu aliyerusha bomu kwenye mkutano wa kampeni Soweto Arusha.
- Serikali imesema itatumia vyombo dola kuakikisha inawatia mikononi wale wote waliohusika na tukio hilo.
SOURCE: BUNGENI.
kuna waliomwua padre Mushi kule Zanzbar na waliomjeruhi Padre Mkenda. Pamoja na hayo Haiwezekani kuwa Ulimboka alitekwa na kuteswa na mtu mmoja tu, mimi naishauri serikali imwachie huru huyo chizi kwani wanatumia gharama nyingi kumlinda wakati hahusiki wala hajui lolote.Wameshindwa kuwatafuta waliowatesa kina Ulimboka, Kibanda, Kubenea.
Wameshindwa kuwatafuta wahusika wa bomu la kienyeji la Olasit (Victor Ambrose ni kiini macho).
Wameshindwa kumuweka ndani ya kizimba mlipuaji wa mwandishi na Mtanzania Davidi Mwangosi.
Je, hili mnategemea mtaliweza kwa hizo TSHs milioni 100??
La hasha hakika la hasha...achaneni kwanza na Siasa za Illuminati
Kinachonichekesha umeleta hii thread huku ukimjuwa fika muhusika wa mauwaji haya ni nani, si lazima kumpata aliyerusha bomu lakini cha umuhimu who is behind this?Wanaukumbi.
Serikali imetenga kiasi cha sh milioni 100 kwa mtu yeyote atakayefichua mtu aliyerusha bomu kwenye mkutano wa kampeni Soweto Arusha.
Serikali imesema itatumia vyombo dola kuakikisha inawatia mikononi wale wote waliohusika na tukio hilo.
SOURCE: BUNGENI.
Wanaukumbi.
Serikali imetenga kiasi cha sh milioni 100 kwa mtu yeyote atakayefichua mtu aliyerusha bomu kwenye mkutano wa kampeni Soweto Arusha.
Serikali imesema itatumia vyombo dola kuakikisha inawatia mikononi wale wote waliohusika na tukio hilo.
SOURCE: BUNGENI.