tindikalikali
JF-Expert Member
- Jan 14, 2011
- 4,855
- 1,117
Stress... Mfukon sina mkwanja! Wananiambia nijiajiri,wananiambia mimi sio mbunifu,lakini cha kushangaza wao wameajiriwa,na wapo tayari hata kulisha watu vinyonga ngozi zibanduke ili waendelee kukaa kwenye ajira zao,wakifukuzwa leo wanapata presha baada ya mwaka wanakufa,wameajiriwa miaka 30 iliyopta na bado wanaogopa kujiajiri leo! Mie je? PROPAGANDA,Miaka 50 ya uhuru,serikali imesitisha ajira eti haina pesa.